Pre GE2025 Makonda ameagizwa na nani kufanya maigizo Nchi nzima!

Pre GE2025 Makonda ameagizwa na nani kufanya maigizo Nchi nzima!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alipita tabora maji yalitoka kama ya Kilimanjaro, magari ya doria kila mahali 😂😂, Paulo bana kamaliza wakafanya birthday ya kizimkazi huyoo akasepa, nipo na semi hapa nenda rusumo labda nitamkuta ngara
 
Makonda ni mtendaji kwenye hii nchi?

Samia si anasaidiwa na
1. Mpango [makamu wa Raisi]
2. Waziri mkuu
3. Naibu Waziri Mkuu.
4 . Mawaziri.
5. Makatibu Wakuu.
6. RC<DAS na DC?

Unataka kuuambia Umma wa Tanzania kwamba hawa wote hamna kitu wanafanya hivyo sasa Rasi kaamua kumteua mtu /mwenenzi wa chama[CCM] akawe mtendaji wa serikali?
Mandate ya kuitisha mawaziri na RPC hadharani na kutaka watoe majibu inatoka sheria gani?
#Lawless Country.
Tusubiri siku atamuita jaji mkuu jukwani ajibu kwanini hukumu imema ushindi huyu na kumuacha yule.
Wamefanya nini? Kwenye umeme, maji, rushwa, mfumuko wa bei?

Wengi wamekufa na biashara zao kufa kwa ajili ya umeme, maji, usalamq, rushwa.

Unajua umeme ukkizimwa ulaya utaua wangapi? Pia unaua wengi na kusabisha migogoro kwenye familia.

Unafikiri wangapi wamelufa kwa stress, biashara zao, mapato yao kwa ajili ya ujinga wenu wa kizima umeme?
 
Wanafanya misafara yao na magari ya beii juu halafu nchini umeme unasumbua sana
20240129_170339.jpg
 
Makonda ni mtendaji kwenye hii nchi?

Samia si anasaidiwa na
1. Mpango [makamu wa Raisi]
2. Waziri mkuu
3. Naibu Waziri Mkuu.
4 . Mawaziri.
5. Makatibu Wakuu.
6. RC<DAS na DC?

Unataka kuuambia Umma wa Tanzania kwamba hawa wote hamna kitu wanafanya hivyo sasa Rasi kaamua kumteua mtu /mwenenzi wa chama[CCM] akawe mtendaji wa serikali?
Mandate ya kuitisha mawaziri na RPC hadharani na kutaka watoe majibu inatoka sheria gani?
#Lawless Country.
Tusubiri siku atamuita jaji mkuu jukwani ajibu kwanini hukumu imema ushindi huyu na kumuacha yule.

Wewe mwenyewe usingepata umeme, maji, umeme wa magumashi unaokatika bila ratiba akili yako ingekukawa sawa.

Sasa hivi unalamba asali ila kijijini, ukoo wako bado unateseka.
 
Unaonyesha uchi wako wa akili hapa.
Unamlilia shida mtu ambaye hujamlipa kodi?
Unatoka familia maskini alafu una-roho ya kuombaomba uliyoridhi kwenye serikali kukopa chaakula wakati tuna amshamba na mvua maji yanaishia baharini.

Ruzuku wanayopokea siyo kodi ya wananchi?

Jinga kabisa wewe.
 
hiki anachokifanya Makonda kilitakiwa kufanywa na wanasiasa wa upinzani kama chadema na wengine hakika wangepata wabunge wengi na hata nchi wangeitawala ila kinachotokea ni ccm kuendelea kutawala wenyewe maan wanang'ata na kupuliza na wananchi wala hawashtuki...!
CHADEMA wamuite RPC kwenye mkutano alafu aje kujibu maswali jukwaani?
CHADEMA wamuite Afisa ardhi jukwaani aje na faili na
Ruzuku wanayopokea siyo kodi ya wananchi?

Jinga kabisa wewe.
Una UTI sugu wewe.
Ruzuku wanapokea kutokana na COVID-19 umesikia ni ya kukutatulia shida?
Huna elimu ya Uraia hata lanne sijui kama ulifika.
Ruzuku si inatumika kulipa mishahara waajiriwa wa chama ambao si lazma wame CHADEMA?
Ruzuku ndio ya kutatulia kero za wananchi wakati kuna bajeti kuu ya serikali?
Ruzuku ikishatatulia kwa kugawa huko mtaani, then CAG akidai risiti apewe chupi yako?

#Najifunza hii nchi ina, siyo wajinga tu, bali wapuuzi ukiwaona wana smart phone ila ni wapuuzi na wapumbavu kuliko hata ngiri maji.
 
Wamefanya nini? Kwenye umeme, maji, rushwa, mfumuko wa bei?

Wengi wamekufa na biashara zao kufa kwa ajili ya umeme, maji, usalamq, rushwa.

Unajua umeme ukkizimwa ulaya utaua wangapi? Pia unaua wengi na kusabisha migogoro kwenye familia.

Unafikiri wangapi wamelufa kwa stress, biashara zao, mapato yao kwa ajili ya ujinga wenu wa kizima umeme?
Kwahiyo kwa hao kutofanya ndio MAKONDA amekuwa suluhisho, vaa taulo hilo limeshuka ukweni.

Ficha aibu yako na usiwe mjinga kwa kiwango hiki, wale watoto waliopatishwa divishion zeto Temeke Sec wana ufahamu kuliko wewe.

Mtu kama atekelezi majukumu yake anaondoshwa na si kuletwamtu mwengine ambaye hayupo kwenye mfumo.
MAKONDA azunguke nchi nzima hata miaka 5 mfulilizo akikemea wana-CCM kwa kuvamia maeneo ya wazi, kuacha mabanda ya chama machafu na kufedhehesha miji na majiji na si watendaji wa serikali.
 
CHADEMA wamuite RPC kwenye mkutano alafu aje kujibu maswali jukwaani?
CHADEMA wamuite Afisa ardhi jukwaani aje na faili na
sio lazima kuwaita hao maana wao chadema hawawezi kufanya hivyo ila inapaswa wawe na wanasheria wanaotembea nao kesi kama za uonevu palepale mna direct wanasheria wenu wazifuatilie na wawatete wananchi wa chini unadhani ni nani angewaona chadema wapigaji ila sababu hoja yao kuu kwa sasa ni katiba tu huku uelewa wa wananchi wengi ni mdogo kuhusu katiba nchi hii basi chadema hawasikiki wanabaki kuchoreka tu kama kituko kwa sasa.
 
CHADEMA wamuite RPC kwenye mkutano alafu aje kujibu maswali jukwaani?
CHADEMA wamuite Afisa ardhi jukwaani aje na faili na

Una UTI sugu wewe.
Ruzuku wanapokea kutokana na COVID-19 umesikia ni ya kukutatulia shida?
Huna elimu ya Uraia hata lanne sijui kama ulifika.
Ruzuku si inatumika kulipa mishahara waajiriwa wa chama ambao si lazma wame CHADEMA?
Ruzuku ndio ya kutatulia kero za wananchi wakati kuna bajeti kuu ya serikali?
Ruzuku ikishatatulia kwa kugawa huko mtaani, then CAG akidai risiti apewe chupi yako?

#Najifunza hii nchi ina, siyo wajinga tu, bali wapuuzi ukiwaona wana smart phone ila ni wapuuzi na wapumbavu kuliko hata ngiri maji.
Una UTI sugu kwenye ubongo wako.

Kwa hiyo walipokataa kupokea ruzuku ya covid 19 wafanayakazi wa Chama walifukuzwa na sasa wamerudishwa baada ya gaidi kukubali kulamba matapishi yake?
 
Alipita tabora maji yalitoka kama ya Kilimanjaro, magari ya doria kila mahali 😂😂, Paulo bana kamaliza wakafanya birthday ya kizimkazi huyoo akasepa, nipo na semi hapa nenda rusumo labda nitamkuta ngara
Kwa sasa anaogopwa kuliko Majaliwa.
Amewekwa kimkakati kurudisha moyo wa SUKUMA GANG[Team JIWE iliyokuwa imebaki yatima].
Hongereni maji mmepata wallau alipopita huko.
 
Una UTI sugu kwenye ubongo wako.

Kwa hiyo walipokataa kupokea ruzuku ya covid 19 wafanayakazi wa Chama walifukuzwa na sasa wamerudishwa baada ya gaidi kukubali kulamba matapishi yake?
Unazidi kujishusha taulo si kwa wakwe zako, sasa mbele ya wanao wa kike ambao wanakaribia kuvunja ungo.

aliyekwambia COVID-19 wamerudishwa ni nani?

Unajielewa kweli wewe? Ulielewa hukumu ya Mahakama kuu , kanda ya Dar es salaam?
 
hiki anachokifanya Makonda kilitakiwa kufanywa na wanasiasa wa upinzani kama chadema na wengine hakika wangepata wabunge wengi na hata nchi wangeitawala ila kinachotokea ni ccm kuendelea kutawala wenyewe maan wanang'ata na kupuliza na wananchi wala hawashtuki...!

Cha ajabu Makonda matatizi asilimia 90% yametengenezwa na CCM.

Kauli za Makonda zingetolewa na Rais umeme, maji ungepatikana haraka.

Rais na wapambe wake wanakwambia hawana muda, ila wana muda kuhudhuria birthday.

Rushwa, ubabe kuchukua ardhi ya wajane, yatima, maskini ungepungua. Ardhi ya watanzania, mahakama, polisi, media vyote vinamilikiwa na wa familia chache, 1%. Not 95% of Tanzania.

Rais, serikali imejificha ikulu. Birthdays ni muhimu zaidi ya kutatua changamoto za wananchi.

Kuzima umeme nq maji umeua wangapi?
Najua wapambe mtakuja na sababu za ajabu ajabu na matusi. Poa.
 
Paul Makonda anazunguka nchi nzima,anafanya maigizo kwa wananchi, kujidai wanaripoti matatizo kwake na yeye kuyatatua ambapo huenda ,so far amepita sehemu ambazo mteuzi wake hajafika.

Mwenezi anazunguka nchi nzima si KUTATUA kero za wananchi, bali anachokifanya ni kuuonesha umma kuwa hii nchi HAINA Serikali.

Kila anakokwenda raia wamejaa wamemzunguka na shida lukuki! Utakuta eneo lina RC, RAS, DC, DAS, DED mpaka OCD. Bado kuna TAKUKURU, maafisa ardhi, wajumbe wa nyumba 10/10 na kila idara nyeti lakini wote ni USELESS tu.

Wanatafuna tu kodi za wananchi! Hata kama ni fedha za CCM -lakinn msafara una watu wanaolipwa na serikali ambayo ni fehda za wasio na wa CCM, watendaji wanaacha ofisi wanazurura naye kwenye ziara ya maigizo kumtangaza mteuzi wake.
Kama tuna Mh Majaliwa[waziri mkuu mkali na mchapakazi], haya akaletewa Dotto biteko[Naibu waziri mkuu] bado inaonekana wanapwaya na sasa kumleta Makonda haina shida ila sasa kukusanya watu muda wa kazi na kufanya maigizo ni kuwaonea maskini wa kitanzani.

Jamaa anakusanya wananchi wanaoitwa 'wanyonge', halafu anawauliza "haya semeni matatizo yenu mmoja baada ya mwingine!" Kisha wananchi wanawataja viongozi wa maeneo yao kama DC, DED, wenyeviti wa mitaa kama chanzo cha matatizo yao – ambao wote hao ni wana chama tawala!

Cha kushangaza zaidi, Bashite anatoa 'maelekezo' kwa watu HAO HAO waliosababisha matatizo sugu kwa MIAKA yote kwamba waenda WAKAYATATUE ndani ya MASAA au SIKU! Wananchi nao WANAPIGA MAKOFI wakiamini shida zao zimetatuliwa. Utadhani hii ni mara ya kwanza kwa viongozi kufanya haya MAIGIZO! Msafara ukiondoka, kila mtu anarudi nyumbani amechoka, shida ziko pale pale.

Enyi wananchi, muda umefika wa kukataa ujinga kwa vitendo. Muda wa kudai #KatibaMpya
maigizo yanakushughulisha mbaya sana, hupumui dah...

na badrooo...
huu ni mwanzo tu, mwisho mbona mtafurahi sana.... 😀
 
Unazidi kujishusha taulo si kwa wakwe zako, sasa mbele ya wanao wa kike ambao wanakaribia kuvunja ungo.

aliyekwambia COVID-19 wamerudishwa ni nani?

Unajielewa kweli wewe? Ulielewa hukumu ya Mahakama kuu , kanda ya Dar es salaam?
Kubwa Jinga kabisa

Kwa ruzuku aliyoanza kupokea gaidi inatokana na nini. Au unafikiri ruzuku ni zawadi na siyo kodi za wananchi?
 
Paul Makonda anazunguka nchi nzima,anafanya maigizo kwa wananchi, kujidai wanaripoti matatizo kwake na yeye kuyatatua ambapo huenda ,so far amepita sehemu ambazo mteuzi wake hajafika.

Mwenezi anazunguka nchi nzima si KUTATUA kero za wananchi, bali anachokifanya ni kuuonesha umma kuwa hii nchi HAINA Serikali.

Kila anakokwenda raia wamejaa wamemzunguka na shida lukuki! Utakuta eneo lina RC, RAS, DC, DAS, DED mpaka OCD. Bado kuna TAKUKURU, maafisa ardhi, wajumbe wa nyumba 10/10 na kila idara nyeti lakini wote ni USELESS tu.

Wanatafuna tu kodi za wananchi! Hata kama ni fedha za CCM -lakinn msafara una watu wanaolipwa na serikali ambayo ni fehda za wasio na wa CCM, watendaji wanaacha ofisi wanazurura naye kwenye ziara ya maigizo kumtangaza mteuzi wake.
Kama tuna Mh Majaliwa[waziri mkuu mkali na mchapakazi], haya akaletewa Dotto biteko[Naibu waziri mkuu] bado inaonekana wanapwaya na sasa kumleta Makonda haina shida ila sasa kukusanya watu muda wa kazi na kufanya maigizo ni kuwaonea maskini wa kitanzani.

Jamaa anakusanya wananchi wanaoitwa 'wanyonge', halafu anawauliza "haya semeni matatizo yenu mmoja baada ya mwingine!" Kisha wananchi wanawataja viongozi wa maeneo yao kama DC, DED, wenyeviti wa mitaa kama chanzo cha matatizo yao – ambao wote hao ni wana chama tawala!

Cha kushangaza zaidi, Bashite anatoa 'maelekezo' kwa watu HAO HAO waliosababisha matatizo sugu kwa MIAKA yote kwamba waenda WAKAYATATUE ndani ya MASAA au SIKU! Wananchi nao WANAPIGA MAKOFI wakiamini shida zao zimetatuliwa. Utadhani hii ni mara ya kwanza kwa viongozi kufanya haya MAIGIZO! Msafara ukiondoka, kila mtu anarudi nyumbani amechoka, shida ziko pale pale.

Enyi wananchi, muda umefika wa kukataa ujinga kwa vitendo. Muda wa kudai #KatibaMpya
Kwani kaijteua,ukiona waliomteua wapo kimya basi ujue ndiyo haohao waliomtuma!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Paul Makonda anazunguka nchi nzima,anafanya maigizo kwa wananchi, kujidai wanaripoti matatizo kwake na yeye kuyatatua ambapo huenda ,so far amepita sehemu ambazo mteuzi wake hajafika.

Mwenezi anazunguka nchi nzima si KUTATUA kero za wananchi, bali anachokifanya ni kuuonesha umma kuwa hii nchi HAINA Serikali.

Kila anakokwenda raia wamejaa wamemzunguka na shida lukuki! Utakuta eneo lina RC, RAS, DC, DAS, DED mpaka OCD. Bado kuna TAKUKURU, maafisa ardhi, wajumbe wa nyumba 10/10 na kila idara nyeti lakini wote ni USELESS tu.

Wanatafuna tu kodi za wananchi! Hata kama ni fedha za CCM -lakinn msafara una watu wanaolipwa na serikali ambayo ni fehda za wasio na wa CCM, watendaji wanaacha ofisi wanazurura naye kwenye ziara ya maigizo kumtangaza mteuzi wake.
Kama tuna Mh Majaliwa[waziri mkuu mkali na mchapakazi], haya akaletewa Dotto biteko[Naibu waziri mkuu] bado inaonekana wanapwaya na sasa kumleta Makonda haina shida ila sasa kukusanya watu muda wa kazi na kufanya maigizo ni kuwaonea maskini wa kitanzani.

Jamaa anakusanya wananchi wanaoitwa 'wanyonge', halafu anawauliza "haya semeni matatizo yenu mmoja baada ya mwingine!" Kisha wananchi wanawataja viongozi wa maeneo yao kama DC, DED, wenyeviti wa mitaa kama chanzo cha matatizo yao – ambao wote hao ni wana chama tawala!

Cha kushangaza zaidi, Bashite anatoa 'maelekezo' kwa watu HAO HAO waliosababisha matatizo sugu kwa MIAKA yote kwamba waenda WAKAYATATUE ndani ya MASAA au SIKU! Wananchi nao WANAPIGA MAKOFI wakiamini shida zao zimetatuliwa. Utadhani hii ni mara ya kwanza kwa viongozi kufanya haya MAIGIZO! Msafara ukiondoka, kila mtu anarudi nyumbani amechoka, shida ziko pale pale.

Enyi wananchi, muda umefika wa kukataa ujinga kwa vitendo. Muda wa kudai #KatibaMpya
Sisi ndo tunapenda hayo unayoyaita maigizo!!

Wewe na wenzako wenye hoja zenye mashiko tunawakaribisha tuwasikilize pia.

Wewe ni takataka
 
Hoja ya kipumbavu kutoka kwa Kubwa jinga!!

Nyie ndio mnagombea mapaja ya kuku nyumbani Kwa sababu tu wewe ndiye uliyemnunua kuku!! Ushamba mzigo. Haya angalia na Mimi nili join lini
 
Back
Top Bottom