Davidson david
JF-Expert Member
- Jul 26, 2023
- 1,029
- 1,051
HajitambuiBut mleta mada hajacompare na hiyo nchi Mkuu,
Yeye amecompare na Sweden.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HajitambuiBut mleta mada hajacompare na hiyo nchi Mkuu,
Yeye amecompare na Sweden.
""Mtaanza kuona ma fry over kama uraya, Nchi hii tumeibiwa sana waliigeuza shamba la bibi""Uraya ndo nini wee usiyejua kuandika,?
Wadau wa utalii kwa magari yao na mafuta yao wameona wamshukuru Dr SSH, kwa staili ya kipekee ya aina hiyo nalo limekuumiza pia?Rais Samia anapokolewa na gari 500.
Hii ni kumtukuza binadamu kuliko Mungu.
Arusha ya leo ni safi, wanaarusha wote wana furaha, maji ya kumwaga, huduma za afya mwake mwake, mashule ndiyo usiseme, environmental quality and standards safi, bado machache tu Arusha iwe ya kitofauti kabisa! View attachment 3163809View attachment 3163811View attachment 3163812View attachment 3163813View attachment 3163814View attachment 3163816
Wachukua hela za utalii wanagawana.Wadau wa utalii kwa magari yao na mafuta yao wameona wamshukuru Dr SSH, kwa staili ya kipekee ya aina hiyo nalo limekuumiza pia?
Possibly,pamoja na security wise!Wachukua hela za utalii wanagawana.
In the past twelve months, nilikuwa Arusha for six months.
Nimeona matatizo ya infrastructure kule.
And yetu Makonda tunaambiwa anaishi katika five-star hotel.
Just nime over view na yaliyopo kwenye draft, kuna satellite city na mengi kweli, yanakuja arusha.Makonda anafanya kazi yake ila umezidisha chumvi. Chuga ni ile ile
Satelite city ilikuwepo kabla ya makondaJust nime over view na yaliyopo kwenye draft, kuna satellite city na mengi kweli, yanakuja arusha.
Satellite city ndio maendeleo?Just nime over view na yaliyopo kwenye draft, kuna satellite city na mengi kweli, yanakuja arusha.
Labda mwenzetu anaota ndotoni atuambie wapi kumechangeMakonda anafanya kazi yake ila umezidisha chumvi. Chuga ni ile ile
Siwaamini watu wasiojua tofauti ya l na r.Rekebisha hapo juu ndugu mwandishi sidhani kama ni uraya, kwenye r weka l
Kama hawezi kutofautisha R na L anawezaje kujua tofauti ya chuga na Stockholm?Siwaamini watu wasiojua tofauti ya l na r.
Ndiyo hapo sasa.Kama hawezi kutofautisha R na L anawezaje kujua tofauti ya chuga na Stockholm?