Makonda amerejea baada ya likizo

Jibu maswali niliyokuuliza na siyo huo ujinga uliouandika
 
Wewe bora huyo muuaji Nyamitako akuoe uwe mke mdogo tumechoka huu upuuzi wako
 
Labda wewe ndiye Jambazi
LISSU mwenyewe alimtaja huyo kuwa ndiye ali orchestrate hujuma dhidi ya uhai wake na hajawahi kanusha tuhuma hizi na ndio maana hata serikali yako imeendelea kujikanyaga hadi leo na haijaweza kutoa taarifa ya uchunguzi na hata Interpol walipotaka kuchunguza serkali ilikataa halafu unataka kuja kumsafisha hapa JF nakuambia huyo hasafishiki labda kwa moto wa jehanam
 
Mtu anatuhuma za kuzuia haki ya kuishi ya watu wengine. Luca anajua maana ya hizo tuhuma?USA wanahitaji nini kwa Daudi Albert Bashite hadi waamue kumzushia jambo bila usahihi/ukweli wowote?Amejiuliza kweli au anabugia maparachichi tu?
 
Kwa hiyo na wewe kwa akili zako unamuamini mtu mropokaji kama alivyo Lissu? Kweli una matatizo makubwa sana kichwani kwako.
 
Mtu anatuhuma za kuzuia haki ya kuishi ya watu wengine. Luca anajua maana ya hizo tuhuma?USA wanahitaji nini kwa Daudi Albert Bashite hadi waamue kumzushia jambo bila usahihi/ukweli wowote?Amejiuliza kweli au anabugia maparachichi tu?
Mangapi Marekani wamezusha kwa watu na Mataifa mbalimbali? Kwa hiyo Marekani ndio Mungu wako?
 
UKIMTUNZA WEWE NA MKEWE INATOSHA.NYIE WAWILI MNATOSHA SANA KUMTUNZA.NA PIA SI UNAMTUNZA NA KAFULILA?WEWE UMEPEWA JUKUMU LA KUTUNZA WANAUME TU.WATUNZE SISI MAMBO HAYO YA UCHOKO TUNAYAPINGA.SO WATUNZE WEWE INATOSHA SANA.
 
Moderators tafadhalini unganisheni hizi nyuzi za Lucas Mwashambwa za kumsifia Paul Makonda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…