Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye nguvu apute mchanga sasa...🤣🤣🤣View attachment 2888158View attachment 2888159
Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian
Umenikumbusha mbali kiranga nimewahi kumchapa mtu hivi hivi wakati huo kisa hii michezo ya kuwekeana michangaYani kama naona Shule ya Msingi hapa watoto wanapiga kelele.
"ZIPIGWEEE, ZIPIGWEE".
Halafu mtoto mshari mmoja anajaza mchanga kiganjani, anawafuata wote wawili anawaambia "PUTAAA, PUTAAA".
Hiyo kama umesoma shule zetu enzi zetu kazima uijue.Umenikumbusha mbali kiranga nimewahi kumchapa mtu hivi hivi wakati huo kisa hii michezo ya kuwekeana michanga
Hapo ni suala la kuwaiana tu mkipiga mchanga hamna kupoteza muda ni kumtandika mwenzako chap chap😆 ukizembea ana kunyuka wewe.Hiyo kama umesoma shule zetu enzi zetu kazima uijue.
Halafu ukishawekewa mchanga upute, it is a matter of honor. Yani usipoputa ukitoka hapo wewe si kidume 🤣🤣
Na ukiputa tu, shughuli inaanza.
Akili kubwa sababu anaweka sura kama yupo serious??? Wote wawili ni vilaza tu.
CCM akili kubwa wameshajitoa kwenye hiko chama wapo neutral.
Akili kubwa na chawa wa muhimu Kwa Kiongozi Huwa ni chawa.
Makonda anatafuta kura za Samia,Bashe anatafuta kura za nani? Anaweza kutumbuliwa na Ubunge akakatwa.
Japo wote ni Vijana wa Mama anawamudu.
Ila ukifuatilia watu tuna unyama fulani hivi.Hapo ni suala la kuwaiana tu mkipiga mchanga hamna kupoteza muda ni kumtandika mwenzako chap chap😆 ukizembea ana kunyuka wewe.
Msipo pigana mnaonekana wote wazembe. Muda mwingine ugomvi hata hamna ila tu ili apatikane mbabe wa darasa kinachapwa kwa mtindo huo😀😀
Usimdanganye Mheshimiwa Bashe na kumjaza upepo wa uongo. Chama ni kikubwa kuliko serikali.waziri hayupo juu ya chama.kwa hiyo lazima ufahamu ya kuwa Mheshimiwa Bashe Hawezi kuleta kiburi wala dharau wala jeuri kwa chama na viongozi wa chama akiwepo Mheshimiwa Makonda.
Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.
Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.
Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
Bashe hawezi fanya kazi ya Bashite most important lakini Bashite au anyone else anaweza fanya kazi ya Bashe
Safi sana ndugu yangu umetoa jibu zuri sanaa. Mheshimiwa Makonda anapambania chama na kumtafutia kura Mheshimiwa Rais .halafu hapo hapo Bashe anataka kupunguza kura za Mheshimiwa Rais kwa kuleta kiburi na ujuaji. Bashe afahamu kuwa yeye siyo waziri wa kwanza wa kilimo.anaweza ondolewa hapo alipo na akakaa mtu mwingine na kazi zikaenda vizuri kabisa .Akili kubwa na chawa wa muhimu Kwa Kiongozi Huwa ni chawa.
Makonda anatafuta kura za Samia,Bashe anatafuta kura za nani? Anaweza kutumbuliwa na Ubunge akakatwa.
Japo wote ni Vijana wa Mama anawamudu.
Akili kubwa hawezi kujiingiza kwenye mfumo hatarishi. Tayari umeshafeli.Basheboy ni akili kubwa tatizo yuko ndani ya mfumo hatarishi