Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Akili yako siyo nzuri kiafya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yako siyo nzuri kiafya
Huwezi ukawa kwenye timu ukasapoti mambo ya timu nyingine kwa kigezo cha kukosoa. Kama umeamua kuwa mpinzani kuwa mpinzani kama ni CCM ni CCM... Usilete unafikiNani amekwambia mimi ni mpinzani? Napinga nini kwanza? Ujinga umewafanya muone kila anayekosoa na kushauri ni mpinzani.
Ukiwa yatima, mjane, maskini umeibiwa nyumba zako mahakama, polisi watendaji wa ardhi hawakusikilizi utanasubili yoyote akusikilize.Unasubiri makonda aje umweleze. maana hao machadema ndo wamesababisha hizi shida zote kwa wananchi.
Mifumo ya kutenda haki, haitendi haki.Unasubiri Makonda apite uongee. Paralysed mifumo
View: https://m.youtube.com/watch?v=Ht5d6FpCBF8
Ukitaka kujua ukaribu wao ‘bi-tozo’ siku hizi atoi mkono wake kiholela, ila kwa Makonda hana shida kumpa mkono.
Body language tu inakwambia ni watu wa karibu sana sidhani kama kuna kiongozi wa serikali au chama anaweza ongea na raisi akiwa relaxed na kama Makonda anavyoonekana kwenye hiyo clip.
Inabidi wacholewe mstari chini tuone Nani zaidi
Utoi mkono kwa raisi mpaka akupe wake. Tazama hapo wote wamefunga mikono yao.Yaani anaishika pua yake na mkono huo anampa rais naye anaupokea bila kuchukua tahadhari ya kiafya! Nimetetemeka kwa uoga wa COVID-19!
Aisee nimeshangaa sana, afu ona Makonda hana habari na Nchimbi...Yaani anaishika pua yake na mkono huo anampa rais naye anaupokea bila kuchukua tahadhari ya kiafya! Nimetetemeka kwa uoga wa COVID-19!
ExactlyUtoi mkono kwa raisi mpaka akupe wake. Tazama hapo wote wamefunga mikono yao.
Raisi mwenyewe siku hizi atoi mkono wake ovyo kampa Makonda tu. Inakwambia huyo ni mtu wake wa inner circle.
Itavunjika vunjika😄😄😄 Bashe yuko kwenye nyumba ya vioo halafu anataka ugomvi wa mawe.
[emoji23][emoji23]Yani kama naona Shule ya Msingi hapa watoto wanapiga kelele.
"ZIPIGWEEE, ZIPIGWEE".
Halafu mtoto mshari mmoja anajaza mchanga kiganjani, anawafuata wote wawili anawaambia "PUTAAA, PUTAAA".
Makonda akiihoji miradi inamaana anamuhoji Mama Samia, hilo hatoweza kufanya, usifiri yeye hana akili.Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian Makonda, mahasimu hao wa muda mrefu toka 2014 wakiwa katika makundi ya kuusaka urais wa 2015, Makonda ambae ni kijana wa Sitta adui mkubwa wa Mzee Lowassa walianza kutupiana maneno makali muda mrefu.
Makonda akiwa ziarani siku ya jana amemjibu waziri wa kilimo Bashe kuwa atamhoji tu kwasababu yeye ndio anakitafutia kura chama hicho.
Bashe alinukuliwa mwisho wa wikii hii akiwajia juu wafanyabiashara wa sukari kwa kufanya lobbying kwa Paul Makonda ili aondoe bei elekezi.
Rai Yangu: Ni vyema vyombo vya maamuzi visiingilie ugomvi huu kwasababu ni kutunishiana misuli kwa vijana wala hakuna jambo serios sana, asitokee wa kuonewa maana wote wanaviziana muda mrefu tu, asionewe mtu.
Malumbano yao hayajawahi kuwa msaada wowote kwa wapenda mabadiliko, ikifika wakati wa uchaguzi wana ushirikiano na lugha moja kuliko sisi wapenda mabadliko.Malumbano na mivurugano yenu; ndiyo furaha yetu sisi wapenda mabadiliko.
Mbali ya binaadam ni akhera baada ya kufariki. Hakuna mbali zaidi ya hapoMakonda atafika mbali kuliko Bashe
Usilazimishe mambo yasiyo na maana. Huo unaoutetea ni upuuzi, yaani upuuzi wa katiba.Kama unge
KAMA ungejua serkali inatekeleza ilani ya chama ambacho ni ccm ungekaa kimya.
Bashe yuko hapo kwa mgongo wa chama asilete usanii ataliwa kichwa na wanamjua ni timu Lowasa na Msomali