Pre GE2025 Makonda amjibu Waziri Bashe, asema atamhoji sababu yeye ndiye anakitafutia kura chama

Pre GE2025 Makonda amjibu Waziri Bashe, asema atamhoji sababu yeye ndiye anakitafutia kura chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mheshimiwa Bashe Alikosea sana kutoa kauli ile hadharani na kuleta picha ya kama dharau kwa watu.ukiwa kiongozi unatakiwa utambue wapi uzungumze na wapi ukae kimya.uongozi mzuri ni pamoja na kuchagua maneno na kauli za kuzungumza mbele za watu.sasa alikuwa anatunishiana na nani misuli? Kwamba katibu mkuu wa chama ni mdogo kwake na hawezi mwambia chochote? Kwamba makamu mwenyekiti wetu wa chama ni mdogo kwake na hawezi mwambia chochote? Hii ni dharau na kujisahau ulikotokea.
waaambie hapana chezea sukuma gang
 
Kwa taarifa



Hatakusaidia kuandika kwa hasira. Kwa taarifa yako Waziri yuko hapo kisiasa. Ndio maana Makonda hadili na Makatibu wa wizara ambao hawako kisiasa. Huyo Bashe kama hujui ni Mbunge wa ccm. Ubunge na serkali wapi na wapi? Bora uje kambi yetu ya kudai katiba ili serkali na chama zitenganishwe. Kama hujui kuwa hujui kaa ukijua. Ndio maana tunawaambia suasa na serkali zikae tofauti lkn si kwa katiba hii. Makonda ni Bosi wa Bashe kwa chama chao. Juzi DED huko Tanga amesimamishwa kwa tamko la Makonda akumuomba Waziri mhusika naye amuondoe na waziri huyo ni mwanasiasa wa chama chao.

Relax utapasuka
Hebu kwanza tumalize hili mkuu kwa urahisi tu. Halafu sina hasira yoyote, umesoma tu ujumbe wangu kwa hasira.

Waziri hapa Tanzania anapokea amri kwaajili ya utekelezaji kutoka kwa nani?
 

Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.

Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.

Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
Bashe Kawa akili kubwa lini? Mbona nyie CHAWA mmejazwa humu na wahuni?
 
Hebu kwanza tumalize hili mkuu kwa urahisi tu. Halafu sina hasira yoyote, umesoma tu ujumbe wangu kwa hasira.

Waziri hapa Tanzania anapokea amri kwaajili ya utekelezaji kutoka kwa nani?
Soft tune. Hongera
Waziri ni mwanasiasa anayepokea kutoka mamlaka ya uteuzi kusimamia shughuli zote za serkali iliyopo madarakani ambayo ipo hapo kupitia siasa.
Nimejibu kifupi. Kama nime hit the bush. Niambie
 
Soft tune. Hongera
Waziri ni mwanasiasa anayepokea kutoka mamlaka ya uteuzi kusimamia shughuli zote za serkali iliyopo madarakani ambayo ipo hapo kupitia siasa.
Nimejibu kifupi. Kama nime hit the bush. Niambie
Ndio mkuu, umezunguka sana na wakati jibu lilipaswa kuwa jepesi tu.
 
Ccm.ktk kufanya watu wawazungumzie tu wako vzr iwe kwa baya au kwa zuri .wao wanachotaka ni kuwa hewani tu
 
Bashe akili kubwa???? Basi kama akili kubwa ndio hio nchi itakua imejaa vilaza.Maana kwenye kundi la vilaza, kilaza wa juu anaonekana Akili kubwa.
 
Mambo ya kuonyana ni ya chama huko ndani

Huku nje ni kofia za uteuzi kiserikali sababu unahudumia watu wote...kofia ya uwaziri haitaji kuhojiwa na makonda..sababu sio yeye aliyemteua au atakaemtoa

Sawa na monter na kaka mkuu
Kaka mkuu anaweza kuwa katoka darasani kwa monter...kweli kaka mkuu akiwa darasani yuko chini ya monter sababu monter ni mkubwa kidarasa



Ila wakitoka nje kaka mkuu over all .....monter ananguvu ya kumuongoza kaka mkuu
Acha kumpa kiburi kisicho na msingi.yeye hayupo juu ya chama na ni lazima Bashe akiheshimu Chama san.asilete kiburi na jeuri kwa chama na viongozi wa chama
 
Mkuu. Kwani waziri sio mwanasiasa? Chama kikimvua uanachama atabaki waziri?
Mkuu, sasa sijui tafsiri nzuri ya mwanasiasa, ila naona bado unazunguka.

Labda turahisishe iwe hivi, naamini wewe ni mtu na akili zako nzuri tu.

Mamlaka ya uteuzi ya waziri ni Rais, na anafanya hivyo kwa kushauriana na Waziri Mkuu na Makamu.

Rais ni rais kwasababu alidhaminiwa na chama cha siasa kugombea nafasi hiyo.

Rais akiisha kushinda uchaguzi, anakabiliwa na jukumu la kuunda serikali na hapo atatafuta Mwanasheria mkuu, atateua waziri mkuu kutoka katika chama chenye wabunge wengi bungeni. Na baada ya hapo atateua Mawaziri wake ( akina Bashe hao)

Katika zoezi hili la kuteua mawaziri, Rais haingiliwi na Chama chake, ni busara zake na kuona wapi aweke nani na nani anamfaa wapi!

Hivyo basi, nyie kama chama hamjui amepata vipi watu wa kumsaidia kufanya kazi zake yeye kama mtu mliyemdhamini kuupata urais.

Rais sasa ndio ana mamlaka ya kuwatuma na kuwaambia wafanye nini na wakati gani, hata Waziri mkuu akitoa maagizo kwa mawaziri anatoa kwa mamlaka aliyopewa na Rais.

Sasa tuelewane nataka kusema nini, Chama kilichomdhamini Rais kama kina madukuduku na maelekezo hayo anapewa mtu wao waliyemdhamini akawa Rais na sio kuanza kuwaita na kuwahoji watumishi wa Umma.

Sasa wewe Omulasil ungekuwa mbunge kwa kudhaminiwa na Chama, na kisha Rais akakuona akakupa uwaziri, hapo chama kinauwezo wa kukuwajibisha wewe kama mbunge kwa kazi zako za kibunge na sio uwaziri wako.

Hapa sasa tusipoelewana sijui shida itakuwa wapi.
 
nafikiri kiongozi safi na makini hachagui wa kumuhoji hata mlala hoi anapaswa kumuhoji bila ya kunyanyua mabega
 
Mkuu, sasa sijui tafsiri nzuri ya mwanasiasa, ila naona bado unazunguka.

Labda turahisishe iwe hivi, naamini wewe ni mtu na akili zako nzuri tu.

Mamlaka ya uteuzi ya waziri ni Rais, na anafanya hivyo kwa kushauriana na Waziri Mkuu na Makamu.

Rais ni rais kwasababu alidhaminiwa na chama cha siasa kugombea nafasi hiyo.

Rais akiisha kushinda uchaguzi, anakabiliwa na jukumu la kuunda serikali na hapo atatafuta Mwanasheria mkuu, atateua waziri mkuu kutoka katika chama chenye wabunge wengi bungeni. Na baada ya hapo atateua Mawaziri wake ( akina Bashe hao)

Katika zoezi hili la kuteua mawaziri, Rais haingiliwi na Chama chake, ni busara zake na kuona wapi aweke nani na nani anamfaa wapi!

Hivyo basi, nyie kama chama hamjui amepata vipi watu wa kumsaidia kufanya kazi zake yeye kama mtu mliyemdhamini kuupata urais.

Rais sasa ndio ana mamlaka ya kuwatuma na kuwaambia wafanye nini na wakati gani, hata Waziri mkuu akitoa maagizo kwa mawaziri anatoa kwa mamlaka aliyopewa na Rais.

Sasa tuelewane nataka kusema nini, Chama kilichomdhamini Rais kama kina madukuduku na maelekezo hayo anapewa mtu wao waliyemdhamini akawa Rais na sio kuanza kuwaita na kuwahoji watumishi wa Umma.

Sasa wewe Omulasil ungekuwa mbunge kwa kudhaminiwa na Chama, na kisha Rais akakuona akakupa uwaziri, hapo chama kinauwezo wa kukuwajibisha wewe kama mbunge kwa kazi zako za kibunge na sio uwaziri wako.

Hapa sasa tusipoelewana sijui shida itakuwa wapi.
🙏🙏👏
 
Nimegundua kuwa Wabongo wanaweza kusema kitu ni conspiracy theory, halafu yale madai kwamba ni conspiracy theory nayo yakasemwa kuwa ni conspiracy theory 🤣🤣🤣

Yani unaweza kusikia StudentTeacher anasema "Makonda anaigiza yule" halafu ukasikia Kiranga anakwambia "Yule StudentTeacher anaigiza kusema Makonda anaigiza".

Yani kama hadithi ndani ya hadithi na kwenye hadithi ndani ya hadithi kuna ndoto ndani ya ndoto, kwenye kitabu cha Alfu Lela U Lela, kwenye kisiwa kilicho ziwani ndani ya ziwa lililo kisiwani.

Ukimaliza lazima uchoke sana.

Hii nchi ngumu hii.
Dah kabisaa...ni sawa na uweke plan...na katika plan uweke tena plan ambayo hiyo plan hutaitekeleza na kufanya plan nyingine...
 
Back
Top Bottom