Pre GE2025 Makonda amjibu Waziri Bashe, asema atamhoji sababu yeye ndiye anakitafutia kura chama

Pre GE2025 Makonda amjibu Waziri Bashe, asema atamhoji sababu yeye ndiye anakitafutia kura chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mheshimiwa Makonda ni maarufu sana ndani ya Taifa letu. Ni maarufu ambaye ukitaja jina lake tu kila mtu anamfahamu .ndio maana unaona namna alivyoteka siasa za nchi hii wakati huu.
Bashite ni maarafu kwa sababu ya msambwanda, kuteka watu, kuua na kudhulumu mali za watu
 
Mmoja anajua kutengeneza nadhari kisomi na kuziongea kana kwamba zitaenda .
Mwingine hana nadharia anatenda kulingana kilichopo mbele yake yeye ni Mtendaji hana siasa anapiga popote bila kujali anataka Matokeo.
Wote wana sifa ya kusikiliza hata kama ni kiusanii lkn wanakupa ushirikiano na kuonyesha wako nawe.
Chagueni yupi bora
 
Migogoro mikubwa nchi hii inahusu ardhi. Polisi, Mahakama.

Ni hivi, kigogo anachukua ardhi yako, ardhi ya mama yako, ardhi ya yatima, mjane, analindwa na polisi, mahakama.

Unafanyaje?
Unasubiri Makonda apite uongee. Paralysed mifumo
 
Kama unge
Kuna sehemu nimesema chama kinapaswa kukaa kimya? Si umeona ulivyo na matatizo ya kuelewa?

Narudia tena, Makonda kama mtumishi wa Chama hana mamlaka yoyote ya kuwasimamisha watumishi wa Umma au kuwapigia simu majukwaani na kutaka maelezo yao na kuwapa amri.

Chama kinafanya hivyo kupitia vikao. Nyie endeleeni kuhalalisha ujinga kwakuwa ni wajinga ila msilazimishe watu kuamini na kuuishi ujinga wenu.
KAMA ungejua serkali inatekeleza ilani ya chama ambacho ni ccm ungekaa kimya.
Bashe yuko hapo kwa mgongo wa chama asilete usanii ataliwa kichwa na wanamjua ni timu Lowasa na Msomali
 
Mheshimiwa Bashe Alikosea sana kutoa kauli ile hadharani na kuleta picha ya kama dharau kwa watu.ukiwa kiongozi unatakiwa utambue wapi uzungumze na wapi ukae kimya.uongozi mzuri ni pamoja na kuchagua maneno na kauli za kuzungumza mbele za watu.sasa alikuwa anatunishiana na nani misuli? Kwamba katibu mkuu wa chama ni mdogo kwake na hawezi mwambia chochote? Kwamba makamu mwenyekiti wetu wa chama ni mdogo kwake na hawezi mwambia chochote? Hii ni dharau na kujisahau ulikotokea.
Ukitafakari sana alichosema inamaana hata wapiga kura wake hawwawezi kumuuliza kitu acha sisi wananchi
 
Migogoro mikubwa nchi hii inahusu ardhi. Polisi, Mahakama.

Ni hivi, kigogo anachukua ardhi yako, ardhi ya mama yako, ardhi ya yatima, mjane, analindwa na polisi, mahakama.

Unafanyaje?
Unasubiri makonda aje umweleze. maana hao machadema ndo wamesababisha hizi shida zote kwa wananchi.
 
View attachment 2888158View attachment 2888159


Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian Makonda, mahasimu hao wa muda mrefu toka 2014 wakiwa katika makundi ya kuusaka urais wa 2015, Makonda ambae ni kijana wa Sitta adui mkubwa wa Mzee Lowasa walianza kutupiana maneno makali muda mrefu.

Makonda akiwa ziarani siku ya jana amemjibu waziri wa kilimo Bashe kuwa atamhoji tu kwasababu yeye ndio anakitafutia kura chama hicho.

Bashe alinukuliwa mwisho wa wikii hii akiwajia juu wafanyabiashara wa sukari kwa kufanya lobbying kwa Paul Makonda ili aondoe bei elekezi.

Rai Yangu: Ni vyema vyombo vya maamuzi visiingilie ugomvi huu kwasababu ni kutunishiana misuli kwa vijana wala hakuna jambo serios sana, asitokee wa kuonewa maana wote wanaviziana muda mrefu tu, asionewe mtu.
Sasa Bashe Godfather wake Lowasa yupo hoi bin taabani,atashindana na Makonda mtonyaji maalumu wa Msoga gang kimkakati ambaye alijifanya Mwandani wa Magufuli.
Yule mtoto Bashe amwache tu,yule hamuwezi.Sukuma gang wamejipanga sana!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kama unge

KAMA ungejua serkali inatekeleza ilani ya chama ambacho ni ccm ungekaa kimya.
Bashe yuko hapo kwa mgongo wa chama asilete usanii ataliwa kichwa na wanamjua ni timu Lowasa na Msomali
Sijui ni uzito wa uelewa wako au tatizo ni uelewa mdogo?

Kabla ya hicho unachoita ilani, kuna sheria za nchi na kanuni mbalimbali za utumishi wa Umma.

Pili, narudia kwa mara nyingine ili hata kama uelewa wako ni mdogo uelewe hapa. Chama kina kazi ya kuisimamia serikali kwa kupitia vikao. Makonda hana mamlaka yoyote ya kuwasimamisha majukwaani au kuwapigia simu watumishi wa umma na kuwahoji au kuwapa maagizo yoyote.

Acheni kulishana ujinga.
 
Mwambie Basi Bashe kama hataki kuulizwa na chama na kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayogusa wizara yake basi ajiuzulu hataleo tu ili Mheshimiwa Rais wetu mpendwa ateue mtu mwingine.
Inaonekana ujinga mnaolishana ni mkubwa kuliko uwezo wangu wa kuelewesha mkuu, naomba nikuache na imani yako.
 

Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.

Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.

Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
Sasa Bashe ana madaraka gani ya kupambana na Makonda,Makonda ana network pana sana mpaka TISS.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Bashe nenda na upepo kama unataka kuendelea kula Kodi zetu ujuaji itakula kwako.
 
Kwa taarifa
Sijui ni uzito wa uelewa wako au tatizo ni uelewa mdogo?

Kabla ya hicho unachoita ilani, kuna sheria za nchi na kanuni mbalimbali za utumishi wa Umma.

Pili, narudia kwa mara nyingine ili hata kama uelewa wako ni mdogo uelewe hapa. Chama kina kazi ya kuisimamia serikali kwa kupitia vikao. Makonda hana mamlaka yoyote ya kuwasimamisha majukwaani au kuwapigia simu watumishi wa umma na kuwahoji au kuwapa maagizo yoyote.

Acheni kulishan

Sijui ni uzito wa uelewa wako au tatizo ni uelewa mdogo?

Kabla ya hicho unachoita ilani, kuna sheria za nchi na kanuni mbalimbali za utumishi wa Umma.

Pili, narudia kwa mara nyingine ili hata kama uelewa wako ni mdogo uelewe hapa. Chama kina kazi ya kuisimamia serikali kwa kupitia vikao. Makonda hana mamlaka yoyote ya kuwasimamisha majukwaani au kuwapigia simu watumishi wa umma na kuwahoji au kuwapa maagizo yoyote.

Acheni kulishana ujinga.
Hatakusaidia kuandika kwa hasira. Kwa taarifa yako Waziri yuko hapo kisiasa. Ndio maana Makonda hadili na Makatibu wa wizara ambao hawako kisiasa. Huyo Bashe kama hujui ni Mbunge wa ccm. Ubunge na serkali wapi na wapi? Bora uje kambi yetu ya kudai katiba ili serkali na chama zitenganishwe. Kama hujui kuwa hujui kaa ukijua. Ndio maana tunawaambia suasa na serkali zikae tofauti lkn si kwa katiba hii. Makonda ni Bosi wa Bashe kwa chama chao. Juzi DED huko Tanga amesimamishwa kwa tamko la Makonda akumuomba Waziri mhusika naye amuondoe na waziri huyo ni mwanasiasa wa chama chao.

Relax utapasuka
 
Mim naona unamlisha maneno. Nimeskia kikao cha wazir bashe
Alichokuwa anakisema pale ni kwamba hakuna wa kumuliza kwa nin anaelekeza bei elekez ispokuwa wat 4.
Mbona amepigiwa sim na makonda juu ya bei ya sukar na akamjibu kuwa wanaifanyia kaz kwa kuleta iliyopungua na bei elekez. Mnashabikia vitu vya kijinga.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ila ukifuatilia watu tuna unyama fulani hivi.

Tabia zetu ni zlle zile za ku mark territory, ku establish dominance, kutaka kuonekana zaidi.

Yani it doesn't matter mtoto wa shule, waziri, silverback gorilla, deep down tuna hiyo violent and competitive streak.

Mimi najaribu sana kuikwepa hii siku hizi.

Hapa JF mpaka unashangaa, kitu kidogo tu watu wanalipuana.
Lakini humans are territorial in nature......
 
Naomba unijibu swali hili. Je katika wanaotakiwa kumuhoji au kumpa maagizo Mheshimiwa Bashe uliona mahali popote pale alipomtaja katibu mkuu? Huoni kuwa alimdharau na kuona hawezi kumpa maagizo yoyote yale? Unaona ni sawa hiyo? Huoni ni dharau kwa chama na viongozi wa chama?
Mambo ya kuonyana ni ya chama huko ndani

Huku nje ni kofia za uteuzi kiserikali sababu unahudumia watu wote...kofia ya uwaziri haitaji kuhojiwa na makonda..sababu sio yeye aliyemteua au atakaemtoa

Sawa na monter na kaka mkuu
Kaka mkuu anaweza kuwa katoka darasani kwa monter...kweli kaka mkuu akiwa darasani yuko chini ya monter sababu monter ni mkubwa kidarasa



Ila wakitoka nje kaka mkuu over all .....monter ananguvu ya kumuongoza kaka mkuu
 
Sasa Bashe ana madaraka gani ya kupambana na Makonda,Makonda ana network pana sana mpaka TISS.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kuna sehemu nimezungumza kuhusu madaraka kwenye mchango wangu mkuu?

Halafu punguza ujuaji, haya mambo ya TISS sijui na network endeleeni kujadiliana huko vijiweni.
 
Back
Top Bottom