Pre GE2025 Makonda amjibu Waziri Bashe, asema atamhoji sababu yeye ndiye anakitafutia kura chama

Pre GE2025 Makonda amjibu Waziri Bashe, asema atamhoji sababu yeye ndiye anakitafutia kura chama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.

Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.

Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
Kwa CCM simuoni bora
 
View attachment 2888158View attachment 2888159


Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian Makonda, mahasimu hao wa muda mrefu toka 2014 wakiwa katika makundi ya kuusaka urais wa 2015, Makonda ambae ni kijana wa Sitta adui mkubwa wa Mzee Lowasa walianza kutupiana maneno makali muda mrefu.

Makonda akiwa ziarani siku ya jana amemjibu waziri wa kilimo Bashe kuwa atamhoji tu kwasababu yeye ndio anakitafutia kura chama hicho.

Bashe alinukuliwa mwisho wa wikii hii akiwajia juu wafanyabiashara wa sukari kwa kufanya lobbying kwa Paul Makonda ili aondoe bei elekezi.

Rai Yangu: Ni vyema vyombo vya maamuzi visiingilie ugomvi huu kwasababu ni kutunishiana misuli kwa vijana wala hakuna jambo serios sana, asitokee wa kuonewa maana wote wanaviziana muda mrefu tu, asionewe mtu.
Kwahiyo Makonda anataka kupiga cha juu kupitia sukari.Go Go Bashe
 
Kwa CCM simuoni bora
Kuna watu makini sana ndani ya CCM mkuu, tatizo ni kwamba kuna upande unaweza kuwa na ukashindwa kuonyesha ubora wako.

Kama wewe ni mwana CHADEMA,( kama sio utanisamehe) unawakumbuka wanachama wenu waliotoka huko na kuhamia CCM? Unawaonaje kwa sasa?


 
Acha kumpa kiburi kisicho na msingi.yeye hayupo juu ya chama na ni lazima Bashe akiheshimu Chama san.asilete kiburi na jeuri kwa chama na viongozi wa chama
Jibu kwa hoja .... acha kanjanja

Shida inaanza wengi hawawezi tofautisha mipaka ya chama na mipaka ya teuzi za kiserikali
 
Mim naona unamlisha maneno. Nimeskia kikao cha wazir bashe
Alichokuwa anakisema pale ni kwamba hakuna wa kumuliza kwa nin anaelekeza bei elekez ispokuwa wat 4.
Mbona amepigiwa sim na makonda juu ya bei ya sukar na akamjibu kuwa wanaifanyia kaz kwa kuleta iliyopungua na bei elekez. Mnashabikia vitu vya kijinga.
Pamoja na yote ile kauli ya Bashe ilikuwa imejaa kiburi ndani yake….
 
Jibu kwa hoja .... acha kanjanja

Shida inaanza wengi hawawezi tofautisha mipaka ya chama na mipaka ya teuzi za kiserikali
Mimi naona watu wanapaplishi mambo,MBONA MWENYEEZI alipokuwa Arusha alimhoji Bashe kuhusu kupanda kwa bei ya sukari,na Waziri Bashe alitoa ushirikiani sana mpaka akatoa bei elezi ya nchi nzima ,MWENEEZI alimsisitiza Bashe asisite kuwachukulia hatua woote wanaovuruga bei elekezi,
 
Mimi naona watu wanapaplishi mambo,MBONA MWENYEEZI alipokuwa Arusha alimhoji Bashe kuhusu kupanda kwa bei ya sukari,na Waziri Bashe alitoa ushirikiani sana mpaka akatoa bei elezi ya nchi nzima ,MWENEEZI alimsisitiza Bashe asisite kuwachukulia hatua woote wanaovuruga bei elekezi,
Lakini baada ya hapo akakaa kikao na wadau akatoa kauli zile ambazo zilionesha dharau sana kwa chama na viongozi wake…hakupaswa kunena yale mbele za watu wakati anajua fika chama kina nguvu kuliko yeye! Hata Samia mwenyewe nje ya CCM hana nguvu!
 

Bashe ni akili kubwa, ni mtu makini anayejua kusimamia anachoamini, kubwa zaidi sio mnafiki.

Makonda ni akili ndogo, mtu anayeweza kutumika vizuri na baada ya matumizi akatupwa mbali. Yeye hajali, yeyote mwenye madaraka anaweza kumtumia kwa kazi yoyote.

Hakuwezi kuwa na vita kati ya akili kubwa na akili ndogo, hapo ni mmoja anaanika ujinga wake na mwingine anaanika ubora wake.
Nyie ndo mnamponza Bashe. Siasa za CCM haziko hivyo. Bashe ana angles nyingi za kushughulikiwa tena kirahisi sana. Kibaya zaidi nyie wapinzani mnavyomsifia ndo mnaharibu zaidi
 
Imekuwa wiki ya kutupiana vijembe kati ya mahasimu wa muda mrefu Husein Mohamed Bashe na Paulo Christian Makonda, mahasimu hao wa muda mrefu toka 2014 wakiwa katika makundi ya kuusaka urais wa 2015, Makonda ambae ni kijana wa Sitta adui mkubwa wa Mzee Lowasa walianza kutupiana maneno makali muda mrefu.

Makonda akiwa ziarani siku ya jana amemjibu waziri wa kilimo Bashe kuwa atamhoji tu kwasababu yeye ndio anakitafutia kura chama hicho.

Bashe alinukuliwa mwisho wa wikii hii akiwajia juu wafanyabiashara wa sukari kwa kufanya lobbying kwa Paul Makonda ili aondoe bei elekezi.

Rai Yangu: Ni vyema vyombo vya maamuzi visiingilie ugomvi huu kwasababu ni kutunishiana misuli kwa vijana wala hakuna jambo serios sana, asitokee wa kuonewa maana wote wanaviziana muda mrefu tu, asionewe mtu.

Kwamba waachwe waendelee kutafutana. Alafu siku tuwape ulingo wamalizane kikubwa
 
Anaacha bandari yao inauzwa kule Somaliland halafu analeta mazarau hapa, patachimbika
 
Nyie ndo mnamponza Bashe. Siasa za CCM haziko hivyo. Bashe ana angles nyingi za kushughulikiwa tena kirahisi sana. Kibaya zaidi nyie wapinzani mnavyomsifia ndo mnaharibu zaidi
Nani amekwambia mimi ni mpinzani? Napinga nini kwanza? Ujinga umewafanya muone kila anayekosoa na kushauri ni mpinzani.
 
Back
Top Bottom