Makonda anafanya kazi za Kinana na Dkt. Nchimbi. Je, ndiyo utaratibu wa chama?

Makonda anafanya kazi za Kinana na Dkt. Nchimbi. Je, ndiyo utaratibu wa chama?

Kwa mujibu wa Katiba ya CCM kazi ya Katibu wa Itikadi,uenezi na Mafunzo ni kukisemea na kukitolea taarifa chama kinapokua kwenye utekelezaji wake. Sasa Kaka Bashite aneacha wajibu wake anafahya kazi za Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Kinana, anafanya kazi za Dr Nchimbi, katibu mkuu wa Chama. Sinui Naibu katibu mkuu ana kazi gani.

Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.

Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?

Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?

Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.
Kwa sasa anatumika kama Condom kutokana ina Umuhimu ila baada ya Oktoba, 2025 Condom itatupwa rasmi baada ya kutumika ipasavyo kuanzia mwaka huu 2024 na hatokuwa na chake tena labda tu aonewe Huruma apewe Ubunge au Ubalozi tofauti na Cheo cha VP au PM ambacho Kadanganywa na Wapumbavu na Wanafiki kuwa atateuliwa.
 
Kwa sasa anatumika kama Condom kutokana ina Umuhimu ila baada ya Oktoba, 2025 Condom itatupwa rasmi baada ya kutumika ipasavyo kuanzia mwaka huu 2024 na hatokuwa na chake tena labda tu aonewe Huruma apewe Ubunge au Ubalozi tofauti na Cheo cha VP au PM ambacho Kadanganywa na Wapumbavu na Wanafiki kuwa atateuliwa.
Genta nchi iko pabaya umeme haupo ukipatikana quality yake mbovu,bei za vitu ziko juuu,huduma maofisini za ovyo maofisa wapo kumsifia mama aendelee kutawala na wao waendelee kuiba na kuzembea kazini,Kwa ujumla kipindi hiki ni kigumu sana kwetu raia.
 
Muache apige kazi anasaidia sana ana mbinu mbadala
Watu wengi bado wanatamani JPM style of Leadership. !!
Makonda anacheza na Akili za hao watu na kwa muda huu mfupi tu ameshaonekana kwamba hadhibitiki tena na yeyote !
 
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM kazi ya Katibu wa Itikadi,uenezi na Mafunzo ni kukisemea na kukitolea taarifa chama kinapokua kwenye utekelezaji wake. Sasa Kaka Bashite aneacha wajibu wake anafahya kazi za Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Kinana, anafanya kazi za Dr Nchimbi, katibu mkuu wa Chama. Sinui Naibu katibu mkuu ana kazi gani.

Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.

Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?

Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?

Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.
Hata wewe usipowajibika nyumbani kwako atawajibika mkeo!! Mama hawezi kuwaacha watoto wafe kwa njaa eti tu Kwa sababu baba ni Mlevi asiyewajibika.
 
Watu wengi bado wanatamani JPM style of Leadership. !!
Makonda anacheza na Akili za hao watu na kwa muda huu mfupi tu ameshaonekana kwamba hadhibitiki tena na yeyote !
Sasa hivi Kinana na hata Nchimbi wanaogooa kufanya ziara make mapokeo yake yanaweza kuwa anguko kwao

Makonda amewashika pabaya
 
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM kazi ya Katibu wa Itikadi,uenezi na Mafunzo ni kukisemea na kukitolea taarifa chama kinapokua kwenye utekelezaji wake. Sasa Kaka Bashite aneacha wajibu wake anafahya kazi za Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Kinana, anafanya kazi za Dr Nchimbi, katibu mkuu wa Chama. Sinui Naibu katibu mkuu ana kazi gani.

Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.

Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?

Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?

Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.
Unateseka ukiwa wapi goroko were!!
 
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM kazi ya Katibu wa Itikadi,uenezi na Mafunzo ni kukisemea na kukitolea taarifa chama kinapokua kwenye utekelezaji wake. Sasa Kaka Bashite aneacha wajibu wake anafahya kazi za Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Kinana, anafanya kazi za Dr Nchimbi, katibu mkuu wa Chama. Sinui Naibu katibu mkuu ana kazi gani.

Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.

Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?

Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?

Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.
Mkuu usiseme sana. Uteuzi wake pengine ni "watershed" moment katika harakati za mageuzi ya nchi hii. "Tumpongeze" mama kwa uteuzi wake! Sijui unanielewa?
 
Sasa hivi Kinana na hata Nchimbi wanaogooa kufanya ziara make mapokeo yake yanaweza kuwa anguko kwao

Makonda amewashika pabaya
Kabisa !!
Imeisha hiyo !
Siasa nihesabu !
Amewakamata kweri kweri !
Itabidi wawe wanyenyekevu tu hamna jinsi !!
 
Mtanyooka tu mafisadi awamu hii. Unadhani anafanya hayo bila ruhusa?
 
Leadership by high propaganda?
Siyo propaganda,hatukuona project ya stigra,reli ya sgr,makao makuu Dom Kila kitu kilikuwa kinaenda inavyotakiwa bei zilikuwa nzuri,barabara zilijengwa,hata mama alisema kazi iendelee, wewe useme propaganda? Chuki haziwezi kubadili ukweli,pole vyeti feki,mishahara hewa nk.
 
Siyo propaganda,hatukuona project ya stigra,reli ya sgr,makao makuu Dom Kila kitu kilikuwa kinaenda inavyotakiwa bei zilikuwa nzuri,barabara zilijengwa,hata mama alisema kazi iendelee, wewe useme propaganda? Chuki haziwezi kubadili ukweli,pole vyeti feki,mishahara hewa nk.
Always remember the English saying: The devil is in the details. Kazi za serikali hazipimwi kwa macho! “Kazi iendelee” ni porojo ya kisiasa kuwaweka sawa wajinga wasioelewa kitu.

Jiulize, kwa nini Magufuli alizuia vyombo vya habari kufuatilia na kutoa habari huru za miradi na shughuli za serikali isipokuwa zile anazotoa yeye na taasisi za serikali pekee.

Mtu anayefanya kazi za kutukuka “zinazoonekana” anakuwaje na wasiwasi zikifanyiwa uchunguzi na kutolewa taarifa pana na vyombo vya habari?
 
Always remember the English saying: The devil is in the details. Kazi za serikali hazipimwi kwa macho! “Kazi iendelee” ni porojo ya kisiasa kuwaweka sawa wajinga wasioelewa kitu.

Jiulize, kwa nini Magufuli alizuia vyombo vya habari kufuatilia na kutoa habari huru za miradi na shughuli za serikali isipokuwa zile anazotoa yeye na taasisi za serikali pekee.

Mtu anayefanya kazi za kutukuka “zinazoonekana” anakuwaje na wasiwasi zikifanyiwa uchunguzi na kutolewa taarifa pana na vyombo vya habari?
Unahitaji chombo cha habari kujua shirika la ndege limefufuliwa?huzioni?

Unahitaji chombo cha habari kujua serikali imehamia Dodoma? Unahitaji chombo cha habari kuona nguzo za SGR?

JINGA KABISA WEWE
 
Unahitaji chombo cha habari kujua shirika la ndege limefufuliwa?huzioni?

Unahitaji chombo cha habari kujua serikali imehamia Dodoma? Unahitaji chombo cha habari kuona nguzo za SGR?

JINGA KABISA WEWE
Shirika la ndege limefufuliwa, umeziona ndege! 🤔

Dah. Kweli ignorance is bliss. Endelea kusherehekea.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM kazi ya Katibu wa Itikadi,uenezi na Mafunzo ni kukisemea na kukitolea taarifa chama kinapokua kwenye utekelezaji wake. Sasa Kaka Bashite aneacha wajibu wake anafahya kazi za Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Kinana, anafanya kazi za Dr Nchimbi, katibu mkuu wa Chama. Sinui Naibu katibu mkuu ana kazi gani.

Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.

Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?

Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?

Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.
Kama wahusika wanapwaya acha afanye tu.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM kazi ya Katibu wa Itikadi,uenezi na Mafunzo ni kukisemea na kukitolea taarifa chama kinapokua kwenye utekelezaji wake. Sasa Kaka Bashite aneacha wajibu wake anafahya kazi za Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Kinana, anafanya kazi za Dr Nchimbi, katibu mkuu wa Chama. Sinui Naibu katibu mkuu ana kazi gani.

Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.

Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?

Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?

Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.
Kwani Kinana na Nchimbi wanasemaje?
Anafanyakazi ya mwenyekiti wake wa chama
 
Back
Top Bottom