Makonda anaposema hatalipa kisasi, kwani alifanyiwa mambo gani mabaya na kina nani?

Makonda anaposema hatalipa kisasi, kwani alifanyiwa mambo gani mabaya na kina nani?

😊😊
Labda kuna ambao wanataka nafasi yake. Au uwepo wake duniani kwa wengine wanaona ni kero hivyo watataka kumdhuru
Ninachokiamini ni kwamba,kauli aliyoitoa imejaa chuki kubwa na visasi.Anaongea kuanzia mwisho kurudi mwanzo kwa anayeamini ni adui yake.Muda hutoa sauti kuu.
 
Ninachokiamini ni kwamba,kauli aliyoitoa imejaa chuki kubwa na visasi.Anaongea kuanzia mwisho kurudi mwanzo kwa anayeamini ni adui yake.Muda hutoa sauti kuu.

Sasa hapo kwenye visasi ndio mimi nimeachwa. Yaani yeye kakosewa jambo gani kama kiongozi alafu wananchi wasijue? Jambo hilo ambalo ndilo anakiri hadharani kuwa hatalipa kisasi. Hapo ndipo mimi nimeachwa.

Kwa mfano Lisu, watanzania wote na Watu duniani tunajua alipigwa Risasi. Yeye akisema hatalipa kisasi anauhalali kwa sababu Watu wote tunajua kilichotokea.

Lakini haiwezekani mtu labda kama mimi niseme zitalipa kisasi wakati ninyi hamjui nini nimefanyiwa.
 
Sasa hapo kwenye visasi ndio mimi nimeachwa. Yaani yeye kakosewa jambo gani kama kiongozi alafu wananchi wasijue? Jambo hilo ambalo ndilo anakiri hadharani kuwa hatalipa kisasi. Hapo ndipo mimi nimeachwa.

Kwa mfano Lisu, watanzania wote na Watu duniani tunajua alipigwa Risasi. Yeye akisema hatalipa kisasi anauhalali kwa sababu Watu wote tunajua kilichotokea.

Lakini haiwezekani mtu labda kama mimi niseme zitalipa kisasi wakati ninyi hamjui nini nimefanyiwa.
Mpe muda.Ataongea kwa lugha ya picha zenye rangi nzurinzuri.Ni kama hadithi ya mfalme mwenye masikio marefu kama masinia ya ubwabwa.
 
Bila shaka Mko Pouwa!

Makonda amesema mbele za Watu kuwa hatalipa Kisasi, kumaanisha kuwa kundi kubwa la Watu analoliambia kuwa hatalipa Kisasi linajua mabaya aliyofanyiwa Makonda.

Hapo kwa upande wangu nimeachwa kidogo kwa sababu sijui nini na kina nani walimfanyia ubaya Makonda mpaka kufikia hatua ya kusema hatalipa kisasi(akimaanisha amesamehe).

Mandela yeye kwa upande wake alisema amesamehe na hatalipa kisasi na wote tunajua nini kilitokea na wabaya wake ni kina nani.

Yesu alipokuwa anasulubishwa naye aliongea maneno hayahaya ya Makonda, hadharani kuwa Mungu awasamehe(asimlipie kisasi) kwa sababu hawajui watendalo. Na wabaya waliomsulubisha walikuwa wanafahamika. Halikadhalika na Stephano aliyekuwa anapigwa Mawe mpaka kufa.

Lakini Kwa Makonda nimeachwa Njia panda, au kuna taarifa imenipita. Sasa nataka yeyote anayejua atuambie ni nini kibaya ambacho Makonda alifanywa ambacho alitakiwa alipe kisasi lakini ameamua kusamehe? Na waliomfanyia huo ubaya ni kina nani?

Ukizingatia kuwa Yeye ndiye ambaye analaumiwa na kushutumiwa kwa ubaya.

Nipo hapa,

Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwanza niliamini ule ujumbe ulikuwa kwa GSM.

Halafu wanaelewana wenyewe watu wa system.

Pia kwa sasa hana ubavu wa kulipa kisasi hata akitaka kufanya hivyo.

System imemlinda na system imemsamehe. "Reconciliation".

Sasa aingie kwenye "Resilience" kama alivyoanza jana na Mbowe, kwenye tatizo alifanye liwe fursa, kwa nia njema kabisa.

Reform na Rebuilding itakuwa nyepesi kwake akiyafata hayo mawili ya mwanzo.
 
Back
Top Bottom