Makonda anaweza fanya kuamka asubuhi Bashe sio waziri wala mbunge

Makonda anaweza fanya kuamka asubuhi Bashe sio waziri wala mbunge

Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
Bashe hawezi kutumbuliwa kwasababu ya kelele za Makonda labda awe na shida ktk utendaji wake. Samia is so smart siyo yule mliyemzoea huko nyuma. Hii ya piga kazi aliyomwambia jukwaani ni lugha ya kisiasa, lakini Samia anajua na anaheshimu sana, sheria, taratibu na misingi ya uongozi.

Yule mkurugenzi wa Pangani anaetolewa mfano alikuwa na makando kando yake kiutendaji si kweli kwamba alitumbuliwa kwasababu ya Makonda, it was just a coincidence.
 
Chama kina nguvu kuliko serikali makonda ndie boss wa mawaziri na wakuu wa mikoa,wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi na wote wanaoteuliwa na raisi,bashe asilete ujuaji labda kama kachoka kula Kodi zetu akicheza atamfata Ally Hapi shambani
Hivi huyo ziro na katibu mkuu Nani mkubwa?
 
Bashe zaidi ya usomali na kinga ya Rostam Aziz ana kitu gani cha ziada.
Hakuna waziri wa serikali aliyepiga kazi kazi hata nusu tu ya bashe. CCM wote ni mizigo angalau huyo jamaa anapapatua na ana Nia ya kufanya kitu sema system ina wehu
 
Makonda si bosi ya mawaziri, wote uliowataja wana report kwa rais, makonda si rais. Na wana uwezo wa kumgomea ku report na asifanye chochote. Hana nguvu kisheria
Wateuliwa wote wa raisi ni wanachama wa CCM.
Na makonda ndie boss wa chama,
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
Umenena kweli!!!!
 
Na kama itakuwa hivyo basi nitazidi kuiona mamlaka ya uteuzi haina weledi hata kdg kama inaweza kumuondoa mtu mwenye akili ktk kazi yake sababu ya watu wenye akili ndogo!
 
Na kama itakuwa hivyo basi nitazidi kuiona mamlaka ya uteuzi haina weledi hata kdg kama inaweza kumuondoa mtu mwenye akili ktk kazi yake sababu ya watu wenye akili ndogo!
Kuna watendaji sio watanzania Ila wameteuliwa ngazi za maamuzi hii ni Kwa mujibu WA report ya CDF
 
Makonda ana Kissasi na Bashe toka wakati wa team lowassa ……alikuwa akitukana hivi hivi …Juzi anajifanya kuomba msamaha Monduli
 
Unasema Chama halafu unamuongelea Makonda pekee. Makonda si Chama. Yaani wapambe mnakosa hekima ambayo yeye Makonda anayo. Yeye mwenyewe anasema Chama kimeelekeza hiyo ina maana hata uamuzi wa kumuondoa Bashe ikibidi utakuwa ni wa vikao na sio wa mtu. Makonda amewekwa hapo kupitia maamuzi ya vikao. Heshimuni Taasisi yenye vikao rasmi na katiba. Ingekuwa chama ni mtu kuna wengi wangekuwa hawako CCM kwasababu tu walitofautiana na kina fulani.
Inashangaza sana kwa Makonda kujinadi kuwa yeye ndie anatafutia ccm kura as if ushindi wa ccm unaletwa na mtu mmoja na sio team effort ya watu wengi!
Hata hawa ccm wanapoiba kura hushirikiana watu wengi sio kazi ya mtu mmoja!!
Hivi hii confidence ya Makonda kutoka kwa Samia inatokana na nini hasa ? Hasa ukitambua kuwa huyu jamaa ni zero brain!
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
Wasugusu kwa fikra mbuzi hamjambo!
 
Mnamdogosha sana Bashe. Mnamkuza sana Makonda. Msichojua si kila nguvu ya mtu iko wazi na inahesabika kwa wanaohudhuria mikutano ya hadhara ambao tunajua wanajaaje. Mbele ya umma ukiacha hii ishu ya Sukari Bashe ana heshima yake mbele ya wananchi na hata ndani ya chama ambayo hakutumia nguvu wala ubabe kuipata. Apambane na hili la sukari mengine muda na Muumba wake ndio waamuzi.Kwa ufupi kila mmoja ana umuhimu wake na nafasi yake ina umuhimu kwa CHAMA na SERIKALI. KAZI IENDELEE.
Makonda kama mwenezi majukumu yake yapo kikatiba Kwa katiba ya CCM sio katiba ya nchi.

Bashe kama waziri majukumu yake yapo kikatiba Kwa katiba ya nchi..wenye mamlaka na waziri Ni watumishi wa serikali sio watumishi wa chama.

Kazi ya makonda Ni kupeleka ripoti ya utekelezaji wa ilani za chama sio kuwakalipia na kuwadhihaki W viongozi wa serikali.
Makonda bado anaota ubabe,utemi,sifa na hatamadaraka.
 
Nitambea uchi kutoka Mwenge mpk Mbagala endapo Makonda makalio makubwa atasababisha Bashe akili kubwa akatumbuliwa uwaziri.

Lkn sitashangaa Bashe akisabanisha Makonda makalio makubwa akapotea na kuanza kuishi kwa kujiificha kama digidigi tena
 
Nimekuwa mfuatiliaji wa siasa majitaka za kwetu kwa muda mrefu.

Kwa mfumo wetu wa siasa maboss wa chama wana nguvu kubwa kuliko maboss wa kiserikali.

Kuna huku kurushiana maneno baina ya mwenezi na Waziri Bashe sina hakika sana kama ni issue serious sana maana nacho ona ni maigizo na ulaghai wa kisiasa una endelea.

Lakini kama issues ingekuwa serious mwenezi anaweza kumfanya Bashe akalala mbunge na Waziri na akaamka asubuhi hana vyote.

Siasa zetu hupaswi hata kidogo kudharau maboss wa chama ambao serikali ipo chini yao.

Mwenyekiti wa CCM mkoa ana nguvu ndani ya chama kuliko mbunge wa kawaida tu.

Heshima na nguvu katika siasa zetu zinaanzia katika chama na kwenye chama ndipo kuna vita kubwa kuliko sehemu yoyote ile hata Rais Samia mara kadhaa amekuwa akikiri hili kuitawala chama na kikaenda na wewe nchi kuitawala inakuwa kazi nyepesi.

Bashe awe makini na Makonda anaweza kumfanya bungeni arudi au asirudi kabisa labda kama ana support ya mwenyekiti wa chama.

Nawakumbusha tena viongozi wa CCM wana nguvu kuliko viongozi wa kiserikali.
Unaijua nguvu ya Rostam Azizi na Kinana?
 
Haitakuwa kuwa mala ya kwanza kwa Bashite na kundi lake kumteka Bashe na kwenda kumpiga lakini Bashe bado ni ng'ang'ari na aliwaanika Bungeni Wauaji.
 
Back
Top Bottom