Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdanganyeni, ngoma nzito ni suala la muda tuWanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.
ndio anaweza kuishtaki kwani kusambaza uongo ni kosaWanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.
Jinga lao kaa na ujinga wako.Mpaka ITV kurusha live coverage ujue wanajua ujinga wote uliopangwa na kutendeka.Wanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.
Asubiriii tu muda utaongea.....damu za watu hazitamuacha salama......Wanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.
KabisaaaMdanganyeni, ngoma nzito ni suala la muda tu
Subiri mabebru waku design kama Gaid huko Ulaya uone kinachoenda kufata.Wanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.
Wanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.
Ile Firm ya Amsterdam iliyoenea Dunia nzima kazi yake inaenda kuonekana.Viungani London panamsubiria
Ndugu yangu mengine mbona unajidhalilisha?Wanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.
Jinga lao katika ubora wa ujinga wao.Jinga lao katika ujinga wako
Labda ni mmojawao. Maana siyo kwa kuweweseka huku!Kwani mtoa tuhuma si yupo? Uko timamu kweli?