Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Muite Simba please, mama yako kasema! we ni nani usitaje jina kamili. Kwa simba kila chawa atapiga goti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha Makonda huyo huyo aliyemdhalilisha waziri mkuu na makamo wa rais mstaafu kwa kumpiga makofi hadharani, au kuna mwingine?!!!Makonda anaweza kuishitaki I.T.V kwa kurusha tuhuma dhidi yake?
mtanzania.co.tz
Basi akashtaki magazeti yote yaliyoreport/you tube etcWanasheria nguli mliomo humu tusaidieni ufafanuzi kwenye hili.
Iwapo chombo cha habari kimeruhusu Mtu mmoja amdhalilishe mwingine bila uthibitisho na bila kupata ufafanuzi wa aliyetajwa.