Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yuko above the law yeye,Kumbe yeye ana uwezo wa kuvunja sheria??
Haya yote. Yatapita kama mtu mmoja anauwezo wa kuamua lipi na. Wapi na saa ngapi lifanyike basi tunatawaliwa na. Ufalme ipo siku tutaambiwa tulale saa kumi na mbili jioni..!Hii ni baada ya kutembelea kituo cha utangazaji cha clouds media na kuwapa pole kwa tukio lililowapata jana, kabla ya kuondoka akawaambia kua ameongeza saa moja zaidi hivyo badala ya saa sita mwisho itakua saa saba
Ndugu una hasira! Ha ha halabda ni mzazi wako.
kibali chanini, huko mikoani Raisi ndio alitoa kibali ?