Pre GE2025 Makonda apandikiza waigizaji kwenye madawati yake ya msaada wa kisheria ili kumpa kiki

Pre GE2025 Makonda apandikiza waigizaji kwenye madawati yake ya msaada wa kisheria ili kumpa kiki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ndio zake huyo bwana mdogo bashite.
anapenda sana kiki kulipo uhalisia anavijamaa vyake pia anavilipa kumsujudu mitandaoni
 
Tukiachana na ushabiki wa kisiasa.naona mda mwingine saa mbovu ikiongea ukweli.


Makonda mbona anafanya kazi nzuri Kwa Arusha.
Hivi kweli maigizo kwenye matatizo ya watu.

Hapa ndugu ntapishana na wewe.

Badala apewe sapoti ndo Kwanza mnamkandia🤔.
Ilitakiwa wakuu wa mikoa yote waige utendaji wa jamaa.


Mbona anaibua madudu dhahili shahili.

Mwacheni jamaa apige kazi.
 
Makonda bado anaendelea na michezo yake michafu ya kufanya mauzauza kwa kuandaa matukio ambayo huwa anapachika "waigizaji".

Niwakumbushe tukio alilofanya akiwa RC wa DSM.
*Aliwakusanya masingo mama na kuwataka wawataje akina baba waliotelekeza watoto. Ktk mkusanyiko huu akajitokeza muigozaji mdada akadai kuwa yeye ni mtoto wa mhe. Lowasa (RIP). Baadaye dada yule alikiri hadharani kuwa alitumwa kumchafua Lowasa (na Makonda) na akaomba radhi

Hivi sasa hapa Arusha ametengeneza mkusanyiko wa msaada wa kisheria. Lkn ktk mkusanyiko huo kuna watu walioandaliwa kusema, kulia, kushangilia na kushukuru kisha kumtukuza Makonda kwa msaada wake hata kama wao hawajasaidiwa chochote. Lengo likiwa ni kujiinua na kujipatia sifa ubwete.
Rubbish
 
Makonda bado anaendelea na michezo yake michafu ya kufanya mauzauza kwa kuandaa matukio ambayo huwa anapachika "waigizaji".

Niwakumbushe tukio alilofanya akiwa RC wa DSM.
*Aliwakusanya masingo mama na kuwataka wawataje akina baba waliotelekeza watoto. Ktk mkusanyiko huu akajitokeza muigozaji mdada akadai kuwa yeye ni mtoto wa mhe. Lowasa (RIP). Baadaye dada yule alikiri hadharani kuwa alitumwa kumchafua Lowasa (na Makonda) na akaomba radhi

Hivi sasa hapa Arusha ametengeneza mkusanyiko wa msaada wa kisheria. Lkn ktk mkusanyiko huo kuna watu walioandaliwa kusema, kulia, kushangilia na kushukuru kisha kumtukuza Makonda kwa msaada wake hata kama wao hawajasaidiwa chochote. Lengo likiwa ni kujiinua na kujipatia sifa ubwete.
Anafaidika na nini kufanya haya yote?
 
Bashite ana siasa za kitapeli, na ana genge lake la mitandao kumsifia kwenye akaunti zake feki
 
Bashite ana siasa za kitapeli, na ana genge lake la mitandao kumsifia kwenye akaunti zake feki
Mhuni sana huyu mtu. Kuna wakuu wa mikoa wengi na wanafanya mengi sana nchi hii , lkn hatuwaoni wakikusanya vyombo vya habari kuonesha wanayoyafanya mikoani mwao. Why him? This imbecile, is good for nothing!
 
Mhuni sana huyu mtu. Kuna wakuu wa mikoa wengi na wanafanya mengi sana nchi hii , lkn hatuwaoni wakikusanya vyombo vya habari kuonesha wanayoyafanya mikoani mwao. Why him? This imbecile, is good for nothing!
Hahahaha unaumia ukiwa wapi?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom