rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Mmeshindwa kuongelea maigizo ya muuza madafu mnamfata makonda..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa zote tunazo na tutazianika mara tu akishamaliza maigizo yake, katika waigizaji wake tumepandikiza watu watatu
RubbishMakonda bado anaendelea na michezo yake michafu ya kufanya mauzauza kwa kuandaa matukio ambayo huwa anapachika "waigizaji".
Niwakumbushe tukio alilofanya akiwa RC wa DSM.
*Aliwakusanya masingo mama na kuwataka wawataje akina baba waliotelekeza watoto. Ktk mkusanyiko huu akajitokeza muigozaji mdada akadai kuwa yeye ni mtoto wa mhe. Lowasa (RIP). Baadaye dada yule alikiri hadharani kuwa alitumwa kumchafua Lowasa (na Makonda) na akaomba radhi
Hivi sasa hapa Arusha ametengeneza mkusanyiko wa msaada wa kisheria. Lkn ktk mkusanyiko huo kuna watu walioandaliwa kusema, kulia, kushangilia na kushukuru kisha kumtukuza Makonda kwa msaada wake hata kama wao hawajasaidiwa chochote. Lengo likiwa ni kujiinua na kujipatia sifa ubwete.
Acha uchawa wewe.Rubbish
U rubbish tooAcha uchawa wewe.
Prado TX 2017 model ipo?Tununue magari jamani
Anafaidika na nini kufanya haya yote?Makonda bado anaendelea na michezo yake michafu ya kufanya mauzauza kwa kuandaa matukio ambayo huwa anapachika "waigizaji".
Niwakumbushe tukio alilofanya akiwa RC wa DSM.
*Aliwakusanya masingo mama na kuwataka wawataje akina baba waliotelekeza watoto. Ktk mkusanyiko huu akajitokeza muigozaji mdada akadai kuwa yeye ni mtoto wa mhe. Lowasa (RIP). Baadaye dada yule alikiri hadharani kuwa alitumwa kumchafua Lowasa (na Makonda) na akaomba radhi
Hivi sasa hapa Arusha ametengeneza mkusanyiko wa msaada wa kisheria. Lkn ktk mkusanyiko huo kuna watu walioandaliwa kusema, kulia, kushangilia na kushukuru kisha kumtukuza Makonda kwa msaada wake hata kama wao hawajasaidiwa chochote. Lengo likiwa ni kujiinua na kujipatia sifa ubwete.
But can not cheat everyone everyday/foreverOnce a cheater always a cheater
Mhuni sana huyu mtu. Kuna wakuu wa mikoa wengi na wanafanya mengi sana nchi hii , lkn hatuwaoni wakikusanya vyombo vya habari kuonesha wanayoyafanya mikoani mwao. Why him? This imbecile, is good for nothing!Bashite ana siasa za kitapeli, na ana genge lake la mitandao kumsifia kwenye akaunti zake feki
Hahahaha unaumia ukiwa wapi?Mhuni sana huyu mtu. Kuna wakuu wa mikoa wengi na wanafanya mengi sana nchi hii , lkn hatuwaoni wakikusanya vyombo vya habari kuonesha wanayoyafanya mikoani mwao. Why him? This imbecile, is good for nothing!