Pre GE2025 Makonda asema pesa za kujenga ofisi ya CHADEMA zimetolewa na Rais Samia

Pre GE2025 Makonda asema pesa za kujenga ofisi ya CHADEMA zimetolewa na Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyo taktaka makonda kesho yupo hapa Arusha... .. atakuwa USA river najiandaa kwenda kumshika makalio asijidanganye anakuja kwa mabinjooo aloo!!, Akileta fedhea atakipata chakudekelee.
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Paul Makonda akiwa Himo Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake kutembelea mikoa 20 nchini kufuatilia utekelezaji Ilani ya CCM amesema.

"Wenzetu wa CHADEMA wanasema eti maridhiano yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan eti hayana faida yoyote na kwamba Serikali kazi yao ni kuwakandamiza tu wananchi hapana."

Serikali ya Rais Samia ndio imetoa fedha za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA ili waondokane na adha ya kupanga tangu chama hicho kianzishwe. Nimeamua kusema maana wenzetu CHADEMA kazi yao kueleza mabaya tu na sio mazuri kama haya ambayo Serikali inawafanyia wananchi.
Kwa hiyo umeamua kumuamini mwenezi wenu roporopo?
 
Serikali ya Rais Samia ndio imetoa fedha za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA ili waondokane na adha ya kupanga tangu chama hicho kianzishwe. Nimeamua kusema maana wenzetu CHADEMA kazi yao kueleza mabaya tu na sio mazuri kama haya ambayo Serikali inawafanyia wananchi.
Duh...!, kumbe...!.
P
 
Ile nyumba ya mtu waliyopanga CHADEMA pale mikocheni ndio kusema imejengwa na hela za CCM au kodi kalipa mama!

Ufafanuzi tafadhali.
 
Kusema uongo ni dhambi!

 
Ile nyumba ya mtu waliyopanga CHADEMA pale mikocheni ndio kusema imejengwa na hela za CCM au kodi kalipa mama!

Ufafanuzi tafadhali.
Makonda ni mropokaji tu hivi hajui kuwa CAG anapita hata kwenye vyama vya siasa
 
Back
Top Bottom