Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua




pole sana kiongoz mungu atakuttea na makontena yatatoka kwa jina la yesu
 
huyu jamaa anafanya mambo ya ajabu halafu anategemea huruma.
refer matukio yake ya nyuma
 
INASIKITISHA sana serikali yaani TRA kumhujumu Makonda ili hali ni jasho la wana DIASPORA waliojitolea kwa ajili ya maendeleo ya wa Dar es salaam , watu wamejinyima ili kuletea watanzania maendeleo na sasa yanakwamishwa kwa sababu ya wivu sie wana diaspora mnatuvunja moyo kabisa .Tuanaomba kwa dhati Rais aingilie kati jambo hili kwa mstakabali wa maendeleo ya Mkoa wa Dar es salaam. Chonde Mheshimiwa Raisi tuko chini ya miguu yako tusaidiwe tumalize jambo hili mkoa wa Dar ufaidi matunda ya wana Diaspora.
 
Mtoto anapotishia watu wakubwa ni dhahiri kuwa huyo mtoto yupo aliye nyuma yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikupe Live Like!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umleavyo....... wakati Rais anaambiwa kuhusu huyu mtoto wake akaona anapangiwa na kufundishwa kazi, ona sasa Mungu alivyo mkubwa mbona hapa anataka kutuonyesha unafiki wetu sisi kama binadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapinzani uchwara walikuwa wanasema ati makontena yamejaa samani za majumbani pamoja na Toyota SUV moja,lakini kwa sasa yameshafunguliwa wamekuwa wakimya sana...Wapinzani Uchwara acheni fitna.
Umeyaona? Au ndio nawe ni mmoja wa mandundame yaani wasaidizi wa mganga so unajaribu kuagua? Swali ni kwanini yaje kwa jina lake na sio ofisi anayohudumu? Au ofisi haina anwani? Na kwanini yasije kwa jina la wizara anayohudumu pia? Kuna sababu nyingi za msingi ambazo sheria za kodi zinashindwa kumpa exemption na badala yake inabidi ayalipie kwa vyovyote bila kuingiza visingizio vya huduma ambazo hakuombwa na jamii bali mahaba yake!
Na ikitokea kukawa na double standard akasamehewa basi hata ile mizigo ya kitaasisi hasa za kidini na kijamii nazo zipewe msamaha! Alipe kodi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…