Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Huyu RC si alisema mbele ya waandishi wa habari yale makontena sio yake.Eti Mpango sasa na yeye aonekane wa maana kwenye huu upuuzi.Anyway, ni maigizo na sarakasi zao za kila siku, kuna jipya? Watu wajifunze kuwa ignore
 
Yaani unasema RC wetu ni mpinzani?? Waziri wa shilingi naye alipofungua na kutuonesha vyombo vya mahotelini naye ni mpinzani uchwara?? Naona unatafuta kupopolewa mawe wewe
Punguza muhemko kwanza ili tujadiliane.
 
Rc Makonda kama ulijua huo ni msaada kwa nini uliruhusu waandike jina lako? Nadhani hawakuchukii ni sheria ya Kodi inafuatwa. Jina binafsi Kodi inakuhusu wee lipa tuu. Sheria Msumeno
 
Nimeupenda msisitizo aliotoa waziri wa fedha,, anamwambia kamishna wa ushuru wa forodha "naomba sheria ifuate mkondo wake, na asipatikane mtu wa kukutisha,, sisi tunakusanya kodi kwa ajili ya maendeleo ya watanzania hivyo watu wote walipe kodi". Safi sana Mh. Mpango,, ila naona kama umepewa support na Jiwe vinginevyo sasa hivi ungekuwa umesharudi Buhigwe ukiugulia maumivu!!
 
Kumbe simpo tuu. Agiza bidhaa kotoka nje. Tiaraei wakikutokea, unawahi church fasta! Mengine yatajisolve yenyewe
 
Juu in mchezo was kuigiza kutaka kushawishi wananzego kuwa hakuna aliye juu ya sheria. Hata awe bashite(mwana was pekee wa mkuu wa kaya) fix tupu!
 
Ngoja tusubiri tu, once dust has settled down lazima tutasikia tamko toka kwa boss wake. Anamcheki sio kwamba hajui yanayoendelea, na amini usiamini kwa ninavyomjua boss wake hapendagi mambo ya hovyo yatokee na tumeona wote jinsi anavyochukuaga maamuzi ya kutokumwangalia mtu usoni. So, lets wait. "Msema kweli ni mpenzi wa Mungu".
 
Sielewi, kwa nini kiongozi mkuu kama rc ashindwe kujua na kutafsiri sheria ambazo anatakiwa kuzisimamia. Kama anakwepa kodi atawezaje kusimamia wengine wakusanye kodi ya serikali katika eneo lake? Kuna tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ina maana wewe vitu vyako vikipigwa mnada utakaa kimya?
Vitu vyake!?? Mbona wabongo mnakuwa wajinga na wapumbavu kiasi hiki....!?? Inamaana wakati vinaagizwa hata kama alipewa msaada hakujua kuna swala la kodi..!?? Na aliviagiza kwa jina la nani...la mkoa au la kwake...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwa nini barua ya tra ya February haikujibiwa mapema ili rc ajue kama ombi lake la msamaha wa kodi ya container 20 limekubaliwa au limekataliwa? Waziri atueleze ucheleweshaji wa jibu la barua ya tra ni wa nini ama ajipime.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…