Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua


Diaspora mnaojipendekeza! Usiseme “sisi” jisemee wewe mwenyewe unayejipendekeza kuguswa.
Mimi ni diaspora and dont tell me about huu upuuzi wa kuchangia fanicha za makonda
 
Diaspora mnaojipendekeza! Usiseme “sisi” jisemee wewe mwenyewe unayejipendekeza kuguswa.
Mimi ni diaspora and dont tell me about huu upuuzi wa kuchangia fanicha za makonda
Irudie thread utaelewa maana yangu
 
Una akili sana!
kungekuwa na likes zaidi ningekupa
 

😎
 
Diaspora mnaojipendekeza! Usiseme “sisi” jisemee wewe mwenyewe unayejipendekeza kuguswa.
Mimi ni diaspora and dont tell me about huu upuuzi wa kuchangia fanicha za makonda
Anajua kua makonda hawezi kutimiza hayo masharti. Nafikiri ameandika kuonyesha mapungufu ya chochote cha kumtetea makonda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…