Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

In the same line alipe sasa in his name, atumie his publicity ku raise hiyo pesa ya kodi ikalipwe sawa na sheria inavyotaka. Kulazimisha sheria ipindishwe in his favor unamuharibia kabisaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ni yetu sote
 
Diaspora mnaojipendekeza! Usiseme “sisi” jisemee wewe mwenyewe unayejipendekeza kuguswa.
Mimi ni diaspora and dont tell me about huu upuuzi wa kuchangia fanicha za makonda
Sie tunasubiri serikali iyataifishe shule zigawiwe bure
 
Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe. Wakti anaagiza hakushirikisha mtu, kutoa haituhusu pia, alijua dili zake kama zilivyo zingine. Sasa “mkoa wake” Dar unamcheka
Alipe makonda mimi siwezi beba box kwenye mazingira magumu kwenye barafu, ubaguzi Alafu nikachangia upuuzi
 
Akijaribu kufanya hivo, nitabiri hatokuja kusikika tena katika utawala huu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NJIA ZA KUMSAIDIA MAKONDA kwa wanaotaka Yanunueni mkawape wanafunzi sijui watayatumiajeAu walengwa walimu LAKINI furniture hiz zipo hapa DAR kuagiza za nje ni kuua viwanda vya mkoa wa DAR hapa dawa ni hiyo PIGA MNADA au taufisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…