Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

hawa wanaotetea haya ya makonda ni walewale ambao siku zote wapo mtanadoni kumsifia kwa kila kitu. wanaishi kwa ujira wa kumsifia makonda kila kukicha hata kwa vitu vya kijinga kabisa!
 
Issue kubwa kuna sheria ya kodi "income tax Act" ndiyo inayotoa taratibu za ulipaji kodi kwahiyo hapo ni kuangalia upande Gani? unafuata sheria na upande gani unalazimisha kwa kutumia mamlaka zao...........
Ila mwisho wa siku tujikumbushe kuwa katiba yetu inatuambia nchi inafuata utawala wa sheria na sio matamko.......na Rais wetu utumia nguvu nyingi sana kutueleza watz kuhusu hilo.
Ngoja tuone mwisho wa picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni kweli Makonda alikosea kwenye kuandika Bill of lading -ila, kwa kuwa inaeleweka vifaa vilikuwa kwa ajili ya shule za Dar es Salaam, busara ilikuwa ni kupokea na kukaa na Makonda kumwelimisha. Halafu serikali ingesimamia kuhakikisha kuwa beneficiaries wa vifaa hivyo ni exclusively shule za Dar es salaam
 
Kwa hili Dr.Mpango na Wasaidizi wake wapo Sahihi,alafu mbona zile Samani Ukizichungulia kwenye lile kontena ni kama za Saint ..., Shule ya msingi Gongolamboto 'B' au Shule ya Msingi N'zasa pale Mbagara hata siku tatu hazikai, kiti cha laki 6 mjini, labda Bunge Primary School au Muhimbili P/School
 
Kama ilikuwa vifaa vya shule mbona Wizara ya Elimu haikuhusishwa
Acheni kutetea uovu
bashite anacheza michezo michafu mingi tu.Wakati umefika wa kuwekewa speed governor
Enough is enough!
 
Swali ni je kati ya Makonda na hao waliotoa msaada wa hivyo vifaa nani amekosea kwa kuandika jina la mtu binafsi?
 
Swali ni je kati ya Makonda na hao waliotoa msaada wa hivyo vifaa nani amekosea kwa kuandika jina la mtu binafsi?
 

GHARAMA YA KUAGIZA MZIGO UGHAIBUNI SI INGETOSHA KUTENGENEZA SAMANI HIZO HAPA BONGO? TENA KWA MKOA WA DAR TENDA WANGEPEWA MAGEREZA WANGETENGENEZA.Mie nahisi kuna jambo ndani yake
 
Tutakapoanza kupindisha au kuzi-ignore sheria kwa sababu yeyote ile, then tutakuwa tuna-set precedent ambayo itakuja kusumbua sana huko mbele.. Mzigo huo ulipe kodi stahili, na kama imeshindikana basi uuzwe kwa mnada, ili wengine waone how serious serikali ilivyo katika suala la kukusanya mapato..
 
Kwa hiyo waziri kusimamia kiapo chake leo hii imekuwa upuuzi? Yalaaaaaa!
 
Hotel yake ya mwanza ndio mwathirika wa kwanza kwa kukosa hizi furniture. vitanda ni vya walimu? sofa?
 
GHARAMA YA KUAGIZA MZIGO UGHAIBUNI SI INGETOSHA KUTENGENEZA SAMANI HIZO HAPA BONGO? TENA KWA MKOA WA DAR TENDA WANGEPEWA MAGEREZA WANGETENGENEZA.Mie nahisi kuna jambo ndani yake
Shtuka, huenda kuna vifaa alipewa msaada kutoka huko USA kwa ajili ya shule za Dar, lakini yeye akajiongeza kwa kachangnya na vya kwake anataka aingize kwa mgongo wa msaada. Serikali haiwezi kukutaa kuingiza bure kama kweli ni msaada, mbona Wizara zinaingiza magari ya misaada bure iweje wakatae vifaa vya shule tena kipindi hiki cha elimu bure ambacho wadau wanahitajika katika kusaidia juhudi za kutoa eleimu bure.
 
wenye vyeti feki utawajua tu.
wanafananaaaa weee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…