Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Sheria iko wazi, alipe kodi wakigoma si kasema juzi, hiyo inasubiliwa hazina iko pendingMwanzilishi wa uzi huu nakukatalia katakata kwa asilimi 100.
Sijui kama wewe ni mwalimu au una uhusiano wowote na Makonda kwa hili ninasema a BIG NO!!
Lazima watu tukubali kuwa RC Makonda amechemka na hatakiwa kutetewa kwa lolote hapa. Wahenga walishasema NDEGE MJANJA HUNASWA NA TUNDU BOVU.......!!!
Huu ndiyo mwanzo na mwisho wa Mukuda.....labda tu huyo BabaShite aendelee kumbeba na kumkingia kifua.....Lakini tunapoongea ilitakiwa Makonda awe amesha ondolea kwenye u-RC maana ameonyesha dharau, kebehi na jeuri ya hali ya juu kujaribu kuopingana na sheria ya KODI ya nji hii.
Makonda must go...!!!
Mwambie makonda alipe kodi ngonjera hamna hapa huoni mkoa unashuka kimapatoKwanza kwa mlio walimu mtanielewa ninaposema waziri kakurupuka wala hazijui changamoto za elimu
ukisikiliza kwa umakini kwenye hotuba yake ya juzi utagundua kabisa aelewi anachokiongea...
Anaongelea maswala ya elimu bure kitu ambacho ni nje kabisa ya mada ya makontena
swala hapa ni vifaa kwa ajiri ya kusaidia elimu ya dsm ambayo ina changamoto nyingi ikiwa na mrundikano wa wanafunzi na mambo kibao
Makonda inawezekana kuna sehemu alikosea katika mchakato huo lakini serikali walitakiwa kuwa wajanja wangeruhusu kwanza vitu viingie ndio waanze kuvimonitor wapate ushahidi wa kutosha ndio waje kumtuhumu.
matokeo yake wananchi nao wameyabeba na kusahau watoto wao ndio wanakaa chini milele
mimi niko na ushahidi kabisa nilienda shule moja na taasisi fulani kutoa msaada wa computer lakini unakuta walimu stafu viti tu vya kukalia haviwatoshi hii ni aibu kama mwalimu hana kiti stafu mwanafunzi je darasani itakuwaje?
tukiweka siasa pembeni Makonda yupo sahihi kabisa na ana nia njema ingawa anaweza kuwa kafanya makosa kutumia jina lake kwa ushauri mbovu wa watendaji waliopo chini yake lakini naamini tatizo letu la elimu ni kubwa mno kuliko jina la makonda kuwa kwenye makontenana hili swala tunalibabe kishabiki sana kama kawaida yetu...
kwamba mimi ni chadema Gambo akifiwa na mzazi wake nashangilia, mimi ni ccm Sugu akipata msiba nashangilia upuuzi mtupu.
Hivi waziri anavipiga mnada vitu vya shule za dsm watu tunashangilia leo halafu kesho jangwani secondary inakuwa ya mwisho tunaanza kumponda makonda ...
Hivi vitu vikinunuliwa na wafanya biashara sisi wananchi wa kawaida tutafaidika vipi direct kama ambavyo tungeviona kwenye shule zetu? namimi naongeza na alaaniwe kabisa atakae vinunua.
"Form four wanakaribia pia kuanza mtihani msisahau kuleta mrejesho hapa wa shule za umma"
HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA...SHERIA NDIO SULUHU WA ILO WALA HAKUNA ATAKAYE LAUMIWA IKIWA SHERIA IMEFUATWA......TUJUAVYO MZIGO BINAFSI HUAGIZWA KWA MTU BINAFI NA TAASISI VILEVILE WANA UTARATIBU WAO WALA SIO MZIGO WA SERIKALI KUAGIZWA NA KW3A JINA LA BINAFSI......SHERIA HAIANGALII HURUMA ILA INAANGALIA HAKI KUFUATWA....KAMA NI HURUMA BASI HAKUNA AMBAYE ANGELIPISHWA FINE,KWENDA JELA WALA KUNYONGWA WATU......HALAFU IZO PESA ZAKUNUNUA ZIMECHOTWA WAPI WAFUATILIE NA HUO MUAMALA KUJIRIZSHA UHALAL WAKE[/QUOTWeWe umefunga mjadala mkuu. Sina swali
Serikali ina sheria na utaratibu. Kazi ya viongozi ni kufuata pia kusimamia sheria, vifaa kwa ajili ya serikali hiyo hiyo simply needs a justification, shida iko kwako sasa kama hujaelewa.Serikali moja,viongozi wamoja,vifaa kwa ajili ya serikali hiyo hiyo, shida iko wapi sasa.
Mkuu Techinically umeandika jambo zito na lenye kuhitaji akili zinaoongozwa na utaifa kwanza.
Ni kweli kabisa RC alikosea kwa kutotengeneza mazingira ya kuhakikisha huo mzigo unakombolewa bandarini, kabla hata meli haijaondoka kutoka huko ilipotoka.
Tunafanya masikhara kwenye mambo ya maana na tunapenda kujifanya tupo makini kwenye mambo ya kipuuzi. Tumeukumbatia ujinga mpaka tunashindwa kutofautisha kati ya akili zenye faida na ujinga wenyewe.
Hizo furniture zingeleta kitu fulani kipya kwenye shule za Dar lakini kama kawaida siasa za kipumbavu ndio zinapewa nafasi.
Hapa kodi tu, lipeni walimu mishahara bora sio fenichaMkuu Techinically umeandika jambo zito na lenye kuhitaji akili zinaoongozwa na utaifa kwanza.
Ni kweli kabisa RC alikosea kwa kutotengeneza mazingira ya kuhakikisha huo mzigo unakombolewa bandarini, kabla hata meli haijaondoka kutoka huko ilipotoka.
Tunafanya masikhara kwenye mambo ya maana na tunapenda kujifanya tupo makini kwenye mambo ya kipuuzi. Tumeukumbatia ujinga mpaka tunashindwa kutofautisha kati ya akili zenye faida na ujinga wenyewe.
Hizo furniture zingeleta kitu fulani kipya kwenye shule za Dar lakini kama kawaida siasa za kipumbavu ndio zinapewa nafasi.
Wakalime bustanihawa wanaotetea haya ya makonda ni walewale ambao siku zote wapo mtanadoni kumsifia kwa kila kitu. wanaishi kwa ujira wa kumsifia makonda kila kukicha hata kwa vitu vya kijinga kabisa!
Wew ndio umekurupukaKwanza kwa mlio walimu mtanielewa ninaposema waziri kakurupuka wala hazijui changamoto za elimu
ukisikiliza kwa umakini kwenye hotuba yake ya juzi utagundua kabisa aelewi anachokiongea...
Anaongelea maswala ya elimu bure kitu ambacho ni nje kabisa ya mada ya makontena
swala hapa ni vifaa kwa ajiri ya kusaidia elimu ya dsm ambayo ina changamoto nyingi ikiwa na mrundikano wa wanafunzi na mambo kibao
Makonda inawezekana kuna sehemu alikosea katika mchakato huo lakini serikali walitakiwa kuwa wajanja wangeruhusu kwanza vitu viingie ndio waanze kuvimonitor wapate ushahidi wa kutosha ndio waje kumtuhumu.
matokeo yake wananchi nao wameyabeba na kusahau watoto wao ndio wanakaa chini milele
mimi niko na ushahidi kabisa nilienda shule moja na taasisi fulani kutoa msaada wa computer lakini unakuta walimu stafu viti tu vya kukalia haviwatoshi hii ni aibu kama mwalimu hana kiti stafu mwanafunzi je darasani itakuwaje?
tukiweka siasa pembeni Makonda yupo sahihi kabisa na ana nia njema ingawa anaweza kuwa kafanya makosa kutumia jina lake kwa ushauri mbovu wa watendaji waliopo chini yake lakini naamini tatizo letu la elimu ni kubwa mno kuliko jina la makonda kuwa kwenye makontenana hili swala tunalibabe kishabiki sana kama kawaida yetu...
kwamba mimi ni chadema Gambo akifiwa na mzazi wake nashangilia, mimi ni ccm Sugu akipata msiba nashangilia upuuzi mtupu.
Hivi waziri anavipiga mnada vitu vya shule za dsm watu tunashangilia leo halafu kesho jangwani secondary inakuwa ya mwisho tunaanza kumponda makonda ...
Hivi vitu vikinunuliwa na wafanya biashara sisi wananchi wa kawaida tutafaidika vipi direct kama ambavyo tungeviona kwenye shule zetu? namimi naongeza na alaaniwe kabisa atakae vinunua.
"Form four wanakaribia pia kuanza mtihani msisahau kuleta mrejesho hapa wa shule za umma"
Sheria ni msumeno mkuu,acha kutapatapa! Hapo kuna upigaji,tumeshtuka!!! Kwanini hayakuingizwa kwa jina la serikali? Kwanini mara ya kwanza ayakatae?? Alipe kodi tu hakuna namna!Mkiendekezi hii tabia, ipo siku mtu ataingiza mizigo yake kwa style hii ambayo kwanza hakuna mwenye uhakika kama vifaa hivyo vyote kweli vinawafia walengwa au ni janja tu.
Na kwa jinsi jambo hili linavyokwenda mpaka sasa, ni dhahiri unahitajika uchunguzi wajulikane ni kina nani walituma vifaa hivyo na shule gani hasa zilizolengwa kupewa hiyo misaada.
Hili jambo lina ukakasi unaohitaji uchunguzi maana huenda si kila kifaa kitaenda kutolewa kama msaada.
Na nikwambie tu, vifaa hivyo vingekuwa vimeingizwa na mtu kutoka upinzani, vingeshapigwa mnada siku nyingi tena huyo Makonda angeweza hata kuingilia viuzwe haraka japo kisheria hahusiki.
Tena namshauri waziri Mpango awe makini na kama kuna mtu atamshinikiza atoe msamaha,basi ahakikishe mtu huyo anatoa agizo kwa njia ya maandishi vinginevyo ajiuzulu kwani ipo siku anaweza kuja kujikuta anawajibika kwa matumizi mabaya ya madaraka na kuikosesha serikali mapato.
Wanasiasa sio watu, hawachelewi kukugeuka.
Tukumbuke sheria tunatunga wenyewe na kuzipitisha kwa mbwembwe.
Swali: Iweje leo tuzione chungu?
Tunavuna tulichopanda.
Wazigawe kusambaza mashuleni kwa gharama ya nani?Huo sio utaratibu wa sheria iliyopo ya kusimamia shehena. Ukiagiza mzigo ukashindwa kuulipia kodi ama ukakosa mwenyewe utaratibu sheria ni Unapigwa mnada serikali inaingiza pato lake.kikubwa ni kujiridhisha kama mali si za MTU binafsi
WAZIGAWE MASHULENI.
shida IPO wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
HIO SIO KAULI SAHIHI.kauli sahihi.ingekuwa.
SISI KAMA TRA TUNATOA MSAMAHA WA KODI KWA MAKONTENA HAYA.
KUUNGA MKONO JUHUDI ZA RC WA DAR.KATIKA KUKUZA NA KUENDELEZA ELIMU.
KWA WATOTO WALIOPO MKOA WA DAR.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani kwa nini siku ya kwanza alipoulizwa kuhusu container hizo aliruka futi mia kwamba hamsini nazo something fish iko na hizo contKwanza kwa mlio walimu mtanielewa ninaposema waziri kakurupuka wala hazijui changamoto za elimu
ukisikiliza kwa umakini kwenye hotuba yake ya juzi utagundua kabisa aelewi anachokiongea...
Anaongelea maswala ya elimu bure kitu ambacho ni nje kabisa ya mada ya makontena
swala hapa ni vifaa kwa ajiri ya kusaidia elimu ya dsm ambayo ina changamoto nyingi ikiwa na mrundikano wa wanafunzi na mambo kibao
Makonda inawezekana kuna sehemu alikosea katika mchakato huo lakini serikali walitakiwa kuwa wajanja wangeruhusu kwanza vitu viingie ndio waanze kuvimonitor wapate ushahidi wa kutosha ndio waje kumtuhumu.
matokeo yake wananchi nao wameyabeba na kusahau watoto wao ndio wanakaa chini milele
mimi niko na ushahidi kabisa nilienda shule moja na taasisi fulani kutoa msaada wa computer lakini unakuta walimu stafu viti tu vya kukalia haviwatoshi hii ni aibu kama mwalimu hana kiti stafu mwanafunzi je darasani itakuwaje?
tukiweka siasa pembeni Makonda yupo sahihi kabisa na ana nia njema ingawa anaweza kuwa kafanya makosa kutumia jina lake kwa ushauri mbovu wa watendaji waliopo chini yake lakini naamini tatizo letu la elimu ni kubwa mno kuliko jina la makonda kuwa kwenye makontenana hili swala tunalibabe kishabiki sana kama kawaida yetu...
kwamba mimi ni chadema Gambo akifiwa na mzazi wake nashangilia, mimi ni ccm Sugu akipata msiba nashangilia upuuzi mtupu.
Hivi waziri anavipiga mnada vitu vya shule za dsm watu tunashangilia leo halafu kesho jangwani secondary inakuwa ya mwisho tunaanza kumponda makonda ...
Hivi vitu vikinunuliwa na wafanya biashara sisi wananchi wa kawaida tutafaidika vipi direct kama ambavyo tungeviona kwenye shule zetu? namimi naongeza na alaaniwe kabisa atakae vinunua.
"Form four wanakaribia pia kuanza mtihani msisahau kuleta mrejesho hapa wa shule za umma"
SIJAKUELEWAWe um
Guys,
Hizo SAMANI hazina umuhimu wowote kwa Watanzania iwe wa Dares-saalam au Koromije. Serikali kupitia Wizara ya Elimu ilishakuwa na mpango kabambe wa KUTENGENEZA MADAWATI ya Wanafunzi kutokana na misitu yetu. RC Makonda alishindwa nini kuanzisha kampeni ya KUCHONGESHA SAMANI KAMA ALIVOFANYA KWENYE MADAWATI tena kwa kutumia mbao na malighafi ya Kitanzania badala ya kuingia gharama za kipuuzi kuagiza Fenicha toka Ulaya??
Nakumbuka kuna sera ya kuhimiza Watu kununua na kutumia Samani za hapa nchini badala ya kuagiza toka nje na ndo maana Fenicha toka nje zinatozwa Ushuru/Kodi kubwa ku=discourage watu kununua Fenicha toka nje.
Makonda kma RC alitakiwa alijue hili.....Lakini ndo hivo ngoma ikilia sana mwisho wake ni kupasuka.....Mkonda ajiandae tu kurudi kwenye kazi yake ya Ukonda huko Mtaa wa Makoroboi na Koromije...!!! Yajayo yanafurahisah sana.
Kama shida ni hiyo atahamishwa kuliko kutukosesha kodi. Kwani wanaolipa kodi ni form four, sisi hilo halituhusu tunataka kodi tuboresha hospitali za akina mama watuzalie wanatu kwa uhakika hayo ya meza pitisheni harambeehiyo sio hoja kubwa ya kushindwa kumuelewa Makonda, ye ndo aliomba kwawadau na wakampa huenda tatizo ni jina tu hivyo isiwe sababu ya kupigwa mnada. Dar inashika mkia 4m II na IV na lawama anapata Makonda sio Mpango wala Magu kama sio Ndalich. shule za Dsm zina changamonto nyingi ruzuku HAITOSHI.