Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Mwanzilishi wa uzi huu nakukatalia katakata kwa asilimia 100.
Sijui kama wewe ni mwalimu au una uhusiano wowote na Makonda kwa hili ninakataa with a BIG NO!!
Lazima watu tukubali kuwa RC Makonda amechemka na hatakiwa kutetewa kwa lolote hapa. Wahenga walishasema NDEGE MJANJA HUNASWA NA TUNDU BOVU.......!!!
Huu ndiyo mwanzo na mwisho wa Mukuda.....labda tu huyo BabaShite aendelee kumbeba na kumkingia kifua.....Lakini tunapoongea ilitakiwa Makonda awe amesha ondolea kwenye u-RC maana ameonyesha dharau, kebehi na jeuri ya hali ya juu kujaribu kuopingana na sheria ya KODI ya nji hii.
Makonda must go...!!!
Sijui kama wewe ni mwalimu au una uhusiano wowote na Makonda kwa hili ninakataa with a BIG NO!!
Lazima watu tukubali kuwa RC Makonda amechemka na hatakiwa kutetewa kwa lolote hapa. Wahenga walishasema NDEGE MJANJA HUNASWA NA TUNDU BOVU.......!!!
Huu ndiyo mwanzo na mwisho wa Mukuda.....labda tu huyo BabaShite aendelee kumbeba na kumkingia kifua.....Lakini tunapoongea ilitakiwa Makonda awe amesha ondolea kwenye u-RC maana ameonyesha dharau, kebehi na jeuri ya hali ya juu kujaribu kuopingana na sheria ya KODI ya nji hii.
Makonda must go...!!!