Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Popote nikona maneno hayo kwenye red najua msemaji ni tikiti maji kichwani, ukiwa na kitu kichwani utakuwa mpuuzi kuamini mtu au kiongozi kushauriwa vibaya na watu wa chini yake. Ukiona unashauriwa vibaya na huyo wa chini yako tafsiri yake you are not competent enough na bora umuachie huyo mshauri kiti chako. Tukubali kusema kiongozi fulani kakosea, awe nani au kiongozi mwenye ndevu hadi kwenye magoti akikosea tuseme kakosea ama kwa kutokujua au kwa kupuuzia siyo kusingizia washauri.
Naunga mkono hoja
 
Ameandika jina lake kwa kutaka kiki sasa avumilie tu.
Samani zitapigwa mnada mara ya kwanza hadi mara ya tatu, visiponunuliwa mamlaka inavigawa kwenye shule mbalimbali nchini na lengo litatimia kwan sio shule za Dar tu zenye uhaba wa samani.
Lkn pia tukumbuke kuwa katiba ya nchi yetu imeweka utaratibu wa misaada / zawadi anayopokea kiongozi nje ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAKATA LA MAKONTEÑA YA MAKONDA KUPIGWA MNADA LITIZAMWE UPYA

Na: Mtetezi wa Wanyonge.

Nimemsikia Waziri Mipango akisema kuwa Lazima Makontena hayo Yalipiwe Kodi ama yapigwe Mnada ili serikali ipate Kodi yake...

My Take

Tukumbuke kuwa Makontena hayo ya Vifaa ni Watanzania wenzetu wamejitolea na ndiyo maana hakuna kiwanda kilichopewa tenda hiyo na huo ni msaada kama alivyopata misaada ya Miguu Bandia, Ujenzi wa Hospital, Viwanja vya Mpira, magari ya Police , Pikipiki, Computer [emoji335] na vingine vingi alivyowai kufanya.

Makonda aliomba Samani si kwa faida yake bali kwa faida ya Watanzania na Kuipunguzia Serikali mzigo wa Manunuzi ya Vifaa hivyo.

Leo Kigezo Kimekuwa SHERIA! Sawa lakini Sheria zinatungwa, kusomwa na kutafsiriwa na wanadamu na bado huacha mwanya wa busara kutumika na kila kesi huamliwa kulingana na mazingira na ushahidi wake. (Ndio maana kuna Dissenting decision/Opinion and or Consential/Concurring Opinion)

Na Ikumbukwe Kuwa Sheria ya kodi inaruhusu busara kutumika pale inapoonesha kuwa vitu au mali zitatumika kwa manufaa ya jamii ya wanyonge na sio mtu binafsi.

Ikiwa Makanisa, NGOs nk. Kila kukicha yanapewa misamaha ya kodi kwa idhini ya MaRC na MaDC kulikoni hasa haya Makontena ya Viti vya Walimu? Computer za Shule? Meza na nk...?

Nikweli Yalitumwa kwa Jina la Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Lakini kampeni yake Iko wazi tangu awali na si ya kificho, Walioyatoa walitamka wazi ni ya nini na hayana faida kwa Makonda bali kwa Taifa na Watu wake hasa Wanyonge walio wengi.

Sasa Msuguwano Huu unatoka wapi?
Hiyo Kodi Ni Bei gani?
Kodi inadaiwa hapo inathamani Kubwa kuliko Samani ya hivyo Vifaa?
Hiyo Kodi Inaweza kununua vifaa vyote hivyo?
Haya Vikipigwa Mnada Serikali itapata Bei Gani? Hiyo Bei Inaweza kununua Samani zote hizo?

Tusing'ang'ane na Sheria inayotupotezea kingi zaidi kwa Kukomalia Kodi nakupoteza Mali Kubwa zaidi ya Kodi, Hekima na Busara zinaweza Tatua hili kwa Kukaa nakujadili Faida na Hasara za Kodi, Faida na Hasara zakuendelea kuwa na Vifaa hivyo, Faida na Hasara za Vifaa hivyo Kuingia kwenye Majengo yanayongoja Vifaa na Wanyonge kuvitumia.

RC Makonda Ameomba Misaada Majengo yamejengwa yanahitaji Samani, Serikali Imesaidiwa na Wazalendo wa Taifa hili waishio ughaibuni kwanini Tuwafanye wajione hawana Thamani kwa Kujitoa kwao kusaidia Nchi yao?

Mh Waziri Mipango na Wasaidizi wako na Watu wa TRA mlitizame Upya Jambo hili.

Mlio Karibu na Mh Rais Fikisheni Kilio cha Wanyonge wakatumie Vifaa hivi.
Iko Misamaha Mingi sana ya Kodi Kupitia Vifaa hivyo kuwa Vinaenda kuhudumia Jamii basi Dhamila Kuu ikatimie kwa Vifaa hivyo Kusamehewa Kodi na Vikatumike Mashuleni.

Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni!
Hapa Hatumkomoi Makonda ila Tunataka Kuwakomoa Walimu na Watoto wa Shule wenye uhitaji wa Vifaa hivyo.

Sakata la Makontena Liangaliwe upya kwa Maslahi Mapana ya Taifa Hili na Wanyonge wenye Uhitaji wa Vifaa hivyo.

Waziri Mipango Fanya Mipango Vifaa viwafikie Wanyonge bila Kodi, Manake hata Mkisema Kodi ilipwe analipa nani?
Makonda aloomba kwa Niaba ya serikali?

Au Tuwaombe Pesa Walotupa Msaada tena wao Ndo walipe Kodi tena?

Kwani Tunataka Kumfurahisha nani katika hili? Au Kumkomoa Nani katika Hili?

Wanaoteseka ni Walimu na Watoto wa shule, Misuli tunayotunishiana Viongozi Haitusaidii sisi watanzania kwa ujumla.

Kodi na Mnada kwa Vifaa hivyo Vyote vinatuumiza kwani Vinapelekea Kupoteza Vifaa vyenye uhitaji kwa wanyonge.

Kodi tunazikusanya ili Tununue Vifaa vya Shule, Leo Hii Vifaa Vimekuja Buree na Vingi vyenye ubora zaidi sisi hatuvitaki kisa Kodi.

Inasikitisha sana hii Hali....


Tunaomba Viongozi walitizame upya jambo huli.

Makontena haya Faida kwa Mkonda zaidi ya Faida kwa Wanyonge na Serikaki yao ambao wanahitajika Kuhenyeka kwa Mika kadhaa huku wakilipa kodi ndo waweze kununua Vi
Acha ujinga wew na msitumie nguvu nyingi sana kumtetea huyo shetani wenu ,lipeni ushuru kama vip tunayapiga mnada tu shenzi nyie!
 
Hii aibu kabisa na Mh. Rais chukua hatua sasa..

Mkoa wa Mkoa anatia aibu, iweje anashindwa kuongea na mamlaka husika ya kodi TRA hadi kufikia aibu hii? Ina maana kama ni vifaa kweli vya shule alishindwa nn kuongea na Waziri wake wa TAMISEMI ili aongee na Waziri wa Fedha ili vikaguliwe na vipatiwe exemption kwa asilimia fulani alafu kama ni vifaa vya shule basi viruhusiwe... Mm nahisi kuna ujanja fulani labda Mkuu wa Mkoa anataka kuufanya.. Kodi ni lazima ilipwe na jina ni lake ktk makontena, so TRA wako sahihi kudai kodi, Mh. Rais anaweza chukia akamwondoa RC Makonda kwa kosa hili hili la kodi... Ooohh shauri yake...
Tatizo ukuu wa Mkoa kigezo kikubwa ni kujua kusoma na kuandika tu.
 
Mtoa mada ukijibu maswali yafuatayo hutapata tabu kabisa.
1. Una uhakika kuwa kwenye makontena hayo kuna hayo material tu?

2. Unadhani ingekuwa ni msaada tu hakuna Mali binafsi wanazotaka wapitishe kwa njia hiyo waziri husika angegoma kuyapitisha?

3. Unadhani kwanini jiwe hataki kuingilia hili?

4. Nani kaorganize hao diaspora wakachangia zaidi ya contena 20?

5. Mwisho unajua sababu za kwa nini Makonda aliyakana mwanzoni kontena hizo?

Usilolijua ni kama usiku Wa giza, unaweza ukajiona unajua na wajuaji Wa mambo wakakushangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ya kodi inasema ukipewa msaada haulipii kodi ama?!

Lazima kuna kitu nyuma ya pazia hapo
 
Mbona watetezi ni wengi sana kwenye hili swala?
Watumishi tunakatwa Kodi kila uchao.
Kinachoshindikana nini yeye kulipa kodi?
Acheni 'sound' acha MTU alipe kodi.
Vimishahara vya kuunga tu huku serikalini kodi yake mpaka unasema ebwana ndio.
Huyu anatafuta janja janja ya kutolipa.
Mpango komaa atoe mzigo wetu
Tujifunze ustaarabu, tulipa kodi. MTU wa kodi kodi!!!
Waganga njaa wametumwa na Bashite.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wana wivu sana na Makonda lakini mkae mkijua amewaacha mbali sana na saco cos yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Kweli ukiwa ccm akili lazima iwe ndogo, Ni lini Mpango akawa chadema?
Ugomvi ni wa ndani kwenu Afu saizi mnaisingizia chadema , yamalizeni wenyewe.
Najua hapa mnaongea tu baba yenu akija kutoa tamko wote lazima mtafuata,
Ili msile matapishi yenu kaeni katikati ili msubili kauli ya baba yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo tulia na huo ukatibu wa wa UVCCM, Chamwino, naona umeamua kubet Katika hili
 
Maswali mawili unayopaswa kujiuliza. SWALI NO 1 inakuingia akilini kuwa diaspora waishio marekani wakakuchangia vifaa vya elimu kontena ishirini? SWALI NO 2 unao uhakika kuwa kwenye hayo makontena ishirini kuna hizo samani za shule peke yake? NOTE, TRA na waziri hawajakurupuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nnaona Waziri Mipango katumia staha tu hajataka kumwaibisha Makonda... Ya laiti samani zote kwenye hizo containers zingekuwa kweli za shule nnahisi hizi kelele za kwamba anatakiwa kulipa kodi tusingezisikia kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SAKATA LA MAKONTEÑA YA MAKONDA KUPIGWA MNADA LITIZAMWE UPYA

Na: Mtetezi wa Wanyonge.

Nimemsikia Waziri Mipango akisema kuwa Lazima Makontena hayo Yalipiwe Kodi ama yapigwe Mnada ili serikali ipate Kodi yake...

My Take

Tukumbuke kuwa Makontena hayo ya Vifaa ni Watanzania wenzetu wamejitolea na ndiyo maana hakuna kiwanda kilichopewa tenda hiyo na huo ni msaada kama alivyopata misaada ya Miguu Bandia, Ujenzi wa Hospital, Viwanja vya Mpira, magari ya Police , Pikipiki, Computer [emoji335] na vingine vingi alivyowai kufanya.

Makonda aliomba Samani si kwa faida yake bali kwa faida ya Watanzania na Kuipunguzia Serikali mzigo wa Manunuzi ya Vifaa hivyo.

Leo Kigezo Kimekuwa SHERIA! Sawa lakini Sheria zinatungwa, kusomwa na kutafsiriwa na wanadamu na bado huacha mwanya wa busara kutumika na kila kesi huamliwa kulingana na mazingira na ushahidi wake. (Ndio maana kuna Dissenting decision/Opinion and or Consential/Concurring Opinion)

Na Ikumbukwe Kuwa Sheria ya kodi inaruhusu busara kutumika pale inapoonesha kuwa vitu au mali zitatumika kwa manufaa ya jamii ya wanyonge na sio mtu binafsi.

Ikiwa Makanisa, NGOs nk. Kila kukicha yanapewa misamaha ya kodi kwa idhini ya MaRC na MaDC kulikoni hasa haya Makontena ya Viti vya Walimu? Computer za Shule? Meza na nk...?

Nikweli Yalitumwa kwa Jina la Paul Makonda Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Lakini kampeni yake Iko wazi tangu awali na si ya kificho, Walioyatoa walitamka wazi ni ya nini na hayana faida kwa Makonda bali kwa Taifa na Watu wake hasa Wanyonge walio wengi.

Sasa Msuguwano Huu unatoka wapi?
Hiyo Kodi Ni Bei gani?
Kodi inadaiwa hapo inathamani Kubwa kuliko Samani ya hivyo Vifaa?
Hiyo Kodi Inaweza kununua vifaa vyote hivyo?
Haya Vikipigwa Mnada Serikali itapata Bei Gani? Hiyo Bei Inaweza kununua Samani zote hizo?

Tusing'ang'ane na Sheria inayotupotezea kingi zaidi kwa Kukomalia Kodi nakupoteza Mali Kubwa zaidi ya Kodi, Hekima na Busara zinaweza Tatua hili kwa Kukaa nakujadili Faida na Hasara za Kodi, Faida na Hasara zakuendelea kuwa na Vifaa hivyo, Faida na Hasara za Vifaa hivyo Kuingia kwenye Majengo yanayongoja Vifaa na Wanyonge kuvitumia.

RC Makonda Ameomba Misaada Majengo yamejengwa yanahitaji Samani, Serikali Imesaidiwa na Wazalendo wa Taifa hili waishio ughaibuni kwanini Tuwafanye wajione hawana Thamani kwa Kujitoa kwao kusaidia Nchi yao?

Mh Waziri Mipango na Wasaidizi wako na Watu wa TRA mlitizame Upya Jambo hili.

Mlio Karibu na Mh Rais Fikisheni Kilio cha Wanyonge wakatumie Vifaa hivi.
Iko Misamaha Mingi sana ya Kodi Kupitia Vifaa hivyo kuwa Vinaenda kuhudumia Jamii basi Dhamila Kuu ikatimie kwa Vifaa hivyo Kusamehewa Kodi na Vikatumike Mashuleni.

Mnyonge Mnyongeni haki yake Mpeni!
Hapa Hatumkomoi Makonda ila Tunataka Kuwakomoa Walimu na Watoto wa Shule wenye uhitaji wa Vifaa hivyo.

Sakata la Makontena Liangaliwe upya kwa Maslahi Mapana ya Taifa Hili na Wanyonge wenye Uhitaji wa Vifaa hivyo.

Waziri Mipango Fanya Mipango Vifaa viwafikie Wanyonge bila Kodi, Manake hata Mkisema Kodi ilipwe analipa nani?
Makonda aloomba kwa Niaba ya serikali?

Au Tuwaombe Pesa Walotupa Msaada tena wao Ndo walipe Kodi tena?

Kwani Tunataka Kumfurahisha nani katika hili? Au Kumkomoa Nani katika Hili?

Wanaoteseka ni Walimu na Watoto wa shule, Misuli tunayotunishiana Viongozi Haitusaidii sisi watanzania kwa ujumla.

Kodi na Mnada kwa Vifaa hivyo Vyote vinatuumiza kwani Vinapelekea Kupoteza Vifaa vyenye uhitaji kwa wanyonge.

Kodi tunazikusanya ili Tununue Vifaa vya Shule, Leo Hii Vifaa Vimekuja Buree na Vingi vyenye ubora zaidi sisi hatuvitaki kisa Kodi.

Inasikitisha sana hii Hali....


Tunaomba Viongozi walitizame upya jambo huli.

Makontena haya Faida kwa Mkonda zaidi ya Faida kwa Wanyonge na Serikaki yao ambao wanahitajika Kuhenyeka kwa Mika kadhaa huku wakilipa kodi ndo waweze kununua Vifaa vyote hivyo.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatujazia tu upuuzi wenu. Huyo Bashite na Dkt Mpango si wote ni CCM? Sasa Jamii Forums imekuwa NEC au Kamati Kuu ya CCM? Kwendeni huko!

Halafu acheni unafiki. Mbona hizo kelele za "kizalendo" kwenye makontena ya Bashite hatuzisikii kwenye mabilioni yanayopotea kwa Magufuli kununua wabunge na madiwani wa Upinzani kisha kuitisha uchaguzi wa kuwapitisha watu hao hao?

Nyie waganga njaa msitupotezee muda hapa. Nyie na Bashite wote akili zenu empty

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mmhhh..!! Anko Mako ana wapiga debe wengi;kuzidi hata wa Ubungo terminal[emoji55]
 
ina maana hii thread yote hakuna mtu aliepo tra au bandari aseme ukweli wa hii saga ni upi?
 
Back
Top Bottom