Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

Mleta mada ametumia uandishi ambao wengi wameshindwa kumwelewa.

Read between the lines you will get the message intended.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa najiuliza hao wachungaji nao kama wana njaa vile na wana muda mchafu wa kusikiliza hilo jambazi liuaji lisilotubu, msikitini hawana huo ujinga walichambwa once wamerudi kwenye lane.
Hakuna Mahala kwenye biblia Mungu anapohamasisha kulaani tena anasisitiza kuwapenda hata maadui zetu, ingawa ni ngumu lakini ndio hivyo.
 
Manifest haibadilishwi na bill of lading haibadiliki
 
Hizo containers ni mali ya Makonda,ndio maana yamekuja kwa jina lake.Alipe kodi,akishindwa yauzwe serikali ipate mgao.
Hao ma diaspora kwanini wasingetuma hela madawati yachongwe huku Tz kuepuka hiyo adha wanayoipata sasa!
Inaweza kuwa wamepata bure,lakini gharama ya kuzisafirisha na hiyo kodi bora wangenunulia fenicha huku Tz.
 
Nadhani hapa shida ni hofu na kutokujua au kotokutazama mbali. Ukitizama karibu - short sight kama viongozi hawa wanadai sheria - in long range utakosea. Mangalizo ni mawili au matatu:
1. Consignment ikiwa katika jina la binafsi - RC kisha kuomba msamaha wa kodi kwa msingi ni sahihi sana hasa ikiwa kwamba nia ya matumizi iko wazi na tayari ana zoezi la kuboresha ofisi za walimu na tayari ameshajenga majengo kadhaa, zahanati, maabara etc kwa kuchangisha watu wa ndani wafanya biashara nk. Je kodi kiasi gani ilikusanywa kama capital gain kwa michango hiyo? Ni swali tu anyhow hakuna sheria duniani bila exception. Kila mtanzania alipe kodi na hapo hapo unakuta kuna watu wamekuwa exempted. Mathalani - Watu wote endesha gari kushoto lakini tunaona watu kadhaa na ving'ora wakiendesha kulia bila kujali mwendokasi mtoroko. Hizi ni exception. Sasa hapa ni hekima tu ingetumika zaidi ya kutunishiana misuli na kuleteana stress.

Swali jengine - naljiuliza sasa akiisha RC kulipia kodi je? mtatamani aendelee kugawa bure kwa shule za Dar au mtamshitaki akiuza samani hizi? Najiuliza tu. Aibu kweli kwa hawa wapinzani wetu wa maendeleo.

2. Consignment ikiwa katika jina la taasisi say Ofisi ya RC - hapa sasa ndiyo penye mkanganyo kwa kuwa sasa je serikali ingetumia kodi iliyokusanywa kulipa kodi? Huu ni upuuzi na upotevu wa hesabu za serikali. Anyhow I stand to be corrected BUT kuhusu hili suala la madawati na social service needs nadhani hekima imekosekana au ulevi wa madaraka. Viongozi wakikosa hekima katika madogo huleta fedheha.

3. Double taxation - Nchi yetu ina tatizo kubwa la double taxation yaani usipoangalia unaweza lipa hadi 60% 70% 80% 100% 110% hata 200% kodi na ukaishia kubaki hauna chochote. Hii inadidimiza pia maendeleo kwa kuwa inakuwa illogical to do business

Anyway kupenda vya bure hizi ndiyo gharama zake. Tutamlaumu nani sasa kwa umaskini wetu? Serikali iweke mahitaji ya elimu yakidhi haja, hii itakuwa suluhu ya kudumu kwani ni aibu sana kusema elimu bure ikiwa huwezi kuhudumia kwa kiwango cha ubora na inakuwa bora elimu bure badala ya elimu bora na bure.

FINDINGS:
Huyu RC hata kama hana PhD asiitafute kwa kuwa imeonyesha hawa wenye hizi degree wameshindwa hata kusababisha maendeleo si tu kwa maandiko ya PhD zao bali hata kwao wenyewe. Sasa mfano mkubwa ni PhD holder anapokimbilia siasa katika nchi changa kama Tanzania na kuacha job creation, inaonesha hamna creativity and so big failure. Kuwa kiongozi wa kisiasa sio professionalism, it is about moral judgement and ethics. Hawa wasomi wetu hawana moral judgement and ethics. Example: Samani zipite, zitanufaisha wengi na tutapata leverage ya kodi. Kimsingi nchi ilipasa kupamtia RC comission kwa kufanya jambo kama hili na siyo kuhitaji tena kitu kidogo kuotka kwake. Yeye alishafanya homework yake. Sasa kila mtanzania akifanya jambo creative la kimaendeleo baada ya mwaka mmoja sisi ni first world ikiwa viongozi wote wangekuwa kama huyu RC na siyo kama hawa wengine..

Naomba kuwasilisha
 
Hizo containers ni mali ya Makonda,ndio maana yamekuja kwa jina lake.Alipe kodi,akishindwa yauzwe serikali ipate mgao.
Hao ma diaspora kwanini wasingetuma hela madawati yachongwe huku Tz kuepuka hiyo adha wanayoipata sasa!
Inaweza kuwa wamepata bure,lakini gharama ya kuzisafirisha na hiyo kodi bora wangenunulia fenicha huku Tz.
Kwa sofa zinazochongwa pale keko furniture ni mara 1000 wangepewa tenda maseremala wazawa maana ingesaidia kuinua uchumi wa ndani kuliko kuagiza vitu hivyo USA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Havijanunuliwa, ni msaada

Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha hao diaspora walioleta huo msaada wangeombwa kutoa in cash ili hizo thamani zitengenezwe ndani. Kwa miaka zaidi ya milion iliyopita Tanzania ina maliasili hasa miti mingi sana kuliko nchi zingine zote ukanda huu.Hivyo basi kwa kuwa hata wazawa wangeweza kutengeneza samani kama hizo basi ingefaaa watengeneze ndani ya nchi ili kuepuka usumbufu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom