Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,864
- 5,695
Makonda amesha tuonesha mashaka kwa jina lake tuu lina utata mpka sasa halijulikani lipi ni la kweli. Tunawezaje kuamini Makonda ktk mambo makubwa namna hii yanayo husu Taifa ikiwa ya kwake yamemshinda ?
Hatuwez mwacha aendelee kughushi nyaraka wakati ana kesi ina msubiri ya jinai ya kufoji jina amezoea huu mchezo wake sasa mwishoo ebo !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwez mwacha aendelee kughushi nyaraka wakati ana kesi ina msubiri ya jinai ya kufoji jina amezoea huu mchezo wake sasa mwishoo ebo !!
Sent using Jamii Forums mobile app