technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Watu wanaopitia wakati Mgumu kwa sasa ni meko na bashiteSomethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Walinzi wa Rais hawataki hata mwanausalama asiye kwenye Unit yao kumsogelea Rais sembuse na huyu pseudo-TISS!Somethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Atajijua mwenyewe.Somethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Acha tu Mkuu ,January nililipa karibu 680,000/= Ada+Nguo+Stationary+Usafiri+Bima kwa term ya kwanza kasomamiezi miwili shule zikafungwa kwa korona ,walivyofungua tarehe 29 June nikalipa tena 630,000/=(Ada+Usafiri+fedha ya korona) wamesoma miezi miwili wamefunga week imekuja report nilipe 550,000/= Aseee ni majanga kweli kweli.TAfuta rafiki au ndugu yoyote mweny mtoto anayesoma shule ya msingi katika shule binafsi utajua ndugu.Inaonekana wewe huna au anasoma kayumba wako?
Meco roho inamsuta kwa sasa! hawezi kuonyesha hadharani, lakini guilty conscious inamdunda! roho si yake!Watu wanaopitia wakati Mgumu kwa sasa ni meko na bashite
Kigogo amepost Twitter daaah nimemuonea huruma sanaMaisha hayana formula
Vp Kuna kadeo kanaweza patikana
Ova
Pole nduguAtajijua mwenyewe.
Acha tu Mkuu ,January nililipa karibu 680,000/= Ada+Nguo+Stationary+Usafiri+Bima kwa term ya kwanza kasomamiezi miwili shule zikafungwa kwa korona ,walivyofungua tarehe 29 June nikalipa tena 630,000/=(Ada+Usafiri+fedha ya korona) wamesoma miezi miwili wamefunga week imekuja report nilipe 550,000/= Aseee ni majanga kweli kweli.
Unajua siri iliyopo hadi Magufuli kuhutubia mkutano mchana? Tulieni mambo ni magumu sana hukoSomethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Sasa angekaa jukwaa kuu kama nani? Kama alikuwa na matarajio hayo ana tatizo la kufikiri. Na kama walinzi/watu wa itifaki wangemruhusu nao wangekuwa na matatizo.Somethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Hii nyomi ya hapa kawe ni balaaa watu tunapewa sera na mh rais wetuHuko Tanganyika packers Tundu Lissu yuko Peke yake. Tanzania Inachosha
Aliboronga mission ya kuondoa maisha ya muujiza unaotembea, sasa mambo yamegeuka meko ana hasira nae anatamani ampasue makofi mbele za watuSomethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.