Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekeeni hiyo video wazee
Ova
Wachawi wakichokana wanagombana hata hadharani, ila hawatoi kabisa siri zao za uchawini.Somethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Video hii hapaSomethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Ana maudhi sana ila nimejikuta nina mhurumiaSomethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
wale maafisa kipenyo wa kaunda suti wangempiga mtama mmoja kama wa MbashaSomethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Utafikiri ni stranger yaani dahDuh maisha bhana we acha tu [emoji26][emoji26][emoji26]roho imeniuma sana kama hawamjui
Too bad hadi nimeona huruma ...Uwenda alio yafanya hata ardhi itamkana
Somethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Halafu jamaa kachoka ghafla viatu vina vumbi daaaah
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
We acha tu jamaa namkubali sana maana kijana alionyesha anaweza uone sasa ana familia anajaribu kuhangaika kama baba apate nafasi maisha yaende hajali kudharauliwa kabisa😥😥😥Utafikiri ni stranger yaani dah