Ben Saanane, 16/38 bullets!Rais hajuti, ameapa kutokuwa na huba wala upendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben Saanane, 16/38 bullets!Rais hajuti, ameapa kutokuwa na huba wala upendeleo
Acha uongo mbona mi nilikuwepoHuko Tanganyika packers Tundu Lissu yuko Peke yake. Tanzania Inachosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji56]Huko Tanganyika packers Tundu Lissu yuko Peke yake. Tanzania Inachosha
Alikuja kwa bodaboda, siangekaa na akina shiloleHalafu anaoneka hayuko sawa kiakili ukiangalia unaona Nywele hajachana na viatu vina vumbi pia yuko rafu...anapitia kipindi kigumu kwa kweli.
Nadhani hii ahadi hakui soma kabisaaAhadi Ya Mwana Tanu
Cheo Ni Dhamana, Rushwa Ni Adui Wa Haki
Sana mkuu halafu amechakaaa ghafla tuNimeona ile video, nimemuonea huruma kwa kweli. Anajuta kwenda kutia nia.
Halafu anaoneka hayuko sawa kiakili ukiangalia unaona Nywele hajachana na viatu vina vumbi pia yuko rafu...anapitia kipindi kigumu kwa kweli.
Hii hapaTuwekeeni hiyo video wazee
Ova
Usimhurumie kiumbe ambaye hujamuumba!Ana maudhi sana ila nimejikuta nina mhurumia
Wangemruhusu akasifieLazima wamzuie ana gadhabu ya kutemwa anaweza kuwa anatembea na sumu akawadhuru waliokuwa mabosi wake.