Vijana tukipata vyeo kidogo tuna
jimwambify sana"askofu shoo" leo hii binadamu aliyekuwa anapata raha kuliko binadamu yoyote ni wakuzuiwa kweli na Green Guard? Hii itoshe kutupa funzo kuwa vyeo hivi ni dhamana tu; siku ukipoteza cheo chako hata nzi watakudharau.
Nasikia wasanii huko Dodoma wanamnyanyapa kama ukomaa yani, saivi ni aibu kuonekana kwamba una urafiki na Bashite ilihali walikuwa wanajaa pale ofisini kwake kuomba kupiga naye picha tu.
Hata
physical appearance yake haikuwa poa. Viatu vina vumbi hajachana nywele; inaonekana ana sonono kuliko kawaida, mfadhaiko wa moyo mpaka akili.
N:B Yajayo yanafurahisha. Ile IST atatamani hata kuwa nayo!
Sent from my TECNO LA7 using
JamiiForums mobile app