Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

Vijana tukipata vyeo kidogo tuna jimwambify sana"askofu shoo" leo hii binadamu aliyekuwa anapata raha kuliko binadamu yoyote ni wakuzuiwa kweli na Green Guard? Hii itoshe kutupa funzo kuwa vyeo hivi ni dhamana tu; siku ukipoteza cheo chako hata nzi watakudharau.

Nasikia wasanii huko Dodoma wanamnyanyapa kama ukomaa yani, saivi ni aibu kuonekana kwamba una urafiki na Bashite ilihali walikuwa wanajaa pale ofisini kwake kuomba kupiga naye picha tu.

Hata physical appearance yake haikuwa poa. Viatu vina vumbi hajachana nywele; inaonekana ana sonono kuliko kawaida, mfadhaiko wa moyo mpaka akili.

N:B Yajayo yanafurahisha. Ile IST atatamani hata kuwa nayo!

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
He who shows his face everywhere will one day find a place to hide.
 
Waongo nyie ni yeye anaongea na masuti
 
Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.


Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.

Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .

Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa

Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.

Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Wananchi wakimuona Makonda hasira zao zinawaka juu ya raisi.

Asilimia 65 ya wanaomchukia rais inatokana na wale wateule wake wasio hekima wabpumbavu na wajivuni kama Makonda, Sabaya na wote wa namna hiyo.
So walinzi wa rais washaligundua hilo ndio maana wanalifanyia kazi kwa vitendo
 
Khatwe mzee baba punguza spanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anajikuta ashakua maarufu..Hajui piere ana thamani kuliko yeye now
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Madaraka ni koti, ndani ya mkoa wangu Ni marufuku...
 

Attachments

  • VID-20200829-WA0180.mp4
    2.9 MB
Atajijua mwenyewe.



Acha tu Mkuu ,January nililipa karibu 680,000/= Ada+Nguo+Stationary+Usafiri+Bima kwa term ya kwanza kasomamiezi miwili shule zikafungwa kwa korona ,walivyofungua tarehe 29 June nikalipa tena 630,000/=(Ada+Usafiri+fedha ya korona) wamesoma miezi miwili wamefunga week imekuja report nilipe 550,000/= Aseee ni majanga kweli kweli.
Hahahaaa... Hata kwangu ilitokea vivyo hivyo ila hakuna namna zaidi ya kupambana.
 
Ni yeye
Screenshot_20200829-195440_Video%20Player.jpg
 
Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.

Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.

Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .

Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa

Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.

Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Mwambieni pia Siro na Pole pole. Maana wana dhani wako mbinguni
 
Back
Top Bottom