sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
No no protocol za ulinzi na usalama lazima zizingatiwe.Ile video inafikirisha na kutia huruma dah!
Huko Zanzibar Raisi wa Zanzibar Abeid Amani Karume alimiminiwa risasi na shemeji yake.
Makonda hayuko kwenye system ya utawala kwa sasa kibaya zaidi hakupewa mwaliko.
Huyo dogo ana makosa nyambata hata mind set yake ina mgogoro.