Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Hawezi hata kwenda kula bata tena.Akigeuka na kule anakuatana na ban ya USA [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi hata kwenda kula bata tena.Akigeuka na kule anakuatana na ban ya USA [emoji1787][emoji1787]
Usimuhurumie chatu hata siku mojaAna maudhi sana ila nimejikuta nina mhurumia
Akalime matikiti asomeshe mtotoWe acha tu jamaa namkubali sana maana kijana alionyesha anaweza uone sasa ana familia anajaribu kuhangaika kama baba apate nafasi maisha yaende hajali kudharauliwa kabisa😥😥😥
Haya maisha haya, nayaogopa na kuyaeshimu SanaHawezi hata kwenda kula bata tena.
Huyu ni black mailerMzee wa ngongingo yuko vizuri kipesa,mwz anaporomosha ghorofa capripoint tena zinaenda fasta...kachukua sana pesa za matajiri dar
Duuh Noma Sana, muhogomchungu a.k.a baba kibakuli.Kwani kaalikwa? Kwa sasa Muhogomchungu ana thamani CCM kuliko Bashite.
Amestaafu lini?Hahahaaaa....... Mstaafu yule bwashee!
Mkuu acha tu usimdharau wala kumnyanyasa mtuu hujui Kesho itakuwajee...!!Haya maisha haya, nayaogopa na kuyaeshimu Sana
Alipoenda kugombea ubunge!Amestaafu lini?
Kujifunza wapi Biblia Takatifu imeandikwa ajikwezae atashushwa ,asiyesikia na kukaza shingo yake itavunjiiiikaaaaSomething is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Teh nimejikuta nacheka[emoji16]Usiombe ndumba zikiexpire then sangoma kafa
Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Hahahaaa alijisahau akadhani naye ni waziri mkuu mstaafu.Sasa angekaa jukwaa kuu kama nani? Kama alikuwa na matarajio hayo ana tatizo la kufikiri. Na kama walinzi/watu wa itifaki wangemruhusu nao wangekuwa na matatizo.