Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.

Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.

Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .

Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa

Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.

Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Acha uongo wewe hangaika na saccos yako ya Makonda achana nayo jikite kwenye saccos imeishiwa pesa!! Kachangie saccos... angalia nyomi ya saccos leo Kawe!!
IMG-20200829-WA0052.jpg
 
Kwani hii dunia ni yetuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji52] Muogope Mungu we kideraa
Screenshot_20200829-210640.jpeg
 
Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.

Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.

Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .

Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa

Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.

Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Kijambio kimekosa soka,bado damu za watu zitamtesa sana...yuko mwz anawekeza bar kama sikosei
 
Sijui ni nani alimshawishi akagombee ubunge aache ukuu wa mkoa.

Alikuwa na nafasi nzuri ya kujipanga. Angeweza kugombea ubunge 2025.
 
Huko Tanganyika packers Tundu Lissu yuko Peke yake. Tanzania Inachosha
Wanazikumbuka zile pesa za Lowassa. Nimemuona mwanamuziki mmoja jinsi alivyochoka inaonekana kama kalipwa pesa nyingi sana basi tshs elfu hamsini yaani kachoka.
 
Back
Top Bottom