Unafananisha Mbwa na PanyaMbona akina Kikwete, Pinda, Lowassa na Sumaye walikaa jukwaa kuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafananisha Mbwa na PanyaMbona akina Kikwete, Pinda, Lowassa na Sumaye walikaa jukwaa kuu!
Viongozi wastaafu.Mbona akina Kikwete, Pinda, Lowassa na Sumaye walikaa jukwaa kuu!
Sio mbwa na panyaa...Mbwa na mwenye mbwaa...Unafananisha Mbwa na Panya
Ndo utajua hujuiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alimdharau piere leo piere ana thamani kuliko bashiteeKwani kaalikwa? Kwa sasa Muhogomchungu ana thamani CCM kuliko Bashite.
Acha uongo wewe hangaika na saccos yako ya Makonda achana nayo jikite kwenye saccos imeishiwa pesa!! Kachangie saccos... angalia nyomi ya saccos leo Kawe!!Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Asante mkuu ila yule hajafika hata hadhi ya mbwa ni panyaSio mbwa na panyaa...Mbwa na mwenye mbwaa...
Kijambio kimekosa soka,bado damu za watu zitamtesa sana...yuko mwz anawekeza bar kama sikoseiSomething is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Mzee wa ngongingo yuko vizuri kipesa,mwz anaporomosha ghorofa capripoint tena zinaenda fasta...kachukua sana pesa za matajiri darHalafu jamaa kachoka ghafla viatu vina vumbi daaaah
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Hata Makonda ni RC mstaafu!Viongozi wastaafu.
Hakuna dhambi mbaya na inaumiza kama kuwanyima watu haki yao ya kuishi.
Hakika inaumiza hadi unaingia kaburini.
Huyo dada yeye yupo VIP?Namsikia Dada anasema mbona kama Kuna beef pale...... Ah Wana mkataliaaaaa
Ova
Wanazikumbuka zile pesa za Lowassa. Nimemuona mwanamuziki mmoja jinsi alivyochoka inaonekana kama kalipwa pesa nyingi sana basi tshs elfu hamsini yaani kachoka.Huko Tanganyika packers Tundu Lissu yuko Peke yake. Tanzania Inachosha
Akigeuka na kule anakuatana na ban ya USA [emoji1787][emoji1787]Leo kawa mtu wa hovyo hovyo. Bado anaendelea kujipendekeza.
HahahahaahaKumbe Lissu hatoshinda uRais mkuu, au hii kauli ulikua ukimaanisha nini