Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Mbona inaonekana aliruhusiwa...kideo kinaonesha ni Kama anataarifu kuwa kafika..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila atakuwa amejifunza pakubwaAtakuja kusimama tena.
Bado kupigwa mtama tu.....kama mbasha ha haSasa itakuaje.
Ha ha ha tutaona rangi zao halisi baada ya teuzi kuhisha saivii matumaini yamebaki kidogo kweye Udc,Je baada ya kutemwa bashite,kange,nkamia wataendelea kusifu na kuabudu ili wasife njaa
Mkuu nimecheka hapa karibia nifee. Chadema wanatia kinyaa sana aissee.Huko Tanganyika packers Tundu Lissu yuko Peke yake. Tanzania Inachosha
Weka picha acha kutuletea udakuN:B Yajayo yanafurahisha. Ile IST atatamani hata kuwa nayo!
Hakuna picha kuna video ila waweza kwenda kwenyw page ya jamii forum insta acha uvivu we mwanaume bhanaWeka picha acha kutuletea udaku
Weka linkHakuna picha kuna video ila waweza kwenda kwenyw page ya jamii forum insta acha uvivu we mwanaume bhana
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Its just a psychological dooming, wakishaingia madarakani watamridishia mkoa wake, wamefanya hivyo kutengeneza kampeni tu tuamini kuwa wamechoshwa na shobo zakeSomething is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Wala masaweMungu si Asumani
Ila makonda sasa nae haeleweki..jukwaa kuu yeye alienda kama nani na alitaka kufanya nn.
Na mimi naona ilikua hivyo. Video imekatwa pale alipokua ameruhusiwa kuingia. Sikua nakubaliana na matendo ya huyu jamaa lakini clip hii ni kama imekatwa hapo ilipokatwa kwa makusudio maalum ambayo nahisi yamefanikiwaMbona inaonekana aliruhusiwa...kideo kinaonesha ni Kama anataarifu kuwa kafika..
HahahahahaWala masawe
Kukatwa sio Shida...hata kama aliruhusiwaa lakini baada ya Mabishanoo sana na wale walinzi kitu ambacho hatulutarajia kwa mtu kama makondaaa kutokea..!!Na mimi naona ilikua hivyo. Video imekatwa pale alipokua ameruhusiwa kuingia. Sikua nakubaliana na matendo ya huyu jamaa lakini clip hii ni kama imekatwa hapo ilipokatwa kwa makusudio maalum ambayo nahisi yamefanikiwa