Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

Uchaguzi 2020 Makonda azuiwa kukaa Jukwaa Kuu kwenye mkutano wa Uzinduzi wa Kampeni za CCM

Vijana tukipata vyeo kidogo tuna jimwambify sana"Askofu Shoo" leo hii binadamu aliyekuwa anapata raha kuliko binadamu yoyote ni wakuzuiwa kweli na Green Guard? Hii itoshe kutupa funzo kuwa vyeo hivi ni dhamana tu; siku ukipoteza cheo chako hata nzi watakudharau.

Nasikia wasanii huko Dodoma wanamnyanyapa kama ukomaa yani, saivi ni aibu kuonekana kwamba una urafiki na Bashite ilihali walikuwa wanajaa pale ofisini kwake kuomba kupiga naye picha tu.

Hata physical appearance yake haikuwa poa. Viatu vina vumbi hajachana nywele; inaonekana ana sonono kuliko kawaida, mfadhaiko wa moyo mpaka akili.

N:B Yajayo yanafurahisha. Ile IST atatamani hata kuwa nayo!
 
Unajua siri iliyopo hadi Magufuli kuhutubia mkutano mchana? Tulieni mambo ni magumu sana huko
Wewe nawe acha uzushi wako...

Kwenye korona kila ukizusha unakula 0
Sasa umeanza kuja na ramli
 
Somethings is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.


Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Alitaka akae jukwaa kuu wakati yeye siyo kiongozi ??
 
Back
Top Bottom