Tamaa mbaya...Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Hii safari inatia shaka, watiania wakigamboni walikuwa na kikao na mama kate kamba kilichompeleka dodoma Ni nini? Halafu mbowe akipigwa mtama wakamsingizia yeye atasemaje?Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
kuna ukweli fulani , lakini kwa sasa ndio basi tenaHuyo ni mbunge mtarajiwa iwapo Dady atafanikiwa kurudi ofisini.
Yupo kwenye maigizo hapo.
tunajadili yaliyopo , yakija mengine tutayajadiliWanasiasa wote hutumia watu...
It's too early to judge him....
Kama alitaka kukaa jukwaa kuu basi ana matatizo. Alishawahi kuwa kiongozi na utaratibu anaujua, sasa kwa nini ajidhalilishe mbele ya umma?Something is wrong!! Mwana wa mfalme Leo kapigwa marufuku kukaa Jukwaa kuu na walinzi kwenye uwanja wa jamhuri Dodoma.
Kweli maisha yanaenda kasi Sana Sana walinzi wamemwambia akakae na raia wengine ila sio Jukwaa kuu.
Vijana tuna la kujifunza hapa kwamba maisha ni gwaride mbele nyuma geuka .
Hakika amenipa funzo huyu jamaa kwa jinsi anavyosikitisha kwa Sasa
Leo Makonda ndio wa kupigwa vumbi na kushindwa kuchana nyele vizuri hata mwili kapungua.
Naisi mpaka machozi hili funzo Ni hatari Sana vijana tuishi kwa amani Dunia hii ina mengi sana.
Kbs lkn leo kazuiwa na wale wale aliokuwa anawatuma kutesa na kuteka watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jini likujualo....
Halafu mbona kadhoofika Sana, muda mwingine madaraka kwa vijana hayafai, ona nkurunziza kuambiwa kutoka ikulu kafaKama alitaka kukaa jukwaa kuu basi ana matatizo. Alishawahi kuwa kiongozi na utaratibu anaujua, sasa kwa nini ajidhalilishe mbele ya umma?
Wasanii walitumia muda mwingi kuliko muda uliotumika na magufuli kuongea upotoloUnajua siri iliyopo hadi Magufuli kuhutubia mkutano mchana? Tulieni mambo ni magumu sana huko
Jamaa nuru imepotea ghafla tuHalafu mbona kadhoofika Sana, muda mwingine madaraka kwa vijana hayafai, ona nkurunziza kuambiwa kutoka ikulu kafa