Uwe na adabuWasanii walitumia muda mwingi kuliko muda uliotumika na magufuli kuongea upotolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe na adabuWasanii walitumia muda mwingi kuliko muda uliotumika na magufuli kuongea upotolo
Adabu yangu haikusaidii chochote, pambana na mambo yako.Uwe na adabu
Na baaaado yajayo yatamhuzunisha sana.
Apandacho mtu ndicho atakachovuna!Vijana tukipata vyeo kidogo tuna jimwambify sana"Askofu Shoo" leo hii binadamu aliyekuwa anapata raha kuliko binadamu yoyote ni wakuzuiwa kweli na Green Guard? Hii itoshe kutupa funzo kuwa vyeo hivi ni dhamana tu; siku ukipoteza cheo chako hata nzi watakudharau.
Nasikia wasanii huko Dodoma wanamnyanyapa kama ukomaa yani, saivi ni aibu kuonekana kwamba una urafiki na Bashite ilihali walikuwa wanajaa pale ofisini kwake kuomba kupiga naye picha tu.
Hata physical appearance yake haikuwa poa. Viatu vina vumbi hajachana nywele; inaonekana ana sonono kuliko kawaida, mfadhaiko wa moyo mpaka akili.
N:B Yajayo yanafurahisha. Ile IST atatamani hata kuwa nayo!
Wacha Big talke lipigwe vumbi
Eti sasa hivi Bashite anamuita Babu Tale "Mheshimiwa" 🤣🤣🤣Mkuu acha tu usimdharau wala kumnyanyasa mtuu hujui Kesho itakuwajee...!!
Yule wa Iringa simsikii sikuizi sijui kapatwa na nini, kapunguza sana kiherehere, amebaki wa Mbeya Chalamira huyo naye ana kilimilimi.Wananchi wakimuona Makonda hasira zao zinawaka juu ya raisi.
Asilimia 65 ya wanaomchukia rais inatokana na wale wateule wake wasio hekima wabpumbavu na wajivuni kama Makonda, Sabaya na wote wa namna hiyo.
So walinzi wa rais washaligundua hilo ndio maana wanalifanyia kazi kwa vitendo
Mbona hili liko wazi tu! Jiwe na huyu bwana mdogo kuna jambo lenye siri kubwa sana la kinadhiri linalowafunga. Jiwe hawezi kumtupa akajisababishia matatizo.Wanangoja uchaguzi uishe wampe cheo kingine. Wamemtumia vibaya na kwakuwa hiki ni kipindi cha kampeni,watajidai kumtenga ili asiwaathiri na makandokando yake, ila uchaguzi ukiisha, watampa tena nafasi.
Subirini mtakuja kuniambia.
Utabiri: 2020 Makonda anaweza kupigwa chini ili kutafuta kura halafu uchaguzi ukiisha anapewa kitengo kingine
HakikaMkuu acha tu usimdharau wala kumnyanyasa mtuu hujui Kesho itakuwajee...!!
Ni ulevi wa madaraka na kuutaka utukufu tu!!Kama alitaka kukaa jukwaa kuu basi ana matatizo. Alishawahi kuwa kiongozi na utaratibu anaujua, sasa kwa nini ajidhalilishe mbele ya umma?
Hilo ni kosa kubwa alilofanya Mr Makonda, Kigamboni haikuwa karata nzuri kwake. Wakongwe ndani ya chama tulimwambia ila alifikiri pesa itawanunua wajumbe.Sijui ni nani alimshawishi akagombee ubunge aache ukuu wa mkoa.
Alikuwa na nafasi nzuri ya kujipanga. Angeweza kugombea ubunge 2025.
Kibamba ilimfaa zaidi,hata wagombea wake hawakuwa wanafahamika kuliko yule wa Kigmboni.Hilo ni kosa kubwa alilofanya Mr Makonda, Kigamboni haikuwa karata nzuri kwake. Wakongwe ndani ya chama tulimwambia ila alifikiri pesa itawanunua wajumbe.
Waliokuwa wakimpamba leo hii wamemfungia tinted, P. Mayalla, kama haoniiii!!!!Kibamba ilimfaa zaidi,hata wagombea wake hawakuwa wanafahamika kuliko yule wa Kigmboni.