Pre GE2025 Makonda: CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa. Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania, anaishi nje na kuja nchini kimatukio

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Upuz tu siasa za blah blah

Ehe lei katumia usafiri gani au ungo

Ova
 

Ndiyo unaweza kuelewa ni kwa kiwango gani Makonda ni mjinga na punguani asiyeelewa hata kazi aliyopewa.

Yeye ni mwenezi wa CCM lakini hotuba nzima anaongelea maisha ya viongozi wa CHADEMA!! Hivi maisha ya Lisu ndiyo sera ya CCM?

Nadhani Makonda kwa kupanga na kusimamia tukio lile la kumwua Lisu, na kisha kuendelea kumwona Lisu akiwa hai, kila akisikia jina la Lisu au kumwona, akili inazidi kumruka. Anabakia kuweweseka na kulitaja ovyo jina la Lisu. Huyu amebakiza kuwehuka na kuanza kusema mauaji yote aliyoyafanya.
 
Sasa akili yako inakutuma kila asemacho mwendawazimu unakuja kuripoti humu
 

Damu ya mtu hunuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Katika kitu cdm wamepatia ni kutijibishana na huyo muhalifu. Wao wanafanya yao wamemuacha anaweweseka. Kujibishana na huyo muhalifu ni kumpa uhalali wa kisiasa asiokuwa nao. Yeye alipaswa kuwa jela, na sio kwenye majukwaa ya kisiasa.
 
Mwenezi wa CCM sau CHADEMA?
 

Kama Kuna kitu kinamuumiza Makonda na kamati nzima ya ccm iliyompa nafasi hiyo, ni kitendo Cha cdm kumpuuza. Wote walitegemea cdm watapoteza muda kujibizana naye Ili wawatoe kwenye reli, ndio maana mara anataka midahalo, kwenye safari zake Ili inoge ni lazima awaprovoke cdm, kwa lengo la kuwaingiza kwenye mtego wake wa siasa majitaka.
 
Mwanaume gani?Mwanaume wa "kusaidiwa" kuzalisha na Dokta wa Kichina.

Mwanaume gani unakuwa na Wowowo AKA Nyash AKA Bunda 😆😆

Huyu alitakiwa awe Jela.
So far so good but male nucleic gamete belong to Makonda BWASHEE😇
 
Huyo mropokaji tu Hana uwezo wa kumfikia risu hata kidogo.

Mrop mr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…