Upuz tu siasa za blah blahjamaa ana rusha makombora ya Alqas right, left and center [emoji1787]
lazima hawa majamaa wapoteane politically speaking [emoji205]
come 2025 wako nyang'anyang'a wako nyukunyuku,
wanaishia kumjibu muenezi tu na kujitetea engagements na wananchi 0[emoji205]
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa
Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.
Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.
''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"
Sasa akili yako inakutuma kila asemacho mwendawazimu unakuja kuripoti humuKatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa
Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.
Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.
''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"
Muanze kutuengua?Serikali za mitaa na uje!
Damu ya mtu hunukaJe Makonda ulihusika na Shambulio la Lissu ? Au nikamuulize mama yangu ?
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa
Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.
Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.
''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"
Nani umeona anamjibu? Vitendo ndio vinajibu na wananchi wanaelewa kuwa hilo jamaa ni punguani na wanapata mashaka aliyemteua kuwa msemaji wake anajitambua kweli au anafunikwa na cheo chake tuu lakini kumbe naye ni walewale!
Bashite kakusanya watu Moshi akisema Lissu kakimbilia Ivory Coast kukacha maandamano ghafla huyo akayaongoza, MUONGO. Kasema watu wameyadharau maandamano ghafla yakafana na ujumbe kufika, MUONGO.
Sasa kiongozi gani huyo kila asimamapo ni uongo wa wazi tuu? Ni kwa vile maccm ni kama zombies, vinginevyo angekuwa anatandikwa mayai viza na nyanya mbovu.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
HakikaKatika kitu cdm wamepatia ni kutijibishana na huyo muhalifu. Wao wanafanya yao wamemuacha anaweweseka. Kujibishana na huyo muhalifu ni kumpa uhalali asiokuwa nao. Yeye alipaswa kuwa jela, na sio kwenye majukwaa ya kisiasa.
Huyu jamaa amepwaya sana, ameanza mashambulizi mapema mno.Duh hazungumzi changamoto za kupanda gharama za maisha,huduma ya afya,bei ya sukari,matatizo ya umeme nk
Tumechoka kusikia hoja nzima ni cdm cdm
Ova
Mwenezi wa CCM sau CHADEMA?Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa
Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.
Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.
''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"
Ndiyo unaweza kuelewa ni kwa kiwango gani Makonda ni mjinga na punguani asiyeelewa hata kazi aliyopewa.
Yeye ni mwenezi wa CCM lakini hotuba nzima anaongelea maisha ya viongozi wa CHADEMA!! Hivi maisha ya Lisu ndiyo sera ya CCM?
Nadhani Makonda kwa kupanga na kusimamia tukio lile la kumwua Lisu, na kisha kuendelea kumwona Lisu akiwa hai, kila akisikia jina la Lisu au kumwona, akili inazidi kumruka. Anabakia kuweweseka na kulitaja ovyo jina la Lisu. Huyu amebakiza kuwehuka na kuanza kusema mauaji yote aliyoyafanya.
So far so good but male nucleic gamete belong to Makonda BWASHEE😇Mwanaume gani?Mwanaume wa "kusaidiwa" kuzalisha na Dokta wa Kichina.
Mwanaume gani unakuwa na Wowowo AKA Nyash AKA Bunda 😆😆
Huyu alitakiwa awe Jela.
Ndo unavyojifariji? Hahahah!Huyu ndio kiongozi duni kabisa kuwahi kuwa mwenezi wa ccm
Who knows may be the Chinese Dr did he must prove with DNA results.So far so good but male nucleic gamete belong to Makonda BWASHEE😇
Ukweli ndiyo huo.Mbowe alihusika
Naunga mkono hojaHuyu ndio kiongozi duni kabisa kuwahi kuwa mwenezi wa ccm
Kamuulize mama yakoJe Makonda ulihusika na Shambulio la Lissu ? Au nikamuulize mama yangu ?
Mrop mrKatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda akiwa mkoani singida Makonda Januari 25, 2024 amesema kuwa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuna mgawanyiko unaochochewa na uwepo wa makundi mawili ambayo yote yanataka kumuweka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa
Kundi la kwanza ni lile linalomuhusisha Mwenyekiti aliyepo madarakani Freeman Mbowe na kundi la pili linaongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu.
Makonda ameongeza kuwa hata Lissu anajua hakuna chama chochote kinachoweza kuongoza nchi zaidi ya CCM, ndio maana ameamua kuishi nje ya nchi na kuja Tanzania kimatukio, uchaguzi ukiwadia anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Haijulikani makazi yake yapo Tanzania au nje ya nchi.
''Kwenye kuongoza nchi anajua pia hawezi na ndio maana ameamua kuishi huko na kuja Tanzania kimatukio. Akisikia uchaguzi anakuja, matokeo yakitoka anarudi kwake. Sasa sijajua makazi yake yapo wapi kwamba yapo Tanzania halafu kule ni ofisi au kule ni ofisi makazi ni Tanzania!"