Makonda: CHADEMA wamekimbia kufanya mikutano na kuanza kulilia vyombo vya habari kufanyiwa mahojiano

Huyu Mwenezi ni Mjinga WanaCHADEMA mpuuzeni.

Sote tunajua yeye na Chalamila ndio wako nyuma ya Sakata hili la WASAFI.
Acheni kulialia nyie.fungueni kituo Chenu cha Tv na redio na siyo kwenda kuharibu shughuli za watu maofisini huko. Ruzuku zikitoka mnaziona tamu sana na mnazitafuna zote kama mchwa.
 
Wewe fatilia maslahi yako kwa kazi yako. Chadema maslahi yao kwa mambo yao..
Wote mna maslahi...
 
Wanaandamana kwenda kukilia UN,wanacholilia Hadi Leo hii UN haikijui 😁😁😁😁
 
Acheni kuvamia ofisi za watu kulazimisha ujinga wenu.
Ofisi zipi???
Una upungufu flani wewe!!!
Sio kila anaekupinga ni chadema...

HII NCHI IMEKOSA VIJANA WAZALENDO. INA VIJANA CHAWA KAMA WEWE...
WASIOJUA MASLAHI YA NCHI, WENYE KUPIGA UCHAWA KWA AJILI YAO.
UZALENDO NI KUILINDA NA KUIPIGANIA NCHI YAKO DHIDI YA MAADUI. BILA KUJALI ITIKADI YA CHAMA!!
CHAMA CHA SIASA NI SEHEMU/CHOMBO CHA KUWAKILISHA MAONI YA WATU.
TUMEPOTEA SANA...HASA MLIO CHAWA.
 
Kwa hiyo pale WASAFI FM alipokwenda Lissu kulazimisha mahojiano siyo ofisi? Au
 
Acheni kulialia nyie.fungueni kituo Chenu cha Tv na redio na siyo kwenda kuharibu shughuli za watu maofisini huko. Ruzuku zikitoka mnaziona tamu sana na mnazitafuna zote kama mchwa.
Tunayo CHADEMA MEDIA lakini kweni hii WASAFI MEDIA ni ya Makonda na Chalamila?
 

Hivi kijana unaelewa kilichotokea?
Au unadhan kila sehemu na kila hoja ni ya kukimbillia Tu

Unadhan kwanini nape akatumwa haraka kuongea na waandishi wa habari?

Watu kama ww ndio wanafanya viongozi wasiwajibike then badae mnakuja kulalamika

Hata hao watu wanaokwenda Kwa makonda kutoa malalamiko Yao chanzo ni watu kama ww kutetea ujinga
 
Lengo ni kufikisha ujumbe kwa jamii iwe kwa mikutano ya hadhara,media ikiwemo radio,tv nk
Halikadhalika maandamano yote ni njia ya kufikia jamii/wananchi.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Hawezi kufanya kazi yake bila kutaja vyama vingine.??
Na wewe mchumia tumbo mleta mada angalia usije beba ujauzito kwa kumwaga sifa kibao kwa waume za watu.
Maisha haya jiangalie aisee usijiachie sana..))
 
Kwani Lissu hakuambiwa kipindi kimeahirishwa na itapangwa wakati mwingine? Sasa alikuwa anang'ang'ania nini tena kwenda huko studio kuvuruga shughuli za watu? Kwani ni lazima yeye kuhojiwa? Kuna kifungu gani cha katiba kama asipohojiwa au hata kama asiingeitwa? Kile ni chombo binafsi na wala siyo mali ya CHADEMA wala wachadema haina hisa lake wala kodi za wananchi hazitumiki kuendesha kituo kile ,bali chenyewe ndio kina lipa kodi serikalini.
 
Fungueni Tv yenu na siyo kulilia walizoanzisha wenzenu na kuanza kulilia ndani
 
Tunayo CHADEMA MEDIA lakini kweni hii WASAFI MEDIA ni ya Makonda na Chalamila?
Kwani mheshimiwa Makonda ndio muendesha kipindi? Ndiye aliyewazuieni? Hiyo CHADEMA media nani anaifahamu? Ipo na kupatikana kwenye king'amuzi kipi? Kwanini msiitumie hiyo media yenu?
 
Fungueni Tv yenu na siyo kulilia walizoanzisha wenzenu na kuanza kulilia ndani
Alialikwa kijana mbona unakuwa slow learner au ndio mahaba kwa chama chako huoni husikii.??
Amekufa Thadei Ole Mushi mliobaki kwenye chama Chenu kuandika nguvu za hoja hakuna mmebaki kusifiana hata kwa ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…