Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni vyema akapeleka taarifa hizi kwa wahusika ili huyo dereva ashtakiwe kwa makosa hayo ya wizi. Ni aibu kulea wezi halafu unalialia mbele ya watu.
Siyo hivyo Mkuu. Hakuna dDreva wa Serikali anaweza kufanya hivyo. Bali Makonda ndiye aliyekuwa anachukua fedha kwa kusema katumwa na Magufuli. Rejea issu ya nyumba waliokuwa wanagombea na GSM mfadhili wa Yanga
 
Huu ni utetezi wa kitoto amnao unahitaji akili ndogo mithili ya kuku kuuelewa. Maturity ni kunyamaza kwani watu wanaelewa.
Ajitetee kiutu uzima, kwani anazo akili? Cheti cha Form IV anachotumia nicha Paul Christian Makonda. Na yeye ni Daudi Albert Bashite
 
Halafu unasikia kuna wapumbavu wanasema eti katika watu wanaweza kuwa Rais wa Tanzania baada ya Samia ni huyu Bwege??
 
Siyo hivyo Mkuu. Hakuna dDreva wa Serikali anaweza kufanya hivyo. Bali Makonda ndiye aliyekuwa anachukua fedha kwa kusema katumwa na Magufuli. Rejea issu ya nyumba waliokuwa wanagombea na GSM mfadhili wa Yanga
Kwamba, hakuna dereva wa Serikali anaweza kufanya hivyo mimi naafikiana na wewe. Hoja yangu ni kuwa kwa vile jamaa anamtuhumu dereva wake kwa kufanya wizi, ni vyema akatoa ripoti polisi ili dereva hiyo ashughulikiwe na siyo kalalamika tu hadharani pasipo kuchukua hatua stahiki.
 
Hapana kabisa, hujui uhalisia. Hebu wewe uje ujaribu kutaka kuonana na kiongozi kama waziri uone. Wateule wengi wanakuwa wamefanyiwa vetting za kutosha hawezi kuwa mchukua rushwa
Daah Unaishia sayari ya wapi wewe?
 
Ujinga huu na mjinga atakaye amini
Alimtuma yeye
 
Alifanya nini baada ya hapo ? Sababu kama alijua uhalifu na akakaa kimya basi na yeye awajibike by association; Au ndio anajisafisha kwamba kilichotokea ingawa alikuwa yeye watu wadhani hakuwa yeye...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…