Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alichokisema Makonda ni kweli, watu wengi sana wametapeliwa na bado wanaendelea kutapeliwa kwa huo mtindo. Mungu akufunulie uelewe. Wafanya biashara wanataabika sana. Yaani kumuona kiongozi wanatozwa hela nyingi mno na wafanya wasaidizi wa viongozi na usishangae kukuta kiongozi hata kama alikuwa rafiki yako akaacha kupokea simu vile vijamaa vinamtia sumu maana vyenyewe ndiyo gate valve ya kupokea hela za rushwa kumuona kiongozi. Yaani huo mchongo ni deep state kwa ufupi. Ila ukienda Zanzibar huo ujinga hawana. You can just walk ukaonana na waziri katibu mkuu ila njoo huku bara, yaani kumuona katibu mkuu, waziri au mkuu wa shirika wasaidizi wao ambao ni vetted watakutoza hela tena kama shida yako ni kubwa na hela ni kubwa na mbaya kiongozi anakuwa hajui.
Na ww unaona ni ukweli acha upumbavu
 
Makonda anajua anatafutwa na watu wa Dar , hasa kipindi cha Giza LA awamu ya 5

Huyu jamaa aliwafuata wahindi Upanga na kuchota hela nyingi sana ..

Mbali zaidi kuna watu wako Kariakoo kidogo wafilisike kwa kupeleka majina kisirisiri kwenye mamlaka za dawa za kulevya akisema wanajishughulisha navyo ... Wakatoa hela nyingi sana ili wapone na yeye akawa anapata gawio ...

Iko siku haya mambo yatawekwa wazi ...ngoja Kizimkazi amalize awamu yake mtaona
 
Ameshawasoma Chugaland kagundua ni wepesi na marala tu, hata matukio yao ni kunywa pombe ma kulawitiana. Hata ukiangalia kinachoipa promo Chuga ukiondoa utalii, kinachofuata ni ku sodomiana na pombe.
The Real Arachugans please stand up. Msikubali kufanywa Theatre ya kusambazia uongo.
 

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Ingekuwa nchi yetu inafuata misingi ya utawala bora, mpaka muda huu yeye na huyo dereva wake wangekuwa wametiwa mbaroni ili kuubaini ukweli. Ila ndiyo hivyo tena. No one cares.

Ninavyofahamu, utapeli ni kosa la jinai!
 
Story za kitoto kabisa hizi. Is this how anavyojaribu kujisafisha? Na yule aliyetaka kudhurumu nyumba ya GSM alikuwa ni dereva wake?
Na yale Magari ya kitahari aliyokuwa akinyang’anya watu na kuyatumia kwa shughuli zake binafsi na zavkiofisi akiweka plate number za RC na bendera alikuwa ni dereva wake?
2025 anachukua jimbo
 

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Waliokula hiyo nyama wajipange! Msukuma akimtaka mtu mbaya wake humpata kwenye mlo, na hachomoki.
 
Alichokisema Makonda ni kweli, watu wengi sana wametapeliwa na bado wanaendelea kutapeliwa kwa huo mtindo. Mungu akufunulie uelewe. Wafanya biashara wanataabika sana. Yaani kumuona kiongozi wanatozwa hela nyingi mno na wafanya wasaidizi wa viongozi na usishangae kukuta kiongozi hata kama alikuwa rafiki yako akaacha kupokea simu vile vijamaa vinamtia sumu maana vyenyewe ndiyo gate valve ya kupokea hela za rushwa kumuona kiongozi. Yaani huo mchongo ni deep state kwa ufupi. Ila ukienda Zanzibar huo ujinga hawana. You can just walk ukaonana na waziri katibu mkuu ila njoo huku bara, yaani kumuona katibu mkuu, waziri au mkuu wa shirika wasaidizi wao ambao ni vetted watakutoza hela tena kama shida yako ni kubwa na hela ni kubwa na mbaya kiongozi anakuwa hajui.
Na shetani uwa ana mafunuo kaa chonjo naye uwa anaitwa mungu maana kila mtu ana mungu wake kama Prof wa jalalani alimtambulisha mheshimiwa mungu wake kwa kutetemeka
 
Back
Top Bottom