MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Yeah thats what nilikua najiuliza wezi wanajuanaDereva ana akili sana. Aliona Boss anachofanya mchana, yeye akajipa night shift
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah thats what nilikua najiuliza wezi wanajuanaDereva ana akili sana. Aliona Boss anachofanya mchana, yeye akajipa night shift
Humjui uyo mtu wakujisafisha yani unapanga watu wazima hvyo kwenye hafla kuonge shuduAlichukua hatua gani?
Na ww unaona ni ukweli acha upumbavuAlichokisema Makonda ni kweli, watu wengi sana wametapeliwa na bado wanaendelea kutapeliwa kwa huo mtindo. Mungu akufunulie uelewe. Wafanya biashara wanataabika sana. Yaani kumuona kiongozi wanatozwa hela nyingi mno na wafanya wasaidizi wa viongozi na usishangae kukuta kiongozi hata kama alikuwa rafiki yako akaacha kupokea simu vile vijamaa vinamtia sumu maana vyenyewe ndiyo gate valve ya kupokea hela za rushwa kumuona kiongozi. Yaani huo mchongo ni deep state kwa ufupi. Ila ukienda Zanzibar huo ujinga hawana. You can just walk ukaonana na waziri katibu mkuu ila njoo huku bara, yaani kumuona katibu mkuu, waziri au mkuu wa shirika wasaidizi wao ambao ni vetted watakutoza hela tena kama shida yako ni kubwa na hela ni kubwa na mbaya kiongozi anakuwa hajui.
Wamemalizana "pagatorini" au wapi kaka njaa Pascal Mayalla !!?Labda kuhusu Roma tuu, lakini kwa issue ya Ben, mhusika waliisha malizana na Ben mwenyewe na kitu kizuri cha ajabu na huwezi kuamini, Ben amemsamehe!.
P
The Real Arachugans please stand up. Msikubali kufanywa Theatre ya kusambazia uongo.Ameshawasoma Chugaland kagundua ni wepesi na marala tu, hata matukio yao ni kunywa pombe ma kulawitiana. Hata ukiangalia kinachoipa promo Chuga ukiondoa utalii, kinachofuata ni ku sodomiana na pombe.
Kawaida ya vilaza wakubwa ni kuwa waongo kuliko hata baba wa uongo.Ila makonda ni muongo sana
Ingekuwa nchi yetu inafuata misingi ya utawala bora, mpaka muda huu yeye na huyo dereva wake wangekuwa wametiwa mbaroni ili kuubaini ukweli. Ila ndiyo hivyo tena. No one cares.
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
2025 anachukua jimboStory za kitoto kabisa hizi. Is this how anavyojaribu kujisafisha? Na yule aliyetaka kudhurumu nyumba ya GSM alikuwa ni dereva wake?
Na yale Magari ya kitahari aliyokuwa akinyang’anya watu na kuyatumia kwa shughuli zake binafsi na zavkiofisi akiweka plate number za RC na bendera alikuwa ni dereva wake?
Jiandaeni tu na machungu, iko siku itawadiaNyumbu mnadanganyika kirahisi sana
🤣 Ndoo huyo huyo deeva wakweNa deeva(in msambaa voice) wake ndio huyo huyo aliweka wazi kuwa hakuna mwananchi wa nchi hii anaeishi maisha mazuri kama yeye.
Umeona mbali sana. Eti mtu wa MunguDereva ana akili sana. Aliona Boss anachofanya mchana, yeye akajipa night shift
Waliokula hiyo nyama wajipange! Msukuma akimtaka mtu mbaya wake humpata kwenye mlo, na hachomoki.
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Na wale wa kutembelea hilo gepu wapoUtapeli wa hivi unawezekana kabisa.
Huyo deeva yupo vizuri 😂🤣 Ndoo huyo huyo deeva wakwe
😂Osie nzeze!
Na shetani uwa ana mafunuo kaa chonjo naye uwa anaitwa mungu maana kila mtu ana mungu wake kama Prof wa jalalani alimtambulisha mheshimiwa mungu wake kwa kutetemekaAlichokisema Makonda ni kweli, watu wengi sana wametapeliwa na bado wanaendelea kutapeliwa kwa huo mtindo. Mungu akufunulie uelewe. Wafanya biashara wanataabika sana. Yaani kumuona kiongozi wanatozwa hela nyingi mno na wafanya wasaidizi wa viongozi na usishangae kukuta kiongozi hata kama alikuwa rafiki yako akaacha kupokea simu vile vijamaa vinamtia sumu maana vyenyewe ndiyo gate valve ya kupokea hela za rushwa kumuona kiongozi. Yaani huo mchongo ni deep state kwa ufupi. Ila ukienda Zanzibar huo ujinga hawana. You can just walk ukaonana na waziri katibu mkuu ila njoo huku bara, yaani kumuona katibu mkuu, waziri au mkuu wa shirika wasaidizi wao ambao ni vetted watakutoza hela tena kama shida yako ni kubwa na hela ni kubwa na mbaya kiongozi anakuwa hajui.
Prof KabudiNa shetani uwa ana mafunuo kaa chonjo naye uwa anaitwa mungu maana kila mtu ana mungu wake kama Prof wa jalalani alimtambulisha mheshimiwa mungu wake kwa kutetemeka