Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Pre GE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Hii michezo dereva alijifunzia wapi ?
Na huo ujasiri aliutoa wapi huku akijua boss wake ni mkti wa ulinzi na usalama mkoa ?
Angetulia tu mengine yasahaulike
 

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Tuendelee kunywa mtori, nyama ziko chini.
 

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Like faza like son
 
Umeshindwa vipi kumfungulia kesi ili hali una ushahidi kama huu.?
Hivi unaandika hisia kama fact kweli? Kama ulichoandika ni kweli basi Tz ni nchi ya watu waoga sana. DAB ni mjinga mmoja anaetumika kutuonyesha ujinga tulionao wa Tz. Kama tuna ushahidi why hatumchukulii hatua?
 

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Kumbe Ben Saanane alifariki?
Asante kwa taarifa mkuu.
Vyombo vya usalama vianze na wewe
 

Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.

My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Mzee wa drama
 
Usijidanganye kuwa eti sijui uhalisia, ninafahamu kuliko uliyohadithiwa. Kwa kifupi huyo Makonda wajinga ndiyo wanakao buy hizo story zake. Makinda anajulikana kwa matukio yake ya hovyo na uzuri alikuwa anakwenda front mwenyewe.
Yule aliyefoji dicuments akawa anang’ang’ania ghorifa la GSM pale Masaki alikuwa ni dereva wake?
Na kea kuwa ameitoa hiyo kauli hadharani, subiri majibu yake, mtaipenda show
Mengi alikua anaenda front peke yake
 
Mtu aliyewasiliana naye Ben Saanane mara ya mwisho ni Bashite. Baada ya kumtaiti ndipo akampeleka kwa Magufuli. Na Magufuli mwenyewe alim shoot kwa bastola yake baada ya mateso makali ya miezi sita toka akamatwe. Ben alikataa kubadili msimamo wake juu ya UFEKERO wa PhD ya Magufuli
Nyumbu mnadanganyika kirahisi sana
 
Usijidanganye kuwa eti sijui uhalisia, ninafahamu kuliko uliyohadithiwa. Kwa kifupi huyo Makonda wajinga ndiyo wanakao buy hizo story zake. Makinda anajulikana kwa matukio yake ya hovyo na uzuri alikuwa anakwenda front mwenyewe.
Yule aliyefoji dicuments akawa anang’ang’ania ghorifa la GSM pale Masaki alikuwa ni dereva wake?
Na kea kuwa ameitoa hiyo kauli hadharani, subiri majibu yake, mtaipenda show
Siyo lazima uzikubali, na usipozikubali hazikufanyi wewe uonekane wa maana, kumbe na wewe ni mjinga tu
 
Umeshindwa vipi kumfungulia kesi ili hali una ushahidi kama huu.?
Hivi unaandika hisia kama fact kweli? Kama ulichoandika ni kweli basi Tz ni nchi ya watu waoga sana. DAB ni mjinga mmoja anaetumika kutuonyesha ujinga tulionao wa Tz. Kama tuna ushahidi why hatumchukulii hatua?
Ndugu Lior je unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kwa ruksa ya DPP
 
Ndugu Lior je unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kwa ruksa ya DPP
Yule jambazi asiyejulikana amejiweka peupe peee bila chenga!
 
Back
Top Bottom