Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
System ni ya hovyo snKuna wengine wanatapeli kwa jina la Ikulu. Matapeli wapo wengi kutokana na system kutokuwa makini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
System ni ya hovyo snKuna wengine wanatapeli kwa jina la Ikulu. Matapeli wapo wengi kutokana na system kutokuwa makini.
Time will tellView attachment 3082492
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Makonda namba nyingine! Makonda level nyingine!
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Ila huyu ndugu yangu angetulia sasa.
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
@modsTumemsikia yule aliyekuwa Konda kwenye ile Kampuni ya mabasi awaku ile akimrushia lawama aliyekuwa Dereva.
Je, ametumia fasihi katika kumrushia lawama aliyekuwa dereva wake kwamba maovu yale yalifanywa na yule dereva ila lawama ma chuki akarushiwa yeye?
Je, Inawezekana huu ni mwendelezo ambao kila anayepewa nafasi ya kuhudumu kwenye kampuni hii ya sasa ya mabasi chini ya Dereva wake Mpya, amekuwa akijaribu kujitakasa kwa kumtumia lawama yule aliyekuwa Dereva wa mabasi ya kipindi kile.
Safari hii tumemsikia aliyekuwa Kindakta kipindi kile akisimama hadharani na kuamua kumtupia lawama aliyekuwa Dereva wake, ingawa lawama hizo amejaribu kutumia fasihi na tafsida kiasi kwamba wengi wanadhani anayelaumiwa ni Dereva kwa maana ya Dereva, ila kiuhalisia nianayerushiwa lawama na huyu Kondakta ni Dereva.
Masikini Dereva yule, mwisho wa siku hata waliomuwezesha kuipata ile ajira na wenyewe watamiana.
Baada ya kuwaona watu wa Arusha ni WADUDU kaona ni rahisi kuwadanganya apendavyo! Ile sifa ya wana Arusha kujiona sijui Arachunga sijui nini! Imepotea na sasa ukimuona mtu wa Arusha muite MDUDU WEWE bila kujali ni nani maana Makonda anawafanya mabwege nao wanamtazama tuu!Story za kitoto kabisa hizi. Is this how anavyojaribu kujisafisha? Na yule aliyetaka kudhurumu nyumba ya GSM alikuwa ni dereva wake?
Na yale Magari ya kitahari aliyokuwa akinyang’anya watu na kuyatumia kwa shughuli zake binafsi na zavkiofisi akiweka plate number za RC na bendera alikuwa ni dereva wake?
Ila kuna huu mtindo sana wa utapeli wa jinsi hiyo. Hata vishoka wa TRA kujifanya mkuu anataka ili jambo liende kumbe hamna kitu.Baada ya kuwaona watu wa Arusha ni WADUDU kaona ni rahisi kuwadanganya apendavyo! Ile sifa ya wana Arusha kujiona sijui Arachunga sijui nini! Imepotea na sasa ukimuona mtu wa Arusha muite MDUDU WEWE bila kujali ni nani maana Makonda anawafanya mabwege nao wanamtazama tuu!
Ameshawasoma Chugaland kagundua ni wepesi na mafala tu, hata matukio yao ni kunywa pombe na kulawitiana. Hata ukiangalia kinachoipa promo Chuga ukiondoa utalii, kinachofuata ni ku sodomiana na pombe.Baada ya kuwaona watu wa Arusha ni WADUDU kaona ni rahisi kuwadanganya apendavyo! Ile sifa ya wana Arusha kujiona sijui Arachunga sijui nini! Imepotea na sasa ukimuona mtu wa Arusha muite MDUDU WEWE bila kujali ni nani maana Makonda anawafanya mabwege nao wanamtazama tuu!
Osie nzeze!Na deeva(in msambaa voice) wake ndio huyo huyo aliweka wazi kuwa hakuna mwananchi wa nchi hii anaeishi maisha mazuri kama yeye.
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Wanatuona nyati tuHii nchi ni tamu sana! Kenyatta hakukosea, watawala wanatuona maiti.
Labda kuhusu Roma tuu, lakini kwa issue ya Ben, mhusika waliisha malizana na Ben mwenyewe na kitu kizuri cha ajabu na huwezi kuamini, Ben amemsamehe!.My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane