Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawezekana hata la 7 sijafika, niliishia la pili.Ndugu Lior je unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kwa ruksa ya DPP
Nyamitako mwongo sana hizo pigo alikuwa anapiga mwenyewe mfano hai ni ile ya GSM.
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Madereva wengi wa ma rc, dc na wakurungezi wa mashirika ni usalama inamaana anasema watumishi waliopo usalama hawana maadili..TISS ebu fokeni huko mlipo tujue mbivu na mbichi..
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Nenda kafanye review ya kesi aliyofungua Wakili Madeleka dhidi ya mbunge Gekul aliyemuingiza Ally chupa mkundini. Ukishajua ilifika wapi njoo hapa unijibuYawezekana hata la 7 sijafika, niliishia la pili.
Uliwahi fata utaratibu wa kisheria DPP akakataa kukusikiliza? Au unamaanisha DPP ndio final stage?
Na nikikujibu kuwa wewe ni mtu mwoga na muongo nitakosea ?Nenda kafanye review ya kesi aliyofungua Wakili Madeleka dhidi ya mbunge Gekul aliyemuingiza Ally chupa mkundini. Ukishajua ilifika wapi njoo hapa unijibu
Akamueleze nani wakati kiongozi mkuu alishawaruhusu kula kwa urefu wa kamba zao!?Hapa kama kweli ndiye kasema, niuwongo wa kiwango cha juu kabisa. Aende sekretarieti ya maadili akiri utajiri alionao, na aeleze vyanzo vya kuupata.
Yanafanywa na hao vishoka kwa sababu yapoIla kuna huu mtindo sana wa utapeli wa jinsi hiyo. Hata vishoka wa TRA kujifanya mkuu anataka ili jambo liende kumbe hamna kitu.
TrueYanafanywa na hao vishoka kwa sababu yapo
sema dereva yule usukani wake uli legea, ange kaza mikono wange kimbia seatTumemsikia yule aliyekuwa Konda kwenye ile Kampuni ya mabasi awaku ile akimrushia lawama aliyekuwa Dereva.
Je, ametumia fasihi katika kumrushia lawama aliyekuwa dereva wake kwamba maovu yale yalifanywa na yule dereva ila lawama ma chuki akarushiwa yeye?
Je, Inawezekana huu ni mwendelezo ambao kila anayepewa nafasi ya kuhudumu kwenye kampuni hii ya sasa ya mabasi chini ya Dereva wake Mpya, amekuwa akijaribu kujitakasa kwa kumtumia lawama yule aliyekuwa Dereva wa mabasi ya kipindi kile.
Safari hii tumemsikia aliyekuwa Kondakta kipindi kile akisimama hadharani na kuamua kumtupia lawama aliyekuwa Dereva wake, ingawa lawama hizo amejaribu kutumia fasihi na tafsida kiasi kwamba wengi wanadhani anayelaumiwa ni Dereva kwa maana ya Dereva, ila kiuhalisia nianayerushiwa lawama na huyu Kondakta ni Dereva.
Masikini Dereva yule, mwisho wa siku hata waliomuwezesha kuipata ile ajira na wenyewe watamiana.
Hii story inafanana na story ya polisi [TANPOL] kukana kuhusika na matukio ya utekaji watu, kutesa na kuwaua na kisha kuwatupa misituni.......
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane
Kama hakuweza kumdhibiti dereva, ataweza vipi kuongoza mkoa?
Jana kwenye nyama choma aliyoandaa kwa Wakuu wa Mashirika Mjini Arusha, anasema alipokuwa RC Dar, wakati yeye yupo amepumzika ndani, Dereva wake alikuwa anakuja kuchukua gari kisha kuweka namba za RC Dar na bendera kisha kwenda kwa matajiri kuomba/ kuchukua fedha kwa jina lake.
My Take:
Huyu anatafuta kujisafisha tu, ila iko siku atatuambia alimficha wapi Roma na alimzika wapi Ben Saanane