Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miruzi Mingi Humpoteza Mbwa!!Kumekuwepo na wimbi la watoa ushauri kwa makonda, hebu mtupe muelekeo sasa, aache upi atumie upi, maana mpaka sasa kila mtu "Makonda fanya hivi.." yaani mpaka kina Lema nk!
hello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Ushauri mzurihello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
[emoji38][emoji38][emoji38]Wauza ngada wanamsaka Kila Kona
USSR
Yaani wauza madawa na mashoga ndo waombwe msamaha!hello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Tanzania ya waliodhulumiwa haiwezi kumsamehe Makonda kamwe. Yeye aombe msamaha au asiombe lazima achezee kufungo kama Ole Sabaya tuhello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Watanzania wakimsamehe binafsi nitamtafuta kimya kimya nile nae sahani moja,lile ta.ko si la kuliacha liende zake kimya kimya.hello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Amechelewa.hello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Huyu Jamaa habadiliki kwani neno kuomba ameshambiwa na watu wengi lakini bado yuko kimya.hello wanajukwaa,
hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,
mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.
nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.
nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,
dada ako nakupenda sana,
napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Mku ikiishi kusamehe ni sehemu kubwa sana ya Ibada.Sisi umoja wa wanaume tunaoendesha IST hapa town tumeapa hatuwezi kumsamehe kamwe !!
Katibu.