Makonda, Ita MEDIA omba msamaha watanzania

Makonda, Ita MEDIA omba msamaha watanzania

Kumekuwepo na wimbi la watoa ushauri kwa makonda, hebu mtupe muelekeo sasa, aache upi atumie upi, maana mpaka sasa kila mtu "Makonda fanya hivi.." yaani mpaka kina Lema nk!
 
Kumekuwepo na wimbi la watoa ushauri kwa makonda, hebu mtupe muelekeo sasa, aache upi atumie upi, maana mpaka sasa kila mtu "Makonda fanya hivi.." yaani mpaka kina Lema nk!
Miruzi Mingi Humpoteza Mbwa!!
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)

Itaonekana ni kiki tu kwasasa ukiomba msamaha inatakiwa itoke moyoni. Lakini hapa ni kuomba msamaha ili kupunguza makali
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Ushauri mzuri
 
Kama alijichukulia mamlaka mkononi hakutii amri ya Mkuu wake wa kazi na akayafanya haya kwa utashi wake basi na aupokee huu ushauri wako na aufanyie kazi. Kama alitii amri ya mkuu wake wa kazi na akatekekeza kwa utii basi atubu kwa Mungu wake inatosha.

Na kama alifanya kwa utii alichoamriwa na Mkuu wake wa Kazi, basi nawaone huruma sana wale wote wanao tii amri za wa Kuu wao wa kazi maana hawajui kesho yao itavyo kuwa. They are not secured at all na hii itafanya kutekelezwa kwa baadhi ya amri kuwe kwa legege maana aliye takiwa kutekekeza atasema kesho nitatelekezwa kukitokea la kutokea.
 
Makonda ni kijana wakitanzania Alijisahau na Mamlaka aliyopewa na... Just kiburi ndo kilichokua kwake ambacho alikipata kutokana na watu waliokua nyuma yake wakimlinda...
©APATE KINACHOMSATAHILI
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Yaani wauza madawa na mashoga ndo waombwe msamaha!
 
Familia za watu waliomizwa unafikiri ni rahisi kuwasamehe?
 
Aelezee mauaji yote aliyotekeleza na magu ,atoe details za kupotea kwa bensaanane na kushambuliwa lisu tumfikilie
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Tanzania ya waliodhulumiwa haiwezi kumsamehe Makonda kamwe. Yeye aombe msamaha au asiombe lazima achezee kufungo kama Ole Sabaya tu
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Watanzania wakimsamehe binafsi nitamtafuta kimya kimya nile nae sahani moja,lile ta.ko si la kuliacha liende zake kimya kimya.
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Amechelewa.
 
Maisha yanaenda Kasi Sana Leo Bashite Ndio wa kuhenyeka wajameni,
Enheee haya Sawa Ngoja tuone Mwisho wa Ngoma kama mwali atafunua Dela!

Au nasema uongo ndugu zanguni?
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Huyu Jamaa habadiliki kwani neno kuomba ameshambiwa na watu wengi lakini bado yuko kimya.
Ngoja tuhuma zianze atawahita akiwa Ukonga kwani unapopewa ushsuri na watu tofautofauti ufanyie kazi mapema kuendana na mazingira.
 
Back
Top Bottom