Makonda, Ita MEDIA omba msamaha watanzania

Makonda, Ita MEDIA omba msamaha watanzania

hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
eboo!!..aombe msamaha?, atarudisha uhai wa wale marehemu inaosemekana alidhurumu haki yao ya kuishi?.

kosa kama hilo linasameheka vipi kwa kwa mfano?.
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Sawa mwache aombe radhi tu ila suala la kupigwa na kung'olewa meno na sie huku mitaani linabaki palepale tu
 
Ushauri kama huu alipewa Mzee wa Kongwa, alipoufata ikawa ndio justification ya anguko lake Kuu.

Nimekosa mimi...
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Aombe msamaha kwanini? Kama Kuna jinai alitenda so mumpeleke mahakamani? Mbona Ole Sabaya kapelekwa mahakamani? Eti aombe msamaha; my foot!!
 
Aombe msamaha kwanini? Kama Kuna jinai alitenda so mumpeleke mahakamani? Mbona Ole Sabaya kapelekwa mahakamani? Eti aombe msamaha; my foot!!
Ole Sabaya huko aliko anatafuta gani ya kuitisha Vyombo vya Habari lakini anakosa hiyo nafasi.
Hivi unadha angekuwa Mtaani asingeomba msamaha.
Msamaha unajenga mstakabali mpya Ndugu.
Kuishi kwa kusameheana ni Ibada tosha Mku
 
Nchi hii wa kutuomba msamaha ni wengi sana na wa kwanza kabisa watanzania tunamtaka Kikwete atuombe radhi kwa mabaya yote aliyotutendea.

Watu huku mtaani wala hawana shida na huyu Makonda kwasababu tunajua namna gani wananchi tulivyosaidiwa sana na Makonda.

Kama JK haombi msamaha kwa watanzania basi naye kabla hajafa ahakikishe amejenga ukuta ili familia yake daima isije kusogelewa na watanzania aka ikiwezekana aihamishie nchi jirani la sivyo watapata adhabu za milele
 
Wauza ngada wanamsaka Kila Kona


USSR
Mzee Bashite baba Daudi na mkewe mama Daudi, wamechukizwa na huyu mtoto wao Daudi A Bashite, wapi alipoyatoa majina ya Paul C Makonda. Laana zingine anajitakia huyu mwana mpotevu.
 
hello wanajukwaa,

hapa naongea kama mtu wa "sayari ya 78" baada ya Britanica kukupa ushauri asubuhi kuhusu hali ya usalama wa maisha yako ulivyo, nami nakuomba sana na nakusihi sana mdogo wangu Makonda acha kabisa kuwaomba ushauri hao wazee wa chama unaohisi watakusaidia,

mfano:leo umekutana na" mzee wa chama x" ilikuwa saa 12:46 pm maeneo ya kwa aziz ally, kumuomba kaushauri ufanye nini, mzee kakuambia kinafiki yule ni mmoja ya waliotumwa maana alikuwa na wewe na alikuwa ameongozana na watu wapato 23,alitaka kujua tu umemuitia nini.

nakushauri WAOMBE MSAMAHA WATANZANIA KWA UNYENYEKEVU NA BUSARA ,watanzania ni watu wa kusahau nawe pia watakusamehe na kusahau yaliyopita,umefanya mengi mazuri na mabaya sana , naomba tuanze kurasa mpya, hao wazee wana data zako zote mpaka point "z" huna pa kuchomokea.

nakutakia masikilizo mema mdogo wangu,

dada ako nakupenda sana,

napatikana hapa MZIZIMA(JIJI LENYE HEKA HEKA ZOTE)
Anatamani lakini bahati mbaya hathubutu 🤔
 
Mteteeni mtu wenu. Mbona mlikuwa mnamshamgilia enzi zile kuwa yeye ni kidume?

Mnataka kumkimbia rafiki yenu mzalendo?
Wazalendo akina timu, USSR,kinuji, Comte, Dudumizi &co mnaitwa huku Kuna kazi ya kufanya🤔
 
li-manji lina mlia 'timing' tuu tena kwa mbaliiii, akisahaulika sahaulika kwisha habari yake, eheee malipo ni hapa hapaa duniani
 
Ktk hiyo media anaweza kuwaomba msamaha aliowatanguliza mbele ya haki?
Atarudisha mali za aliowapora kwa kisingizio cha madawa ya kulevya na Bureau de Change?
Anatakiwa kupitia ktk tanuru lilelile alilopitisha wenzie, baadae ndio ataomba msamaha kama nae atakuwa hai!
 
Ktk hiyo media anaweza kuwaomba msamaha aliowatanguliza mbele ya haki?
Atarudisha mali za aliowapora kwa kisingizio cha madawa ya kulevya na Bureau de Change?
Anatakiwa kupitia ktk tanuru lilelile alilopitisha wenzie, baadae ndio ataomba msamaha kama nae atakuwa hai!
Kwani alikuwa mtoa roho🤔
 
kuna watu hawazaliwa kuombwa msamaha, wao ni jino kwa jino.... ukiwazingua nao lazima wakuzingue time ikifika..

Shida dogo alideal pia na wahuni wa mjini gizani, sasa wanashikana uchawi huko huko gizani..hawa hawana cha msamaha na ukideal nao unapaswa kuwamaliza kabisa, ukiwaacha kuishi lazima uondoke wewe.

Na hii ndio kanuni ya Drug dealers duniani... Once a snitch, always a snitch....

Nadhani hapa ndipo alipofeli,, aliamini atakaa madarakani milele...
 
Back
Top Bottom