Pre GE2025 Makonda: Iwe mwisho CCM kutegemea wasanii kujaza watu kwenye mikutano

Pre GE2025 Makonda: Iwe mwisho CCM kutegemea wasanii kujaza watu kwenye mikutano

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
"...ifikie hatua CCM kisitegemee wasanii kuleta watu wa kukisikiliza kwenye mikutano yake. Kusema hivyo si kwamba CCM hakiwahitaji wasanii tena bali ni muhimu sasa CCM kitimize wajibu wake wa kutekeleza sera na kwalo itawavutia Wananchi kuja kuwasikiliza Viongozi wa chama. NDIYO MAANA MIMI SITUMII WASANII KUJA KWENYE MIKUTANO YANGU."

Makonda.
 
Back
Top Bottom