Makonda kabla haujatoa kibanzi jichoni kwa mwenzio ni vyema ukatoa kibanzi jichoni mwako

Makonda kabla haujatoa kibanzi jichoni kwa mwenzio ni vyema ukatoa kibanzi jichoni mwako

Cha kushangaza utakuta hao hao wananchi wanaokufa kwa njaa kwa kukosa umeme na maji ndio wamejazana kwenye mikutano huku wakishangilia kwa nguvu kila porojo na bla bla za viongozi.
Tatizo hawajitambui
 
Kiufupi,Toka uhuru mpaka Leo changamoto ni zilezile.
Ila yooote wananchi mbugira ndo wanasababisha
Kuna wananchi unawakuta kwenye mikutank ya ccm wanaimba na kugaragara Kwa shangwe,nderemo,na vifijo afu hayohayo majinga ndo unakuta baada ya mda yanatia huruma Kwa kuomba hiki na kile.
Wajinga wengi aise.
Ccm mtailaum bule,maana wafuasi wake tuseme hawanaga shida labda🤔.
Ningeshauri Chadema siku wafanye kama hawaon afu miaka kama 10.
Ili tulicheze lumba kisawasawa.
Naona dawa Bado haijaingia.
Wanaharakati wenye kuitakia Nchi hii heli,wake Kwa kutulia miaka 10.
Asihoji mtu yeyote,afu tuone itakuaje.
Hao wanaojifanya wana kazi wako bise Sana tuone itakuaje
Mda mwingine elimu yetu unatufanya kuwa yatima 70%.
 
Back
Top Bottom