Pre GE2025 Makonda: Kuanzia kesho (Machi 3) kila Mwanaume hapa Arusha am-post mpenzi wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
na kuna mabwege watapost na mabwege zaidi watanuna kisa hawaja postiwa
 
Kaongea kama utani lakini watanzania mlivyo na roho mbaya mnakosoa kila kitu
 
Mpaka sasa nashindwa kuelewa jamaa ana maana gani kwa kauli kama hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…