Pre GE2025 Makonda: Kuanzia kesho (Machi 3) kila Mwanaume hapa Arusha am-post mpenzi wake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi ni kweli hao mafisadi wanawazidi nguvu?
Mbona upinzani mnakabiliana nao chap?!
 

DAB ni zero brain. Ni mtu wa kutegemea ngweshi kushine.

ngweshi= ndumba
 
Duuh kumbe mtu akifeli shule kokote atakaoenda, chochote atakachoazimia, lolote atakalotenda, yeyote na wote atakao kutana nao atadhihirisha fikra finyu alizo nazo!

Aljukuja kwa mbwembwe akaanzisha utaratibu wa kupokelewa kwa misafara ya mirefu ya magari (Tanzania Specialist.Com walihusika)!

Akaanzisha utaratibu wa kambi za matibabu ya kibingwa kutoka kwa wataalamu. Zoezi lilifanyika bila maandalizi ya kutosha, likafeli. Hakuna muendelezo. Hakuna Daktari anataka kushiriki tena.

Akaanzisha utaratibu wa kukudana na wdudu na kuwajaza ujasiri. Kilichotokea ni wizi, uporaji, bangi na madawa.

Akatangazia umma kwamba wageni wakitaka kufunga ndoa wake Arusha watalipiwa gharama kwenye hotels kubwa kubwa! Hilo zoezi haijulikani lipo ama laah!

kaingilia kati maandalizi ya mshindano ya pikipiki pale Laki laki. Kilichotokea wadudu kuzamia shughuli, bangi, madawa, wizi, uporaji, ufuska na vifo vijaacha alama mbaya sana.

Akaanzisha legal aid nayo haijulikani kama itarudiwa.

Akaanzisha maandamano ya magari aina ya Land Rover. Washiriki waliingia gharama kubwa sana bila kujua ROI yake. Na tukio hilo haijulikani kama litarudiwa tena!

Kaanzisha vile vile utaratibu wa kutweza, kudharaulisha, kubagua na kulete mivutano baina ya watendaji, jamii na kuvuana nguo na viongozi wenzake.

Sasa anaandaa day trip ya wanawake 800 kwenda day trip Ngorongoro siku ya wanawake duniani

Katikati ya maandalizi siku ya wanawake Duniani Makonda anawaelekeza wanaume namna ya kuishi na wake zao kwenye mitandao ya kijamii!

Kifupi Makonda ni boya mpenda sifa!
 
Hawa ndio viongozi wanaoonekana Wabunifu Tanzania

Poor African Country!
Kuna chawa na mjinga mmoja humu anaitwa johnthebaptist anakwambia huyo ndo anafaa kuwa Rais wa nchi hii.

Tukisema CCM wametuharibia nchi na taifa kwa kusambaza ujinga kwa watu wanaona tunawaonea.
 
Wewe kamfuate huko kaburini
 
Mke wa huyu jamaa na mke wa yule sijui Mwijaku, huwa nawaonea HURUMA SANA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…